Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 3,563
- 10,549
Wazee wa kupambania Kombe
Huwa mnatumia Njia gani kuomba/kuchukua namba za simu katika Mazingira MAGUMU na HATARISHI?
Umafia:
Part 1>
Nilikuwa nipo katika Daladala watu wengi vibaya mno, nikatupia jicho pembeni nikaona KIFAA kimetulia kinachezea simu. Nikajiuliza hapa namba nabebaje? Kuangalia nje bado vituo viwili nishuke.
Kuchek katika wallet business card binafsi zimeisha zimebaki za Ofisini (Michoresho) nikaona hii hapana kuitoa.
Nikajipapasa huku na kule bahati nzuri nilibahatisha kipande cha TICKET ya Bus la mkoani, na katika ile ticket kuna namba yangu ya SIMU, sikujiuliza mara mbili wakati nashuka nikamshtua yule mrembo kwa kumgusa begani then ile ticket nikaipitisha kwa chini kama vile alikuwa kaiangusha then nikamkazia machoni huku nikimuonyesha ishara ya NIPIGIE. Mie nikashuka zangu huyo Home nikatulia.
Zikapita kama siku 5 kimya, nikaona hapa Mkeka umechanika siku ya 6 jioni nipo viti virefu nashangaa namba ngeni kupokea ni yule Manzi akajitambulisha pale then the rest is history.😋
Kuna wengine wanatumia mpaka Hela kuandika namba (Karatasi hakuna) mtu anachukua noti ya elf 10 anachora namba yake anamkabidhi mrembo.
Huwa mnatumia Njia gani kuomba/kuchukua namba za simu katika Mazingira MAGUMU na HATARISHI?
Umafia:
Part 1>
Nilikuwa nipo katika Daladala watu wengi vibaya mno, nikatupia jicho pembeni nikaona KIFAA kimetulia kinachezea simu. Nikajiuliza hapa namba nabebaje? Kuangalia nje bado vituo viwili nishuke.
Kuchek katika wallet business card binafsi zimeisha zimebaki za Ofisini (Michoresho) nikaona hii hapana kuitoa.
Nikajipapasa huku na kule bahati nzuri nilibahatisha kipande cha TICKET ya Bus la mkoani, na katika ile ticket kuna namba yangu ya SIMU, sikujiuliza mara mbili wakati nashuka nikamshtua yule mrembo kwa kumgusa begani then ile ticket nikaipitisha kwa chini kama vile alikuwa kaiangusha then nikamkazia machoni huku nikimuonyesha ishara ya NIPIGIE. Mie nikashuka zangu huyo Home nikatulia.
Zikapita kama siku 5 kimya, nikaona hapa Mkeka umechanika siku ya 6 jioni nipo viti virefu nashangaa namba ngeni kupokea ni yule Manzi akajitambulisha pale then the rest is history.😋
Kuna wengine wanatumia mpaka Hela kuandika namba (Karatasi hakuna) mtu anachukua noti ya elf 10 anachora namba yake anamkabidhi mrembo.