Huyo ndo mm.Mmmhh very special one
Kwanza ondoa huko kuamini kumbuka mawazo huumba.... Pili anza kufikiri chanya achana na mawazo yote hasi... Tatu nakushauri ogea chumvi mara kwa mara ni kitu rahisi lakini chenye nguvu mnoMatumiz yangu kwa sasa nitafanya kwa no 7 maana mimi mtu wa mikosi sana huenda ikawa tiba
Mwili wa mwanamke una matundu 8
Hivi ni kwa nini elimu ya msingi inaishia darasa LA saba
Hivi kimantiki, mabara ya ulaya na asia ni mabara mawili tofauti?PIA KUNA MABARA 7
1, bara la afrika
2, bara la asia
3, bara la amerika ya kaskazini
4, bara la kusini
5, bara la antaktika
6, bara la ulaya
7, bara la austaria