Mbingu saba, siri na nguvu ya namba saba

 
Kila kitu kimeumbwa katika ulimwengu wake. Dunia tukaayo nayo imo katika ulimwengu wake; kitaalamu ulimwengu huo unaitwa UNIVERSE ambako kuna sayari nyingi lakini zitambulikanazo ni TISA na pia sayari hizo zmezungukwa na nyota(stars) na miezi(Moons) ambazo sayari zinauhusiano nao (Interact).

Katika Dunia kuna ulimwengu ambao unahusisha binadamu, wanyama wa nchi kavu, wanyama wa majini, ardhi, wadudu na ndege.

Vitu hivi SABA vinategemeana(Interact) na ni sawa na idadi ya MABARA SABA yaliyopo Duniani huku utafiti ukionyesha kati ya sayar tisa ni sayari SABA zenye uwezekano wa viumbe hai kuishi ikiwemo na Dunia.

Ndani ya viumbe hai kuna chemebechembe hai ambazo zinafanya kazi ikiwa zipo kuu mbili chembechembe hai (1)nyekundu (2)nyeupe.

Chembechembe hizi zimegawanyika takribani chembechembe hai saba ambazo zinafanya kazi kwa ushirikiano ili kuufanya mwili wa kiumbe hai kuwa na nguvu na imara kama ilivyo kwa viumbe hai vifanyavyo kazi kwa ushirika ili milki zao ziwe imara na zenye nguvu.

Takribani ya viumbe vyote dunia vimegawanyka sehemu saba nazo ni (1) kichwa (2) kifua (3) mikono au miguu ya mbele (4) tumbo (5) kiuno (6) mapaja (7) miguu.

Katika Biblia namba Saba inaonyesha ukamilifu na usahihi (Number seven is the number of Completeness and Perfection both physical and spiritual), kutoka kwa kalenda ya kizamani ya Kiyahudi inayoonesha Adam aliumbwa mnamo 3760 BC (Kabla ya Kristo) mwezi wa saba, na huku vitabu katika Biblia vimegawanyika katika sehemu saba (1)Sheria (2)Unabii (3) Maandiko/Zaburi (4) Injili (5) Waraka mbalimbali (6) Waraka wa Paul (7) Kitabu cha Ufunuo.

Katika Ufunuo 1:3-20, kunaonyeshwa makanisa saba, malaika saba, vinara saba na nyota saba na baragumu saba (tarumbeta saba) huku tarumbeta la mwisho (la saba) litakamilisha wokovu wa kanisa!

Ukiwa mkamulifu hata adui akija kwako kwa njia moja atakimbia kwa njia saba, Ufunuo 28:7 (Show total completeness rejection of your enermy) na ukiwa mwenye dhambi utavamia kwa njia moja utapigwa na kukimbia kwa njia saba, Ufunuo 28:25 (show your total completeness rejected)

NAMBA SABA INAONYESHA UKAMILIFU NA USAHIHI.

Mungu amekuumba kwa ukamilifu na usahihi akitegemea utamtumikia na kumweshimu.

Tchaaoooooo! Tuonane wakati mwingine utakao
 
Jamani kuna siri gani kwenye namba: 7.!?, mbigu ziko 7,ardhi ziko 7, wiki inasiku 7 Tawaf"7 safa na marwa 7, jamarat mawe 7, Maajabu ya dunia 7, milango ya moto 7, shahada herufi 7, Takbira ya idd huwa ni 7, idadi ya bahari ni 7, mabara yapo 7, surat fatiha ina aya 7, viungo vikuu vinavyo sujudu viko 7, na nyota za majina ni 7, watoto wamtume walizaliwa 7, watoto waanze kusali wakiwa na umri wa miaka 7 ,niambie kwa nini halafu tuma kwa watu 7..
 
Miaka saba ya neema na miaka saba ya ukame na njaa ya Dunia ya kale Misri na Uyahudi na Palestina.
 
.
hqdefault-26.jpeg


Jr
 
Ikiwa katika mfuatano wa namba msingi yani 0-9/1-9, namba saba inaonekana ni namba ya kawaida kabisa, lakini kwa taarifa yako hii ndio namba ya ukamilifu inayoendesha dunia na ndio namba yenye tafsiri zinazoshabihiana kwenye imani zote
Nina hakika ulianza kuitambua hii namba upekee wake kwenye habari za uumbaji, kwamba Mungu aliumba ulimwengu kwa siku sita na siku ya SABA akapumzika..... Lakini wengine watakuambia kuhusu mnyama paka Kuwa na roho saba ama lile joka lenye vichwa saba

View attachment 503310Kibiblia namba saba! Imetajwa kwenye mambo mengi sana sana nitataja machache kwasasa
-ukamilifu wa kiroho
-utimilifu wa jambo
-mnyama wa sadaka asiwe chini ya siku saba
-pair saba za wanyama walioingia kwenye safina ya Nuhu
-Alama ya uungu na Mungu mwenyewe huku namba sita ikiitwa namba ya mwanadamu (refer uumbaji na Freemasons)
-msamaha samehe saba mara 70
Namba saba imetajwa kwenye Bible mara 490 ...hapa utapata majibu mengi

View attachment 503309Kwa Wahindu na wabuddhist wanaamini katika mbingu saba kama ifuatavyo
1.dunia
2.ulimwengu hai
3.mbingu
4.ulimwengu wa kati, mpaka kati ya ulimwengu wa juu na chini, ulimwengu wa kiza na nuru
5.ulimwengu wa rebirth na reincarnation
6.hekalu la baraka mduara wa ukweli
7.mbingu ya saba, hatua ya mwisho kufikia ukamilifu

Nitakuja na tafsiri ya namba saba kwa imani ya Kiislam pia....lakini namba saba ni namba yenye nguvu mamlaka na ndio pointer ya ulimwengu unaoonekana toka katika ulimwengu wa roho

Nitarudi kuendelea sehemu ya pili.... Usisahau pia kinywaji baridi cha SABA JUUView attachment 503308
Usimsahau na msanii wetu @Rohosaba
 
Ikiwa katika mfuatano wa namba msingi yani 0-9/1-9, namba saba inaonekana ni namba ya kawaida kabisa, lakini kwa taarifa yako hii ndio namba ya ukamilifu inayoendesha dunia na ndio namba yenye tafsiri zinazoshabihiana kwenye imani zote
Nina hakika ulianza kuitambua hii namba upekee wake kwenye habari za uumbaji, kwamba Mungu aliumba ulimwengu kwa siku sita na siku ya SABA akapumzika..... Lakini wengine watakuambia kuhusu mnyama paka Kuwa na roho saba ama lile joka lenye vichwa saba

View attachment 503310Kibiblia namba saba! Imetajwa kwenye mambo mengi sana sana nitataja machache kwasasa
-ukamilifu wa kiroho
-utimilifu wa jambo
-mnyama wa sadaka asiwe chini ya siku saba
-pair saba za wanyama walioingia kwenye safina ya Nuhu
-Alama ya uungu na Mungu mwenyewe huku namba sita ikiitwa namba ya mwanadamu (refer uumbaji na Freemasons)
-msamaha samehe saba mara 70
Namba saba imetajwa kwenye Bible mara 490 ...hapa utapata majibu mengi

View attachment 503309Kwa Wahindu na wabuddhist wanaamini katika mbingu saba kama ifuatavyo
1.dunia
2.ulimwengu hai
3.mbingu
4.ulimwengu wa kati, mpaka kati ya ulimwengu wa juu na chini, ulimwengu wa kiza na nuru
5.ulimwengu wa rebirth na reincarnation
6.hekalu la baraka mduara wa ukweli
7.mbingu ya saba, hatua ya mwisho kufikia ukamilifu

Nitakuja na tafsiri ya namba saba kwa imani ya Kiislam pia....lakini namba saba ni namba yenye nguvu mamlaka na ndio pointer ya ulimwengu unaoonekana toka katika ulimwengu wa roho

Nitarudi kuendelea sehemu ya pili.... Usisahau pia kinywaji baridi cha SABA JUUView attachment 503308
kwa hyo hpo kati ndo anaish mungu.. 👀
 
nshana jr, hizi mada Zak zinanifanya nionekane Mkali wa akili kupitiliza. Waxee wananiletea mabinti zao ghetto niwafundishe hadi saa sita usiku. Hivi wazee ni mataahira?
 
Ikiwa katika mfuatano wa namba msingi yani 0-9/1-9, namba saba inaonekana ni namba ya kawaida kabisa, lakini kwa taarifa yako hii ndio namba ya ukamilifu inayoendesha dunia na ndio namba yenye tafsiri zinazoshabihiana kwenye imani zote
Nina hakika ulianza kuitambua hii namba upekee wake kwenye habari za uumbaji, kwamba Mungu aliumba ulimwengu kwa siku sita na siku ya SABA akapumzika..... Lakini wengine watakuambia kuhusu mnyama paka Kuwa na roho saba ama lile joka lenye vichwa saba

View attachment 503310Kibiblia namba saba! Imetajwa kwenye mambo mengi sana sana nitataja machache kwasasa
-ukamilifu wa kiroho
-utimilifu wa jambo
-mnyama wa sadaka asiwe chini ya siku saba
-pair saba za wanyama walioingia kwenye safina ya Nuhu
-Alama ya uungu na Mungu mwenyewe huku namba sita ikiitwa namba ya mwanadamu (refer uumbaji na Freemasons)
-msamaha samehe saba mara 70
Namba saba imetajwa kwenye Bible mara 490 ...hapa utapata majibu mengi

View attachment 503309Kwa Wahindu na wabuddhist wanaamini katika mbingu saba kama ifuatavyo
1.dunia
2.ulimwengu hai
3.mbingu
4.ulimwengu wa kati, mpaka kati ya ulimwengu wa juu na chini, ulimwengu wa kiza na nuru
5.ulimwengu wa rebirth na reincarnation
6.hekalu la baraka mduara wa ukweli
7.mbingu ya saba, hatua ya mwisho kufikia ukamilifu

Nitakuja na tafsiri ya namba saba kwa imani ya Kiislam pia....lakini namba saba ni namba yenye nguvu mamlaka na ndio pointer ya ulimwengu unaoonekana toka katika ulimwengu wa roho

Nitarudi kuendelea sehemu ya pili.... Usisahau pia kinywaji baridi cha SABA JUUView attachment 503308
Eti kinywaji cha SABA JUU 🤣 Sawa sawa mkuu, nimekupata barabara kabisa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom