Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,638
- 697,929
- Thread starter
- #281
Maajabu ya namba saba (7) katika uumbaji wa Mungu
Kila kitu kimeumbwa katika ulimwengu wake. Dunia tukaayo nayo imo katika ulimwengu wake; kitaalamu ulimwengu huo unaitwa UNIVERSE ambako kuna sayari nyingi lakini zitambulikanazo ni TISA na pia sayari hizo zmezungukwa na nyota(stars) na miezi(Moons) ambazo sayari zinauhusiano nao (Interact)...
www.jamiiforums.com