Uhusiano wa taifa la Israel na kanisa

ward41

JF-Expert Member
Apr 3, 2022
397
1,394
Emblem_of_Israel.svg (1).png


Taifa la Israel ndiyo msingi wa kanisa. Ukiangalia emblem ya Israel ni kinara cha TAA Saba kama kinavyoonekana hapo

Kwa wale wanaoelewa maandiko, Kanisa LA Mungu limeundwa juu ya msingi wa makanisa Saba.

Makanisa hayo ni efeso, smyrna, pergarmo, thytira, sardi, Philadelphia na leodecea. Hayo makanisa Saba ni ukamilifu wa majira saba ya kanisa.

Kule mbinguni kwenye kiti cha enzi cha Mungu kuna TAA Saba ambazo ni roho Saba za Mungu.

Kwa hiyo hizo TAA Saba kwenye nembo ya taifa LA Israel ni msingi wa makanisa Saba, yaani majira Saba ya kanisa.

Kwa hiyo kanisa na taifa LA Israel ni vitu Pacha. Huwezi tenganisha Kati ya kanisa na taifa LA Israel.

Ndiyo maana wakati wote kanisa linasimama na Israel. Kuhusu kwamba wa Israel sio wakristo Hilo bado lisikupe shida. Ni Mambo ya ndani, huwezi elewa.

Kuhusu nilichoandika hapa wengi hamtaelewa maana ni Mambo ya ndani sana
 
Israeli (taifa mwana)au mashariki ya kati kwa ujumla ilikuwa ivyo majira saba ya kanisa ila hakuna mtakatifu aliyeshinda danieli 7:21,

Ndo maana Yesu akawaambia katika Mathayo 21:43 “Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.”

Na kweli ufalme wa Muumba umehama lakini hakuna dini wala dhehebu wanafundisha maana dunia haitaki watu wajue. Maana majira saba ilikuwa inamilikiwa na dunia na ulimwengu.

Sasa tuna majira moja halisi ya Muumba.
 
Makanisa hayo ni efeso, smyrna, pergarmo, thytira, sardi, Philadelphia na leodecea. Hayo makanisa Saba ni ukamilifu wa majira saba ya kanisa.
Kwa hiyo hawa ngurumo ya upako, ufufuo na uzima, kibwetere church, mzee wa upako church, mfalme zumaridi church kwa hiyo hayo tumepigwa 🤔
 
Huwa mnapenda sana kujipendekeza kwa israel lakini waisrael hawataki kuwasikia na wala hawamtambui yesu ambae nyinyi mnamuona ni mungu na ndio walimpiga bakora wakamvalisha pampers wakamtundika msalabani.
 
View attachment 2896006

Taifa la Israel ndiyo msingi wa kanisa. Ukiangalia emblem ya Israel ni kinara cha TAA Saba kama kinavyoonekana hapo

Kwa wale wanaoelewa maandiko, Kanisa LA Mungu limeundwa juu ya msingi wa makanisa Saba.

Makanisa hayo ni efeso, smyrna, pergarmo, thytira, sardi, Philadelphia na leodecea. Hayo makanisa Saba ni ukamilifu wa majira saba ya kanisa.

Kule mbinguni kwenye kiti cha enzi cha Mungu kuna TAA Saba ambazo ni roho Saba za Mungu.

Kwa hiyo hizo TAA Saba kwenye nembo ya taifa LA Israel ni msingi wa makanisa Saba, yaani majira Saba ya kanisa.

Kwa hiyo kanisa na taifa LA Israel ni vitu Pacha. Huwezi tenganisha Kati ya kanisa na taifa LA Israel.

Ndiyo maana wakati wote kanisa linasimama na Israel. Kuhusu kwamba wa Israel sio wakristo Hilo bado lisikupe shida. Ni Mambo ya ndani, huwezi elewa.

Kuhusu nilichoandika hapa wengi hamtaelewa maana ni Mambo ya ndani sana
Hivi nini kilitokea mpaka Wakristo tukaanza kutumia msaraba kama sehemu ya utambulisho wa Ukristoilihali sio Yesu wala mitume yake iliyotumia msaraba?
 
Wenye Nguvu Ndio Watatawala Dunia Wengine Mtabaki Kimya na Kufata litaloamuliwa na Dunia Kama Unaelewa Maana ya (Dunia )
 
Back
Top Bottom