amu usidanganywe, nikweli hao wote waliotajwa hawaishi mjini, tena huyo Blaki Womani anaishi mto wa mbu. ila na Filipo naye anaishi kiding'a.
ni mimi peke yangu ndo mwenye mji, labda kwa mbaaali LiverpoolFC ndo kidogo anaujua huu mji lakini siyo sana
Maskini amu! Mbona hukusema mapema! Kumbe umekuja kwenye msiba!? Hapo jogoo upo kwenye kikao cha mazishi ya nani? Lazima atakuwa mchaga na anaenda kuzikwa Moshi kwao!
amu vipi hali ya hewa? Mi napenda kibaridi ambacho asubuhi hata kunawa unaona ni kama kushurutishwa kula kinyesi cha mtoto mchanga
Kwe kwe kwe kwe! Ntawaambia wachaga wenzangu tubadilishe kijiwe lol! Ila amu kakupatia sana Filipo, kupasi kote suti na kujipeleka kumpokea umeambulia ziiiii! amu uko juu, Filipo kang'aa sharubu mbaya lol.Maskini amu! Mbona hukusema mapema! Kumbe umekuja kwenye msiba!? Hapo jogoo upo kwenye kikao cha mazishi ya nani? Lazima atakuwa mchaga na anaenda kuzikwa Moshi kwao!
subiri nikuambie usiku nikiingia kitandani najifunika blanket baada ya mda joto majasho natoa blanket
ila mda huu kuna kibaridi nakiona
Hahaha! Jifariji mwaya lol. Ndio mana nakwambia kuna siku utapokea wanyonya damu! Na wakikunyonya mie ntafurahije?Unadhani mwenzio anaweka pm jukwaani kama wewe! Tumemalizana kimyakimya! Lol...
Hahaha! Jifariji mwaya lol. Ndio mana nakwambia kuna siku utapokea wanyonya damu! Na wakikunyonya mie ntafurahije?
Hahaha! Jifariji mwaya lol. Ndio mana nakwambia kuna siku utapokea wanyonya damu! Na wakikunyonya mie ntafurahije?
Usijali, come this way baby......... without..!babu Asprin ujue hiyo picha imeniboa pia sijui ina maana gani?
Ujue hapa nimeshindwa kummaliza kuku wangu wa kienyeji niliyekuwa namla
serious tena hela ya huyu kuku utamlipa tena nitumie kwa sim banking sassa hivi kabla sijakuripoti