Hahahahaha! Ndani ipi yarabi?@PakaJimmy nilimuweka ndani.....atatoka leo saa tisa na dk 03......
Hahahahaha! Ndani ipi yarabi?
Hahahaha! Nimeenda sentro kumpelekea ugali hayupo, nikashuka kituo cha ungltd nako holaaa, hapa naelekea kituo cha USA , nikimkosa najua umemweka ndani ileeeee unayomwekaga mtu chake!he he....kuna aina mbali mbali za ndani....sasa yupo mojawapo....?
...mbn natolewa mfano kulikoni...shem...Hahahaha! Nimeenda sentro kumpelekea ugali hayupo, nikashuka kituo cha ungltd nako holaaa, hapa naelekea kituo cha USA , nikimkosa najua umemweka ndani ileeeee unayomwekaga mtu chake!