Mbeya: Utitiri wa redio ni kero nyingine

Mbeya: Utitiri wa redio ni kero nyingine

Tena umeingia chupa!
Chupa ya wambeya na watu wenye midomo mirefu lakini ni kati ya wale wanaishi nyumba za tope kati kati ya jiji la Mbeya.
Mkuu inaelekea we ni mshamba sana katika masuala ya uwekezaji.

Jitahidi ufanye kitu cha maana maishani kwako , kulaumu na maneno matupu kila mtu anaweza.

Utakuwa miongoni mwa wenye viredio hapo au mtangazaji...KWA UFUPI NI KWAMBA VIFM VYA MBEYA HAVISIKILIZIKI..hata mie mshamba nakufikishia ujumbe wewe double 00
 
Tena umeingia chupa!
Chupa ya wambeya na watu wenye midomo mirefu lakini ni kati ya wale wanaishi nyumba za tope kati kati ya jiji la Mbeya.
Mkuu inaelekea we ni mshamba sana katika masuala ya uwekezaji.

Jitahidi ufanye kitu cha maana maishani kwako , kulaumu na maneno matupu kila mtu anaweza.[/QUOTE

Wala usijali hata nikifanya kitu kisicho cha maana kwa sababu haikusaidii kitu.This is my life twaf
 
Hyo kyela Fm kwa kwel pale sidhan hta watangazaji wake wamesomea fani y uandishi nadhan weng n wale waliofel form4 cha kushangaza pia ikitokea umeme umekatika mtaan bas n studio umeme umektka kama kulikua n kipindi mpk wawashe jenereta ndo waendeleze kipindi
 
Hyo kyela Fm kwa kwel pale sidhan hta watangazaji wake wamesomea fani y uandishi nadhan weng n wale waliofel form4 cha kushangaza pia ikitokea umeme umekatika mtaan bas n studio umeme umektka kama kulikua n kipindi mpk wawashe jenereta ndo waendeleze kipindi

Vijiredio vya Mbeya vingi ukikatika umeme navyo vinatoka hewani ambayo hubaki hewani huwa ni bomba fm,baraka fm Mbeya fm lakini vingi huwa vinakatika na tanesco,yaani ni shida
 
Halafu watangazaji Leo yupo kiredio hiki kesho yupo pale wanahamahama hovyo kwa sababu Wamiliki hawawalipi dearly,Wamiliki wamekuwa mchwa hawaajiri watangazaji wanatumia zaidi cheap Labour mbaya zaidi hata redio za dini hapo Mbeya wanawanyonya sana vijana,hafu kuna watu humu wanafura na mapovu kabisa eti uwekezaji,uwekezaji?, ndo wa vile...TCRA na Bodi ya Habari Hebu fanyeni ukaguzi viredio vya Mbeya ni tatizo sana na mkitaka ushirikiano mi nitawapa njooni pm.
 
Na hata mwandishi mahiri Dotto Mnzava alishawahi kuwa Ripota wa Redio Ushindi analijua hilo,case study.
 
Ukiisikiliza hiyo Chai FM utachoka,,yaani upuuzi mtupu

Mkuu nadhani kuweni wastaraabu maneno hayasaidii kabisa. Mimi naishi Tukuyu hii Chai Fm wala hawajaanza vipindi bado wapo majaribio na juzi tu jumapili ndo wamefanya uzinduzi. Wewe umeisikiliza kipi mpaka ukachoka?
 
N'yadikwa

Mkuu unahoja nzuri na nzito sana ila umeileta ovyo sana niseme tu wazi kijinga sana.

Kwakuonyesha ujinga huo

1. Kwanza hakuna radio Mbeya inaitwa Mpanji FM.

2. PILI radio hizi zinaongozwa na content services regulation act ya mwaka 2005, kama radio inakiuka zinafungiwa.

3. Tatizo la wingi wa radio si hoja kabisa, Ghana pamoja na udogo wake kieneo kuliko Tanzania ina radio zaidi ya 360.

4. Tatizo la radio zote za Tanzania ni maudhui basi. Lakini hata hivyo kidogo watu wameanza kuamka huenda tunakoelekea tukapata radio nzuri zaidi.

5. Unaonekana hujui hata faida za hivi viredio. Ungefanya upembuzi utuletee hasara na faida zilizopatikana toka hivi vi FM. Unajua kuwa Dar inaFM zaidi ya 20? mbona hujaizungumzia?

Tuacheni kujiona tunajua tu kila kitu. Kama umeona kunashida wasilisha malalamiko TCRA.
 
Last edited by a moderator:
Mara ya mwisho kushangaa ya Mbeya ilikuwa ni utitiri wa makanisa, niliambiwa hayapungui 500 hivi, leo ni vi fm radio, nadhani vingine vinasikilizwa na 'nyumba kumi' tu.
 
Halafu watangazaji Leo yupo kiredio hiki kesho yupo pale wanahamahama hovyo kwa sababu Wamiliki hawawalipi dearly,Wamiliki wamekuwa mchwa hawaajiri watangazaji wanatumia zaidi cheap Labour mbaya zaidi hata redio za dini hapo Mbeya wanawanyonya sana vijana,hafu kuna watu humu wanafura na mapovu kabisa eti uwekezaji,uwekezaji?, ndo wa vile...TCRA na Bodi ya Habari Hebu fanyeni ukaguzi viredio vya Mbeya ni tatizo sana na mkitaka ushirikiano mi nitawapa njooni pm.

Website ya TCRA iko wazi muda wote kusubmit malalamiko. badala ya kulalamika huku si ungepost hiko?
 
Mkuu unahoja nzuri na nzito sana ila umeileta ovyo sana niseme tu wazi kijinga sana.

Kwakuonyesha ujinga huo

1. Kwanza hakuna radio Mbeya inaitwa Mpanji FM.

2. PILI radio hizi zinaongozwa na content services regulation act ya mwaka 2005, kama radio inakiuka zinafungiwa.

3. Tatizo la wingi wa radio si hoja kabisa, Ghana pamoja na udogo wake kieneo kuliko Tanzania ina radio zaidi ya 360.

4. Tatizo la radio zote za Tanzania ni maudhui basi. Lakini hata hivyo kidogo watu wameanza kuamka huenda tunakoelekea tukapata radio nzuri zaidi.

5. Unaonekana hujui hata faida za hivi viredio. Ungefanya upembuzi utuletee hasara na faida zilizopatikana toka hivi vi FM. Unajua kuwa Dar inaFM zaidi ya 20? mbona hujaizungumzia?

Tuacheni kujiona tunajua tu kila kitu. Kama umeona kunashida wasilisha malalamiko TCRA.


hamna cha maana ulichoandika hapa. au na wewe ndiyo walewale watangazaji vilaza.
 
Mkuu pokea ushauri uliopewa , ila kwa suala la TCRA nakubaliana nawe.
Hizo redia za Mbeya ni TATU AU NNE TU zanye leseni za kurusha matangazo, sijui hili limekaaje hili!

Nawe ni mpumbavu wa haja kweli. kuna radio Tanzania inarusha matangazo bila leseni?
 
Mwanza napo zipo chache tu
1.rfa
2.kiss fm
3.kwa neema fm
4.ukomboz fm
5.alive fm
6.sengerema fm
7.living water
8.passion fm
9.iqraa fm
10.city fm
11.metro fm
12.afya radio
13.saut fm
14.jembe fm
15.radio maria
16.morning star radio
17.radio 5
18.radio imaan
19.radio one
20.ea radio
21.capital radio
22.uhuru fm
23.clouds fm
24.magic fm
25.tbc fm
26.tbc taifa
27.kasebhanto fm
 
Mkuu unahoja nzuri na nzito sana ila umeileta ovyo sana niseme tu wazi kijinga sana.

Kwakuonyesha ujinga huo

1. Kwanza hakuna radio Mbeya inaitwa Mpanji FM.

2. PILI radio hizi zinaongozwa na content services regulation act ya mwaka 2005, kama radio inakiuka zinafungiwa.

3. Tatizo la wingi wa radio si hoja kabisa, Ghana pamoja na udogo wake kieneo kuliko Tanzania ina radio zaidi ya 360.

4. Tatizo la radio zote za Tanzania ni maudhui basi. Lakini hata hivyo kidogo watu wameanza kuamka huenda tunakoelekea tukapata radio nzuri zaidi.

5. Unaonekana hujui hata faida za hivi viredio. Ungefanya upembuzi utuletee hasara na faida zilizopatikana toka hivi vi FM. Unajua kuwa Dar inaFM zaidi ya 20? mbona hujaizungumzia?

Tuacheni kujiona tunajua tu kila kitu. Kama umeona kunashida wasilisha malalamiko TCRA.

1.Hiyo mpanji fm ni gmcl fm
2.hiyo content regulation act imekuwa ikikiukwa kila wakati that's why anaona some tv stations nchini zinaonyesha irritating contents kwa audience na TCRA haiwashughulikii,so blame them not me.

3.wingi wa redio ni hoja kwa Mbeya kwa sababu umekuwa hauna impact
Kwanza;redio almost zote Mbeya Hazina habari ambayo ni diverse ukitoa chache zenye pgm za habari zinazojitosheleza kv Ushindi ambayo ina reporters mikoa mingi.
Pili;hivyo viredio havifanyi censorship ya programs zao kv news,hakuna mikutano ya habari I.e. postmortem meetings. Kaulize watakwambia,I know.
Tatu,;viredio vyote vina urari wa content mf asbh vyote vina talk shows,mchana vyote vina bongo fleva etc
Kwa hiyo uwingi ni hoja Hususani kama viredio vinaendeshwa hovyohovyo,na sio Ghana tu Kenya wana hivyo viredio vingi lakini wanajitambua,go and research!

4 .Asante kwa kulitambua hilo,let's hope for good.

5. Ilitosha kuwasilisha kile nilichonuia,hicho kinachohusu faida na hasara nakushauri ukianzishie Uzi wake wewe.

Sio lazima kila kitu uwasilishe TCRA nimeleta Uzi huu ili kuwasaidia wadau wa media Mbeya wajirekebishe for good,mind you this has been a generic overview ya Mbeya Fm stations.
Ninajua na Ndio maana nimeuleta huu uzi,after all binadamu tunajua sana labda kama umeuweka ubongo stoo.
 
Mwanza napo zipo chache tu
1.rfa
2.kiss fm
3.kwa neema fm
4.ukomboz fm
5.alive fm
6.sengerema fm
7.living water
8.passion fm
9.iqraa fm
10.city fm
11.metro fm
12.afya radio
13.saut fm
14.jembe fm
15.radio maria
16.morning star radio
17.radio 5
18.radio imaan
19.radio one
20.ea radio
21.capital radio
22.uhuru fm
23.clouds fm
24.magic fm
25.tbc fm
26.tbc taifa
27.kasebhanto fm

Mkuu zitaje zile zinazotangaza kutoka mwanza tu ukiachilia mbali hizo za nje ya jiji
 
Back
Top Bottom