Mbeya: Utitiri wa redio ni kero nyingine

Mbeya: Utitiri wa redio ni kero nyingine

Halafu wanasiasa wanavimiliki kwa fujo hivi viredio stesheni kwa ajili ya kupigia propaganda.

Tunakoelekea kila mbunge atakuwa nako.
 
TCRA wanatakiwa wawe makini kufanya censorship kwenye hivi viefm vya mikoani maana vingine story za mapenzi zinapigwa mchana mbele ya watoto
 
ha ha ha kumyetu.....nkusukilwe fijo....hasa baraka fm ambayo isack mpayo wa ITV ndiye muasisi wa radio hiyo...dah...mbeya bwana hadi raha!!
 
Dodoma yale yale tu

A fm
Abm fm
Nyemo fm
Kifimbo fm
Dodoma fm
Impact fm
Mwangaza fm
Uzima fm
Ras fm

Vingine nimevisahau. Wajitahidi kuwa wabunifu, saiv kila redio wanataka watangaze kama Clouds wanavotangaza.

hii kwel aty
 
Juzi kuna redio siku inote hapo morogoro nilikuwa nikiisikiliza wanatoa promo Kwa tv sijui mpya inaitwa top

Walipomaliza wakaanza michezo aisee mtangazaji aligeuka kuwa mshabiki, nilipandwa na hasira nikazima na redio hapo hapo
 
Mkuu kuna kiredio hapa Arusha kinaitwa mj fm watangazaji wake sjui walipatikanaje, wanaweza kuwa wanatangaza hari yenye simanzi kubwa lakini wakawa wanacheka, ni ujinga ujinga tu

Hii siyo ya master jay kwel!
 
Sio radio tu we weka orodha ya wachawi aumakanisa lalazima mbeya itaongoza tu
Hapo umenigusa kwenye makanisa yaani kamtaa kamoja kana makanisa kumi tena wala hujui ya dhehebu gani sasa subiri ifike usiku hapo ndio utajuta
 
N'yadikwa

kubanyanga ndio nini?mi sijaelewa...alafu, waambie kitu gani wabadilishe, kama yule juu kasema kuhusu habari..naona kama unarusha mawe tu..am sure some wapo wataona, imarisha chenu na mkoa wenu uwe imara, toa feedback ya uhakika
 
Last edited by a moderator:
kubanyanga ndio nini?mi sijaelewa...alafu, waambie kitu gani wabadilishe, kama yule juu kasema kuhusu habari..naona kama unarusha mawe tu..am sure some wapo wataona, imarisha chenu na mkoa wenu uwe imara, toa feedback ya uhakika

Hiyo ndo hali halisi ktk ujumla wake sikuainisha ila utangazaji wao kwa jumla kama ulinisoma vizuri madame,salama lakini! 🙂
 
Juzi kuna redio siku inote hapo morogoro nilikuwa nikiisikiliza wanatoa promo Kwa tv sijui mpya inaitwa top

Walipomaliza wakaanza michezo aisee mtangazaji aligeuka kuwa mshabiki, nilipandwa na hasira nikazima na redio hapo hapo

Itakuwa top radio hiyo!
 
Hiyo ndo hali halisi ktk ujumla wake sikuainisha ila utangazaji wao kwa jumla kama ulinisoma vizuri madame,salama lakini! 🙂

kwa hiyo utangazaji wa vipindi vyote katika hizo redio 10 zilizobaki ni mbovu, duh! mi napenda sana kusupport vyetu, kila ninapoweza natoa feedback yangu na wengne wanabadilika..media Tz kweli ni shida ila naamini hawawezi kuboresha bila kujua wale wanaosikiliza wanakionaje kipindi na mtiririko wake..wape pa kuanzia...salama kabisaaaaa!
 
Back
Top Bottom