Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,269
Mkuu wataka watu wanapofungua redio waje kukuomba kibali? Acha ujinga... Wewe ni nani hadi upange idadi za redio. Kama hazikufurahishi zima redio. Na je una uwezo hata wa kufungua redio moja ambayo yaweza kuwa mfano, au ni arrogance tu ya umaskini?
Safina radioDuh mia mkuu,basi mmetisha tutajie alau 10 mkuu
Ole Sendeka FmSafina radio
Ngurumo ya upako fm
Triple A fm
Habari Maalum fm
MJ fm
Radio five
Orkonet fm
Sunrise fm
N.k
Arusha One FmSafina radio
Ngurumo ya upako fm
Triple A fm
Habari Maalum fm
MJ fm
Radio five
Orkonet fm
Sunrise fm
N.k
Duh aisee Mbeya kuna radio nyingi hivyo? Mmh
Mbeya Mbona cha mtoto? Arusha vi redio vimefika mia. Vyote vinatangaza yale yale, vijitoto vya kike vinavyopigwa miti hovyo mjini, halafu havijui chochote kile.
kumbe ndio maana matajiri wengi huko ni mabilionea! mmefikisha redio mia??Mbeya Mbona cha mtoto? Arusha vi redio vimefika mia. Vyote vinatangaza yale yale, vijitoto vya kike vinavyopigwa miti hovyo mjini, halafu havijui chochote kile.
​Nilikuwa sijui kuwa na nyinyi muna viredio vingi kiasi hiko