Mbeya: Ofisa Usalama auawa kinyama!

Mbeya: Ofisa Usalama auawa kinyama!

Status
Not open for further replies.
Hakuna mtu baki mwenye kufanya hayo ila ni wenyewe kwa wenyewe. System imegawanyika na wanapomtuhumu mwenzao kuvujisha siri basi njia nyingine huwa nguvu kutumika kwa vile yupo kwenye system, kinachofanyika ni kikundi kidogo kinachoandaliwa kumaliza kwa njia za ujasusi wa kijambazi, ndivyo hawa jamaa walivyo.

Angekuwa mtu wa kawaida propaganda zingetumika kumchafua hadi aharibikiwe mambo yake na inaposhindikana propaganda ni rushwa kutumika kwa kuhonga ili kukamilisha azima yao. Kwa huyo yote yameshindikana na kuamua kuchukua njia ya ujasusi wa kijambazi.

Mambo haya sio madogo mkuu, hadi natetemeka....
"Wakiutenda mti mbichi namna hii je itakuwaje kwa mti mkavu?"

Nchi hii tulipofika!!!
 
Ujasusi wa aina hii mimi nauunga mkono sana tu.....lakini sio kwa kuwaua kinyama wazee waliotumikia taifa namna hii......no matter wamekosea vipi....! SAsa kama tuna ujasusi wa hivi, kwanini tusichinje hadi familia ya wanaomiliki IPTL, DOWANS n.k? Kwanini tusiwachinje wawekezaji wanaotuibia rasilimali zetu nchini......!? Kwanini wasichinjwe wanaotuibia twiga, wanaosafirisha pembe za ndovu, wanaosaini mikataba mibovu?

Kumbe intelijensia inachinja wale tu wanaofichua udhalimu wa watawala wanao liibia taifa hili.....!

Mpumbavu anaweza awe na mbwa wake mkali hivi......hivyo, humsakizia mbwa mtu yeyote anayejisikia....na mbwa anaenda kumng'ata yeyote bila kufikiri...... jibwa linachofuata ni command ya master wake tu. Now days vyombo vyetu vya dola vimekuwa kama ng'ang'a koko vile, havina mazara kwa wezi, fisadi wala wahujumu.....! Vinasubiri oda kwa wakuu, mng'ate yule, chinja huyu, mtoe meno yule na koleo...!

Damu ya mtu, haipotei bure na gharama yake ni kubwa sana itapofika wakati wa kulipa.

R.I.P mzee wetu
 
Duh, rip mzee wetu...hiki kifo kinatisha na ni vigumu kukielewa...rip mzee wetu
 
RIP mzee ila usalama nao wajue kuwa nao wapo vulnerable kam au azaidi ya watu wengine wanaporudi uraiani.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom