Mbeya na mambo yao

Mbeya na mambo yao

The greatest of all ni kwamba Mbeya kuna almost all Climatic conditions - Kuna maeneo mvua inanyesha almost daily, Kuna maeneo ya baridi close to Zero, Kuna maeneo yenye joto almost throughout the year, kuna jangwa you name it
 
The greatest of all ni kwamba Mbeya kuna almost all Climatic conditions - Kuna maeneo mvua inanyesha almost daily, Kuna maeneo ya baridi close to Zero, Kuna maeneo yenye joto almost throughout the year, kuna jangwa you name it

...on top of all those climates, sijui kama kuna zao lolote linalolimwa Tanzania lililokosekana pale Mbeya, kwa sababu mwaka jana nilikuta minazi imestawi vyema sana pale Mbalizi, ile njia ya kwenda Mkwajuni Chunya....Sijasahau iliki na kakao za Kyela


Ndagha fijo nnyambala!
 
Katika mikoa inayoongoza kwa ukimwi hapa tz mbeya ni mmoja wapo. halafu nimetoka huko jana
 
Mkuu wa Mkoa anaetumiwa na mafisadi kuuangamiza kimaendeleo mkoa wa kwao anatoka Mbeya!!!

Watu wanaooneana wivu usiokuwa na maendeleo wao kwa wao wanatoka Mbeya!!!

Katika hayo majina mmelisahau la Mtanzania nae si anatoka kwa wachuna ngozi!!!

Mwakipesile ama Mwakalinga?

hahaha!
mwakalinga huyo
BRAND YA KYELA

Mtandao wa Mwakyembe naona ni MKALI SAAANA.

Habari ya Mkoa wa Mbeya yotote, lazima igeuke iwe ya Kyela na lazima iishie kwa Mwakalinga. Mwakalinga, hivi ulitembea na wake za watu nini?
Au uliwaacha dada zao SOLEMBA? I hope siyo mama zao (teteteeee).

Heri tu uwaombe msamaha labda yataisha. Sidhani ni ugomvi wa ubunge tu maana kama Elias Mwanjala atagombea na ana hela na kufahamika, kwa nini wewe ni wewe tu ndiyo MBAYA WAO?

Anyway, kama wataendelea RAFU hapa unafahamu na wewe uicheze wapi.
 
Bar maarufu za Mbeya... KAREMBU Nyama choma za kumwaga....,MBEYA CARNIVAL Hakuna kulala....,Mbeya Hotel... C mchezo ...
 
Barabara inayopita katika urefu mkubwa kabisa Tanzania toka usawa wa bahari- Mbeya (Ni barabara ya Mbeya -Chunya)

Wakuu hii sehemu ipo Kawetere, karibu na Mbeya City.
The highest point in all trunk roads in Tanzania.
 

Attachments

  • Mbeya Miara 049.jpg
    Mbeya Miara 049.jpg
    156.8 KB · Views: 162
..........Wow!! Umenikumbusha Iyunga.

Halafu Iyunga ndio sehemu pekee ambayo viwanda vingi vinapatikana, kama vile Kiwanda cha bia, Soda za Pepsi, soda za Cocacola, Workshop ya vichwa vya treni ya Tazara.

Halafu kuna kitu kingine cha muhimu sana Iyunga Mbeya, MBEYA INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY (MIST) zamani ilikuwa inaitwa Mbeya Technical College (MTC) na yenyewe si iko eneo la Iyunga!

Pretty inaonekana na wewe umekaa Iyunga, maeneo gani ya Iyunga?
 
Alafu nimewahi kusikia Mbeya ni ya pili kwa idadi kubwa ya Makanisa Afrika, kwa maana ya madhehebu ya kikristu, ikiifuatia Abuja, Nigeria. Kuna mdau anaweza kuthibitisha mimi sina taharifa za kutosha kuthibitisha?

........Hii mie ninaweza kusema kweli, kuna wilaya ya Mbozi niliwahi kufika huko.Kuna baadhi ya vijiji nilikaa kimojawapo Mlowo yaani kuna makanisa mengi mno, baada ya nyumba kanisa hadi utashangaaaa!!
 
Halafu Iyunga ndio sehemu pekee ambayo viwanda vingi vinapatikana, kama vile Kiwanda cha bia, Soda za Pepsi, soda za Cocacola, Workshop ya vichwa vya treni ya Tazara.

Halafu kuna kitu kingine cha muhimu sana Iyunga Mbeya, MBEYA INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY (MIST) zamani ilikuwa inaitwa Mbeya Technical College (MTC) na yenyewe si iko eneo la Iyunga!

Pretty inaonekana na wewe umekaa Iyunga, maeneo gani ya Iyunga?


......Sijawahi kuishi maeneo ya Iyunga, ila kuna practicals/field zangu nilifanyia hapo TAZARA station kwa muda tu.
 
I can agree with you, ni kweli kabisa hata wake wenye nidhamu na upendo wanapatikana Mbeya. I can prove this with evidence

Kweli aisee........maana....wee acha tu nidhamu hii sijapata ona.......

Kinachonishinda kuelewa.....pamoja na Mkoa ule kujaaliwa na wasomi weengi sana......wengi sana wako nje ya nchi.......na wanafahamu sana kwao kulivyo na kila kitu i.e. potentials za kiuchumi......lakini.....lakini.....hawana hata WEBSITE.......

Mijitu kama akina Mwandosya, Mwakalinga, Mwakyusa, Lole ipo ipo tu (joke)........ubinafsi umewazidi na mawivu yasiyokuwa na maendeleo yamewajaa....mke wangu ananisimulia kuwa akina Marehemu Nsekela na Mwaikambo walifanya mengi....sasa sijui hii mijitu mingine inafanya nini
 
Kweli aisee........maana....wee acha tu nidhamu hii sijapata ona.......

Kinachonishinda kuelewa.....pamoja na Mkoa ule kujaaliwa na wasomi weengi sana......wengi sana wako nje ya nchi.......na wanafahamu sana kwao kulivyo na kila kitu i.e. potentials za kiuchumi......lakini.....lakini.....hawana hata WEBSITE.......

Mijitu kama akina Mwandosya, Mwakalinga, Mwakyusa, Lole ipo ipo tu (joke)........ubinafsi umewazidi na mawivu yasiyokuwa na maendeleo yamewajaa....mke wangu ananisimulia kuwa akina Marehemu Nsekela na Mwaikambo walifanya mengi....sasa sijui hii mijitu mingine inafanya nini
😉😡
 
athari za mshika mawili, napigana kumalizia thesis at the same time , nataka jukwaa liwe live! unawaza huku unaandika, inakuja point nyingine unaipandishia juu!!!, mara una click go! neeext thread!!ndio matokeo

thanks though
be real
 
YAPS !!!!
Na Mwakasungula
Mwasaguti
Mwakisisile
Mwakyomo
Mwambapa
Mwandenuka
Mwampamba
Mwamasika
Mwakyambiki
Mwambepo
Mwasakyeni
Mwampulo
Mwa....mwa.....mwa....mwa......................................
Mwakatobe
Mwakalinga
Mwalulili
Mwaikambo
Mwailolo
Mwakyusa
Mwaisaka
Mwandemani
Mwakatumbula
Mwa....Mwa....Mwa....Mwa....etc
 
Mwakatobe
Mwakalinga
Mwalulili
Mwaikambo
Mwailolo
Mwakyusa
Mwaisaka
Mwandemani
Mwakatumbula
Mwa....Mwa....Mwa....Mwa....etc

Mwakiborwa
Mwakalobo
Mwasenga
Mwalimi
Mwandeme
Mwakibinga
Mwakalila
Mwambene
Mwakifulefule
Mwakasungura
Mwakisuru
Mwaseba
Mwamfupe
Mwansasi
Mwamboka
Mwafyunguru
Mwalutufyo
Andulwile
Andendekisye
Ambonile ...A, A, A...
 
Kweli aisee........maana....wee acha tu nidhamu hii sijapata ona.......

Kinachonishinda kuelewa.....pamoja na Mkoa ule kujaaliwa na wasomi weengi sana......wengi sana wako nje ya nchi.......na wanafahamu sana kwao kulivyo na kila kitu i.e. potentials za kiuchumi......lakini.....lakini.....hawana hata WEBSITE.......

Mijitu kama akina Mwandosya, Mwakalinga, Mwakyusa, Lole ipo ipo tu (joke)........ubinafsi umewazidi na mawivu yasiyokuwa na maendeleo yamewajaa....mke wangu ananisimulia kuwa akina Marehemu Nsekela na Mwaikambo walifanya mengi....sasa sijui hii mijitu mingine inafanya nini

wanayo tovuti banaaaa.... umeisahau ile aliyozindua Kamanda Kova kwa mbwembwe tena mbele ya waandishi wa habari... unajua inaitwaje??? malalamikopolisimbeya@yahoo.com Ha ha ha haaaa....
 
Kweli aisee........maana....wee acha tu nidhamu hii sijapata ona.......

Kinachonishinda kuelewa.....pamoja na Mkoa ule kujaaliwa na wasomi weengi sana......wengi sana wako nje ya nchi.......na wanafahamu sana kwao kulivyo na kila kitu i.e. potentials za kiuchumi......lakini.....lakini.....hawana hata WEBSITE.......

Mijitu kama akina Mwandosya, Mwakalinga, Mwakyusa, Lole ipo ipo tu (joke)........ubinafsi umewazidi na mawivu yasiyokuwa na maendeleo yamewajaa....mke wangu ananisimulia kuwa akina Marehemu Nsekela na Mwaikambo walifanya mengi....sasa sijui hii mijitu mingine inafanya nini


Kuwafananisha Nsekela na Mwaikambo na hawa wa leo akina Mwandosya na Mwakyusa ni sawa na kufananisha mlima Kilimanjaro na kichuguu!!! Hawa wa leo wamejaa ubinafsi tu!!
 
Mwakiborwa
Mwakalobo
Mwasenga
Mwalimi
Mwandeme
Mwakibinga
Mwakalila
Mwambene
Mwakifulefule
Mwakasungura
Mwakisuru
Mwaseba
Mwamfupe
Mwansasi
Mwamboka
Mwafyunguru
Mwalutufyo
Andulwile
Andendekisye
Ambonile ...A, A, A...

Anosisye
Anyisile
Amanyise
Andendelile
Anyitike
Asuluisye
......A,A,A,A,A..................acha kabisa bana
 
Anosisye
Anyisile
Amanyise
Andendelile
Anyitike
Asuluisye
......A,A,A,A,A..................acha kabisa bana

Halafu majina mengi sana hasa ya mwanzo yanaishia na sye halafu jina la ukoo/ubin linaanzia na mwa kwa mfano:-

Anyosisye Mwaipungu,
Andembisye Mwakapalala
Ambumbulwisye Mwafongo,

Halafu kuna majina ya kike kama

Atuganile, Atupele, Atupakisye, Tukupasya,

Teh, Teh, teh, Aisee we acha tu,
 
Back
Top Bottom