JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Nilidhani wakati huu wa uchaguzi wapiga kura ni WAFALME.
Kitendo cha Magufuli kupiga magoti na kuwaomba Wanambeya kura kilionyesha unyenyekevu na heshima kwa wapiga kura.
Wagombea lukuki wa CCM wamekuwa wakijishusha na kupiga magoti kuomba kura. Nadhani ni utaratibu mzuri.
Nimeshangazwa na kitendo cha Rais Magufuli kutojishusha na kuonyesha unyenyekevu kwa kupiga magoti wakati akiomba kura Kilimanjaro.
Najiuliza, kwanini alipiga magoti Mbeya lakini hakupiga magoti Kilimanjaro? Je, wananchi wa Kilimanjaro hawastahili heshima sawa na wananchi wa Mbeya?
cc Mag3, Salary Slip, Erythrocyte , tindo
Kitendo cha Magufuli kupiga magoti na kuwaomba Wanambeya kura kilionyesha unyenyekevu na heshima kwa wapiga kura.
Wagombea lukuki wa CCM wamekuwa wakijishusha na kupiga magoti kuomba kura. Nadhani ni utaratibu mzuri.
Nimeshangazwa na kitendo cha Rais Magufuli kutojishusha na kuonyesha unyenyekevu kwa kupiga magoti wakati akiomba kura Kilimanjaro.
Najiuliza, kwanini alipiga magoti Mbeya lakini hakupiga magoti Kilimanjaro? Je, wananchi wa Kilimanjaro hawastahili heshima sawa na wananchi wa Mbeya?
cc Mag3, Salary Slip, Erythrocyte , tindo