Mbeya long time kitambo

Mbeya long time kitambo

Ha ha ha! Timu yangu ilikuwa Saitama (Santiago). Hiyo namba 13 ilikuwa lazima, wakibana sana lazima nitie timu chababine.

Enzi za Kiwanja ngoma nimepiga sana soka pale,jogobasha baadaye Blacktown ya Baragumu. Derby ya snowhite na Saitama ilikuwa inajaza balaa,kuna refa alikuwa anaitwa Bitebo maarufu kwa kupigwal,pembeni kulikuwa na baa ya Memba.
 
Kulikuwa na pusher wa bangi huko Nonde. Ukitaka kuvuta bangi kwake utavuta bure hata gunia. Take away ndio unalipia. Jamaa alikuwa anaitwa Mswanga na alikuwa na stock ya kutosha kuvutisha vijana wote wa Mbeya kwa miaka minne bila kutetereka

Aisee mi nimekulia Nonde,daaa unaona jamaaa wanapita kwenda kwa Mswanga Wastaarab wakirudi sasa! Miondoko imechange wengine ndio mnasoma nao anakupita kama hakujui,wenyewe walikuwa wanamuita Baba Mose,usiku ukiwa unasoma ni harufu ya bangi tu mwanzo mwisho,kulikuwa na uwanja wa mpira sabasaba mbalizi road,kuna jamaa walikuwa wananunua bangi wanavutaaaa halafu ndio game inaanza hakuna refa hiyo wanaiita bundesliga,ili toa wachezaji wengi sana premier.
 
Kwa upande wa Soka kulukuwa na Hassan Zitto pale Tukuyu Stars,kulikuwa na timu kama Vasta,Town Stars,Rockers United,Roma Boys,Kifwamba,Ngasulwa na pia kulikuwa na refarii anaitwa Mapunda ,alikuwa anasifika sana kwa vipigo.
 
a6c73e94f7cf88fde7738355946e1da0.jpg

Hapo ni Kitonga au??
 
Jiwegangi kwa miaka hiyo Itiji bila shaka walimu wafutao utakuwa unawakumbuka vizuri Bwalya, Mwakajila, Ndowa, Kyusa, Kalinga, Manase, Mwanakaya n.k.
Manase kafariki miezi kadhaa iliyopita. Nimejifunza mengi ingawa sie wengine watoto wa juzi.
 
Enzi za Kiwanja ngoma nimepiga sana soka pale,jogobasha baadaye Blacktown ya Baragumu. Derby ya snowhite na Saitama ilikuwa inajaza balaa,kuna refa alikuwa anaitwa Bitebo maarufu kwa kupigwal,pembeni kulikuwa na baa ya Memba.
Ustadh bitebo, kuna kipindi alifikia hatua ya kuchezesha mechi za TFF ligi ya mkoa. Bila shaka atakua amefika mbali sasa hivi.
 
[QUOTtumesomauji, post: sekondari member: 13443"]Kulikuwa na pusher wa bangi huko Nonde. Ukitaka kuvuta bangi kwake utavuta bure hata gunia. Take away ndio unalipia. Jamaa alikuwa anaitwa Mswanga na alikuwa na stock ya kutosha kuvutisha vijana wote wa Mbeya kwa miaka minne bila kutetereka[/QUOTE]
Kama tumesoma wote vile sekondari!?
 
Kweli umekaa mby .....watoto wa malakasuka na bebby shangazi walisumbua sana .....pia kulikuwa na mtemi mmoja anatokea Isanga akiitwa brigadia mwakayugu .....by the way uwanja ngoma nimecheza soka nikichezea timu ya forest .....mambo yalikuwa mswano kipindi hicho
Ras jef wa sisimba au azimio?!!!
 
Sangu Secondary school Head master Mr. Makandi R.I.P
 
akinaUNdendiTeamiyungu, post: 22051296, member: 18762"]Kambosonic na mwenzie muradix ilikua cha mtoto kwa majaa furani walikua olevel pale sangu nimesahau majina yao,wakitoka darasani kwenda toilet wanapanga mstari mmoja huku wakidunda balaa![/QUOTE]
akina Ndendi!!?
 
Back
Top Bottom