Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
polisi na ffu wamechemsha jwtz wameshaingia kazini je na wao wakichemsha, nakumbuka maneno ya mbowe jana kwenye taarifa ya habari kwamba polisi wanainyanyasa chadema kote nchini na haya majimbo ya chadema ndiyo kabisa. polisi come down, acheni hulka yatawarudi damu za znz bado zinawalilia oooooo
Tatizo polisi wengi uolewa wao ni mdogo ukiona polisi msomi ni yule aliye ishia FORM IV ya DIV.33 huyo ndo msomi katika jeshi la polisi hawajui nini maana ya ulinzi katika jeshi la polisi. Kulinda raia na mali zao na si kupiga raia na kupora mali zao juzi Dr.Slaa polisi wamemwibia simu huko huko polisi