Weeeeeeeeeee!....Mby hagusi_na hivi anataka kuwa kolimba M/kyembe na M/ndosya ndio kabisaaaaaaa.Mkwele aje na huko wampopoe tena
Haya ndiyo matatizo ya kuchakachua kura na kuwatawala watu bila ridhaa yao. Katika hali hiyo mara nyingi nchi huwa haitawaliki kabisa.dar fujo kila mahali siku hizi, huko tunakoelekea huko si kwema
dar fujo kila mahali siku hizi, huko tunakoelekea huko si kwema