Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,984
- 5,705
Kituo cha polisi ilomba,kimevunjwa,watuhumiwa wamekimbia,na kimechomwa moto.Ni kituo cha polisi cha pili kuchomwa,kingine ni cha uyole.Inasemekana watu wengine kutoka Mbalizi wameenda kuungana na wenzao kupambana na askari.Wananchi wanapiga simu redioni,wanasema hawamtaki Kandoro.Mbunge wa mbeya mjini yupo njiani kuelekea Mbeya.