Mbeya kwarindima kwa Mabomu, risasi!

Mbeya kwarindima kwa Mabomu, risasi!

loh kweli FFU mtambo wa kurkebisha tabia chapa watu mbaya kabisa hehe eti JWTZ waje wanini hapa mbeya ffu oyeeeeeeeeeeee
 
sasa hivi Mbeya gari yeyote yenye number kama STK, SU, DFP.. Likionekana barabarani ni moto kwa kwenda mbele. sasa hivi wanabomoa mabango ya CCM

Safi saaaana. Wasisahau na zile zilizoandikwa Rc na Dc
 
Hawa machinga mbona limekuwa ni tatizo lisilokuwa na tiba?? Karibu kila miji mikubwa wanabughudhiwa sana bila kutafutiwa maeneo mazuri kwa ajili ya biashara zao.
 
sasa hivi Mbeya gari yeyote yenye number kama STK, SU, DFP.. Likionekana barabarani ni moto kwa kwenda mbele. sasa hivi wanabomoa mabango ya CCM

Dah!! Hii ni hatari aisee...
 
Hilo ni fundisho kwa wanamagamba kwamba uvumilivu utafika mwisho siku moja ambayo hawaijui na watajuta.
 
Majeruhi wa risasi za polisi katika vurugu za Mwanjelwa leo hii akiwa kapigwa kichwani. Hadi sasa kuna majeruhi wanne wa risasi, wawili kichwani, mmoja kwenye paja na mwingine mkononi

kijana.jpg


Mmoja wa majeruhi wa risasi za polisi katika vurugu za Mwanjelwa leo, Abel Mwalukali akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa Mbeya baada ya kupigwa risasi kwenye mkono.
mzee.jpg


Hali bado ni Mbaya sana Kumefuka. sasa zimefika Uyole wananchi wanashusha bendera za CCM.

VIJANA.jpg
 
Wakazi wa Mbeya safi sana choma moto magari hao choma moto ofc za ccm ikiisha huko tunakuja dar atown mpaka watie akili
 
Hawa wamachinga nao wamekuwa wanasiasa?

Kila kitu ni siasa na wewe ni mwanasiasa kwa njia moja au nyingine,

Chakula unachokula ni siasa, kwani kwa sababu ya siasa wengine hawana chakula hicho na wengine wana ziada

Nguo unazovaa ni siasa, dio maana wengine hawana nguo kabisa,

Nyumba unayokaa ni siasa ndo maana wengine wanakaa masaki na wengine Mbagala

Kazi unayofanya ni siasa vilevile, ndo maana wengine wana kazi nzuri na maslahi mazuri pamoja na kutostahili hayo

Shule anayosoma mwanao ni siasa ndo maana wengine wanasoma St. Government na wengine wanasoma English medium na international

Hata JF ni siasa ndio maana mtu wa kazulamimba hawezi kuona tunaandika nini.

Kila kitu ni siasa
 
Watu washapigwa hadi risasi za vichwa huko.....so, kusipokuwa na death instances, ni kumshukuru MUNGU sana!!!
poleni sana wana mbeya ndo tujue serikali yetu ilivyolegelege maana haya yote yalihitaji maandalizi mapema na yakajengewa mazingira mazuri haya yasingetokea tuombe Mungu asife mtu hapo.
 
hahaha kijana una panic nini nawe huko dar andamana uone CCP watu walienda kufanya nini tena nyie masharobaro wa dar tunahamu nanyie sana piga virungu mbaya kabisa

Bana SLOOMOO0 unafiri hujulikani ulipo sio,he he he alaf ww ndo sharabaro ndo maana unajfanya kufundisha watu uwoga apa sio fb MPUNGA WW
 
Hivi nyie polisi hamfahamu kwamba hizo risasi zitaisha kwenye magazine na mkienda store nako zimeisha? Hapo ndipo utavua magwanda na kuvaa gaoni! ili usitambuliwe mapema.
 
Wadau risasi na mabomu yanarindima mwanjelwa mbeya kati ya polisi na vijana. Barabara ya kibiashara ilifungwa. Ni hatari

Ni mabomu kwa kwenda mbele UYOLE. vijana ni kama maji ya pwani - yanakupwa na kujaa barabarani wakiwasha mioto na kujaza mawe barabarani. WATU WASILICHUKULIE KISIASA JAMBO HILI. HALINA CHA CHADEMA WALA MAGAMBA. HAWA VIJANA THEY HAVE NOTHING TO lOOSE EXCEPT MATATIZO YAO AMBAYO CITY WAMEYAFUMBIA MACHO NA KUZIBA MASIKIO KWA KIPINDI KIREFU. NDO MSHAHARA WA KUTUMIA PESA KUSAKA UDIWANI NA HATIMAYE UMEYA HUKU UWEZO WA UCHAMBUZI WA MASLAHI YA WANANCHI HAMNA
 
Back
Top Bottom