Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

JWTZ kama kweli wanataka mazoezi wangeenda Syria, Somalia wajipime na ISIS na all shabab sasa haya mazoezi na raia ambao hata mgambo hawajawahi kwenda sijui kama yana tija.
 
Mkuu hakuna anaye bisha, najiuliza kwanini mwaka huu?, Polisi wamezidiwa?

Mkuu pia waweza kujiuliza Kwanini isiwe mwaka huu? Nachokiona kwao ni kawaida tu muda na wakati wowote wakipenda wanaweza kufanya yao!kama wanasiasa wanafanya yao tena wanajiachia mpaka wanavimbiwa na kuanza akutukana ovyo wao wakifanya hakuna tatiZo wako nchini kwao!
 
sasa hizi military drills zinafanyika mjini?

Mbona military forces zilizoenda kufanya survey ya mipaka Malawi hamkulalamika, kwamba zinapita mjini na wananchi mlijazana Songwe kushangaa.
Ila hizi shake-off ndogo tu watu wanalalamika eti mabomu, yangepigwa mabomu yenyewe wana nchi wangepata ata nafasi yakulogin JF.
 
Makamanda wa Bavicha walio huko wote wamejificha kwa uoga!
 
Mbona military forces zilizoenda kufanya survey ya mipaka Malawi hamkulalamika, kwamba zinapita mjini na wananchi mlijazana Songwe kushangaa.
Ila hizi shake-off ndogo tu watu wanalalamika eti mabomu, yangepigwa mabomu yenyewe wana nchi wangepata ata nafasi yakulogin JF.

Mkuu hao wameshiba sembe tu! Mpaka time hizi wapo JF afu hakuna mwenye taarifa sahihi wanapiga ramli tu!
 
Usiogope ni MAZOEZI TU YA KIUSALAMA ZAIDI... na hii ingekua hivi miaka ilopita hii nchi ingenyoka sana leo mitaani hakuna raia wala mziki safi sana. Kwa aliepita mitaa yya kuanzia Ilomba, mama john, mpaka soweto kidogo leo kupo poa sana raia waoga wote wamekimbilia makwao.... Binafsi nimefurahia sana hii kitu.
 
Back
Top Bottom