Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

Nadhani hufahamu vyema majukumu ya Jwtz, ngoja nikusimulie kua jeshi wanamajukumu ya kulinda nchi dhidi ya maadui wa ndani na nje,PIA wanajukumu la kusaidia mamlaka za kiraia ktk majanga na mahitajio mbalimbali pindi ikihitajika kufanya hivyo.
Reffer to;majanga ya mafuriko yaliowahi kutokea.

Mkuu tatizo kubwa linatokana na Watanzania walio wengi kutopitia JKT, mtu aliye wahi kupitia Jeshini hawezi kubeza beza majukumu ya JESHI.
 
Weka sababu,ni magaidi?au ni siasa za magamba?
 
Mkuu wanachemsha mitambo tu ili isishike kutu hivyo kuwa na amani.
 
Mmekaa Kichips Chips wanawazoesha Vita 😁😁😁
 
Back
Top Bottom