[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huijui arusha wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huijui arusha wewe
Wengi wanajua jiji ni majengo. Naipenda Mbeya coz hulali njaa hata kama nisipo jenga Mbeya lakini Kituo changu cha kununua misosi itakuwa ni MbeyaHahahaha,nmekusamehe mkuu😂😁😂,kama unanifaham mbeya Vzur,bas waelimishe watu kuhusu uzuri WA mkoa WA Mbeya na. Jiji,usiwe kama wale wanaosema eti mbeya ni Uyole!mtembeze mtu huyo maeneo mbalimbali ya jiji na kata zake,kimkoa mtembeze Wilaya zote za mbeya na wenyeji WA Wilaya hizo!!!
Rungwe-wanyakyusa,Wilaya ya Mbeya-wasafwa,Chunya-Wasafwa ,ileje -wandali,kyela-wanyakyusa,Mbalali-Wasangu,n
.k
Arusha ndo upuuzi mwingine unaotia kichefuchefu!
Tanzania Miji/majiji ni mawili tu Dar na Mwanza kwa mbali sana.
Mmi mzima. Watoto hawajambo ?Yaan ufananishe Mwanza na Mbeya??mzima ww?
Wazima tu..sijui wifiMmi mzima. Watoto hawajambo ?
Tanzania hatuna majiji wala jiji.Kwa hadhi ya Tanzania yetu Mbeya ni jiji kutokana na idadi ya watu pia mapato. Lakini pia kama ukiwa umesafiri walau nchi za Ulaya na Asia utakuja kusema pia Dar es salaam Sio jiji ni kijiji. Angalia mafuriko yaliyopo baadhi ya mitaa Dar es salaam. Angalia sqatas zilizopo Dar es salaam . Kwa level ya Tanzania Mbeya ni jiji
Acha uwongo......Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaana
Mpeleke block t kwanza....Umefikia mbeya eneo
Gani tuanzie hapo
Kesho uje nikupeleke mtaa nnaoishi
Utoe huo utongo kichwan
Yuko poa. AnakusalimiaWazima tu..sijui wifi
Hahahaaa ! We jamaa bwege kweli, hivi kuna mji watu watombana kuliko Dar ! Ahahaaa !
Nyumba ya miti na matope kariakoo hujaona!?
Sina haja ya kuandika hapa kwetu wapi, ukweli ni kwamba Mbeya bado sanaaaaa!
Aibu ya nini? Mkubali mkatae, Mbeya bado sanaaaaUnaona aibu kusema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aibu ya nini? Mkubali mkatae, Mbeya bado sanaaaa
Aisee naungana nawewe Mbeya ni pahovyo sana nashngaaga sana cjui kwani watu wanapasifia , nmekaa Forest Mpya ya karibu na Esso , bdo ni pahovyo, Uzunguni pahovyo, Uswahilini Airport, Mama Joni, SAe, Ilomba, CCM, Soweto pote pamechoka yaani hapana tofauti na miji ya kawaida ambayo sio majiji Mbeya city center ni Uhindini ukifika uhindini penyewe ni pakawaidaaa, hakuna mishe mishe bora hata Mwanjelwa na Kabwe. Kiukweli tuache kusifia ujinga Mbeya ni pakawaida sana.Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaana
Jiji ni Dar tu.mbeya hakuna kitu kabisa hawajui kupika majiji ni dar na arusha kidogo kuna sehem nzur za kuenjoy
Kwetu MbeyaWe kwenu wapi, s utaje