Ernst kipire
JF-Expert Member
- Dec 16, 2019
- 299
- 310
Umeishi mwanza?mbeya hakuna kitu kabisa hawajui kupika majiji ni dar na arusha kidogo kuna sehem nzur za kuenjoy
Umeishi mwanza?mbeya hakuna kitu kabisa hawajui kupika majiji ni dar na arusha kidogo kuna sehem nzur za kuenjoy
Upo sahihi kabisa, hiyo ndiyo wanaita eti Green City!Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaana
Jiji hilo bwana, kawaulize kina Mwakinyuke, Mwakimage, Mwandoloma,Mwakanyege na Mwakifyatu watakuambia!Jiji la kina TUNTUFYE, malafyale na fiatu fyake!
Kina Erythrocyte bado sana.
Hivi wanyakyusa wale wenyewe hasa kwa nini hawazipendi V na badala yake wanaweka F? Vyakula=fyakula, viatu=fiatu.
Jiji hilo bwana, kawaulize kina Mwakinyuke, Mwakimage, Mwandoloma,Mwakanyege na Mwakifyatu watakuambia!Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaana
What a nosense your talkingKwa Tanzania jiji ni Dar es salaam pekee. Hakuna mkoa mwingine wenye hadhi ya jiji.