Mbeya: Jiji au Kijiji kikubwa?

Mbeya: Jiji au Kijiji kikubwa?

Naungana na mtoa mada jiji LA mbeya ni hopeless kabisa

Wanazalisha vyakula vingi lakini ukienda kula chakula mgahawani hata hotelin ni bora ule kwa mamantilie Wa buguruni

sasa mgalatia na mapishi wapi na wapi si unajua mbeya ndio wamejaa wale waopenda kutolewa mapepo nenda tanga kaona vyakula vinavyonukia na utamu nenda zanzibar nenda mombasa njoo dar pia msosi wa maana
 
sasa mgalatia na mapishi wapi na wapi si unajua mbeya ndio wamejaa wale waopenda kutolewa mapepo nenda tanga kaona vyakula vinavyonukia na utamu nenda zanzibar nenda mombasa njoo dar pia msosi wa maana
Hahaha wagalatia
 
katika wilaya za Mbeya ukitoa wilaya ya mbeya mjini ni kyela pekee ndio imejitahidi sana kimaendeleo, Wanakyusa wa kyela wengi hasa vijijini wana nyumba bora za vyoo vya kisasa

Hakuna wilaya inayoitwa mbeya mjini!!ila kuna wilaya ya mbeya!!!
Yaan mnaijadili mbeya na huku huifahamu?!!!!
 
Hakuna wilaya inayoitwa mbeya mjini!!ila kuna wilaya ya mbeya!!!
Yaan mnaijadili mbeya na huku huifahamu?!!!!
samahani mkuu nilikosea tu ila Mbeya naifahamu sana hunidanganyi kitu kila sehemu nimefika.
 
Mkuu,mshahara tayari au bado?Nikapate K-vant,baridi imezidi jombaaaa.Ongea na dad!
 
Naungana na mtoa mada jiji LA mbeya ni hopeless kabisa

Wanazalisha vyakula vingi lakini ukienda kula chakula mgahawani hata hotelin ni bora ule kwa mamantilie Wa buguruni

nna wasi wasi na ww
 
Moro hapana ,ila Iringa pale mjini ni pazuri sana kushinda Mbeya sema ni padogo .
Iringa panakua hivyo kwa sababu wanajenga sehemu moja tu. Mbeya kila mtu anajenga anakojua yeye, kama Mbeya ingejengwa sehemu moja kama Iringa basi pangekua pazuri
 
Ni kama vile kwa mara ya kwanza umetoka zako rombo huko afu ukafikia kigogo. Si dhani kama utaisema vzur dar.
Huo unaouona c uzuri ndio uzuri wenyew,ubaya kwako kwa mwingine ndio uzuri,inategemea na kigezo ulichotumia na mahitaji yako.
 
Nyanyake lazima this June niende mwenyewe huko Mbeya nikajionee maneno yaliyo andikwa katika thread hii

Karibu Sana Mbeya mkuu!ukifka tafuta wajuvi WA mji wakuoneshe uzuri na fursa zinazopatikana ndani ya jiji la mbeya!
Ogopa Sana kumkuta mwenyeji WA mkoa WA Mbeya ila anashndwa kutofautisha Kati ya Wilaya ya Mbeya na Wilaya ya Rungwe afu utakuta huyu jamaa ni staff member WA ofisi ya mkurugenzi!!!?

Chanzo cha jiji la mbeya kuonekana ni la kishamba ni kutokana na viongoz WA jiji kutolifahamu vizuri jiji na mitaa na kata zake!!mradi WA kujengwa Mwanjelwa unapelekwa nanenane, project ya Iwambi inaenda nanenane,ya nanenane unapelekwa uhindini!
Ofisi ya mipango miji jiji wajitathimini kama bado wanatosha kubaki ofisini!!!!
Unapeleka nanenane stend then unalazimisha kwamba daladala inayotoka UYOLE iingie stend hata kama haina anayeshuka hapo na imejaza balaa!!😫😫😫😫,kwann hiyo pesa musijenge stend kuu nzuur kubwa kama ya morogor0?!!maeneo mnayo ya kutosha!
 
Nadhani kuna sehemu sisi kama watanzania tunakwama sana.

Nani alisema uwepo wa wapishi wazuri wa chakula ni miongoni mwa vigezo vya sehem kupandishwa hadhi kuwa jiji?
Mbeya hakuna nyumba nzuri, uzuri wa nyumba ni nini? utakuta unajisifia tu lakini unakotoka nyumba nzuri zilizopo sio zenu ni za mashirika ya serikali au hotel za kitalii na wewe kwenu na wazazi wako mnakaa nyumba za tembe.

Kila sehem ina umaarufu wake na Jiji la Mbeya maarufu si kwa Majengo au upishi wa chakula.
Muhimu ukifika sehem shughulikia lililokupeleka kuliko kuanza kuchunguza mambo ambayo hayana msaada kwako,, au wewe ni afisa mipango miji?

Tumechoka na thread zenu za kuisema Mbeya , sisi wenyewe wana Mbeya tumeridhika na jiji letu maana Kisoka tupo vizur , kielim tupo vizur, nguo na viatu vinapatikana kwa wing na ubora mzur. Chakula na matunda ndio usiseme.

Mwisho. Ukiona Mbeya kuwa jiji wewe inakuuma sana nenda Mahakamani fungua kesi ya madai ya kutaka Mbeya iondolewe hadhi hiyo ili wewe uridhike.
Ndagha malafyale....[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Karibu Sana Mbeya mkuu!ukifka tafuta wajuvi WA mji wakuoneshe uzuri na fursa zinazopatikana ndani ya jiji la mbeya!
Ogopa Sana kumkuta mwenyeji WA mkoa WA Mbeya ila anashndwa kutofautisha Kati ya Wilaya ya Mbeya na Wilaya ya Rungwe afu utakuta huyu jamaa ni staff member WA ofisi ya mkurugenzi!!!?

Chanzo cha jiji la mbeya kuonekana ni la kishamba ni kutokana na viongoz WA jiji kutolifahamu vizuri jiji na mitaa na kata zake!!mradi WA kujengwa Mwanjelwa unapelekwa nanenane, project ya Iwambi inaenda nanenane,ya nanenane unapelekwa uhindini!
Ofisi ya mipango miji jiji wajitathimini kama bado wanatosha kubaki ofisini!!!!
Unapeleka nanenane stend then unalazimisha kwamba daladala inayotoka UYOLE iingie stend hata kama haina anayeshuka hapo na imejaza balaa!!😫😫😫😫,kwann hiyo pesa musijenge stend kuu nzuur kubwa kama ya morogor0?!!maeneo mnayo ya kutosha!
Kwa maana hii unataka kutuambia mleta mada yuko sahihi... si ndio?
 
Back
Top Bottom