Mbeya: Jiji au Kijiji kikubwa?

Mbeya: Jiji au Kijiji kikubwa?

Ungeanza kusema kwenu wapi kwanza halafu ndo useme kwa wengine. Tuambie kwenu wapi ili tulinganishe na Mbeya.
Ungeanza kusema kwenu wapi kwanza halafu ndo useme kwa wengine. Tuambie kwenu wapi ili tulinganishe na Mbeya.
Atakuwa kwa wachunga ng'ombe huyo. Madimbwi ndiyo source ya maji kwa binadamu na mifugo.
 
Ni kweli kwa upande wa chakula mahotelini huko Mbeya, bado sana. Nilikaa Apple Line Hotel na baadae Mfikemo Hotel, nilikuwa nakosa chakula kabisa. Ukiandaliwa chakula unashindwa kujua kama ndicho ulichokiagiza. Afadhali kidogo nilipohamia Peter Safari hapo unapata chakula kizuri
 
We hujui lolote kuhusu Mbeya, research yako ni hopeless kabisa . Ktk watu wanaoongoza kupenda kwao ni watu wa nyanda za juu. Mbeya ni moja wapo ya mji pekee ambao unajengwa na unaendelea kwa kazi na juhudi za wenyeji wenyewe bila nguvu ya serikali (kama ilivyo Dodoma, Arusha na Dar) .
Vijana wa Mbeya ni wachapa kazi na kazi za kufanya Mbeya zipo za kutosha. Sio kweli kabisa hoja yako
Kama maendeleo ni Bar na zile Guest house Uchwara ambazo nyingi zinajengwa na matajiri uchwara wa Kikinga sawaaa mkuu
 
Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaaana
[emoji23][emoji23][emoji23]kumbe ulienda kula mgahawani sasa unacholalama nini kati umepata kitu chenye hadhi yako
 
Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaaana
Chakula kwenye migahawa hakuna? Au chips mayai hakuna! Mbeya inachakula kingi sana, hata hivyo jiji na chakula kwenye migahawa vinauhusiano gani?
Weka mada vizuri, hii ni yakitoto sana.
 
Ni kweli kwa upande wa chakula mahotelini huko Mbeya, bado sana. Nilikaa Apple Line Hotel na baadae Mfikemo Hotel, nilikuwa nakosa chakula kabisa. Ukiandaliwa chakula unashindwa kujua kama ndicho ulichokiagiza. Afadhali kidogo nilipohamia Peter Safari hapo unapata chakula kizuri
Mfikemo bogus kabisa,chipsi yai utakula na tomato tu,mishkaki mikavuu,supu kongoro wanakuletea fupa zima imepoa,ndizi hamna wakanipa chapati yaani wiki nilikaa pale nilijuta.ila ukipata mwenyeji carnival kule mwanjelwa kuna misosi heavy.
 
Back
Top Bottom