Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 5,009
- 9,208
Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaana
Hata ingekuwa ni city center- Mwanjelwa na Airport ya zamani, kwani panafananaje pale? Badala ya kuzalisha mali, Wanayaki mmekaa kuzaliana tu na kupendeza kwa kuulamba misuti...Umefikia mbeya eneo
Gani tuanzie hapo
Huo mji upo kindezi lakini una mzunguko wa hela mbayaNimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaaana
Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaaana
Angalau kwa Tz ina nafuu japo nayo ni kama kijiji tuHata wachezaji wa sevilla wameshangaa sana Dar kuitwa jiji.
Nani alikuambia kuwa sifa ya jiji ni kuwa na nyumba nzuri?Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaaana