Mbeya: Jiji au Kijiji kikubwa?

Mbeya: Jiji au Kijiji kikubwa?

Mbeya ni jiji na wakazi wake wengi weusiiii alafu wana meno meupeee pee.

Watu wangu wa Tukuyu A.K.A Tokyo piga keleleee😝😝😝 Kiwira Stand up😝


Mkuu unazungumzia mbeya jiji au Tukuyu???maana unachanganya mafaili!!!
 
Mbeya ni jiji na wakazi wake wengi weusiiii alafu wana meno meupeee pee.

Watu wangu wa Tukuyu A.K.A Tokyo piga keleleee[emoji13][emoji13][emoji13] Kiwira Stand up[emoji13]
Woyoooo, woyoooo, ila hapo kwenye meno meupe duh, ila mbona siyo weusi sana hivyo
 
kinehe nkoyi,
kuwa jiji sio lazima kuwepo na majengo makubwa chukulia leicester city au Stoke city ni miji ya kawaida sana, nipe mfano wa IDODOMYA utasema ni mtaa au jiji?

piga kelele wanangu wa Uyole, Aggey, 8.8, Sae, Ilomba, ccm, MJ, soweto mpaka s/kuu bila kusahau makazi mapya isyesye na Ituha na mwisho kabisa uswazi kuleee Ilemi, mabatini, Majengo na Isanga..., bila kusahau wanangu wa Dox kwenye mitumba ya bei chee GRADE A ........

Msukuma.com A.K.A mwakatombile mwakanyege
 
sasa umefikia majengo hapo nonde ulitaka uone nyumba nzuri wapi tuulize wenyeji
 
Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaaana
Kwa hadhi ya Tanzania yetu Mbeya ni jiji kutokana na idadi ya watu pia mapato. Lakini pia kama ukiwa umesafiri walau nchi za Ulaya na Asia utakuja kusema pia Dar es salaam Sio jiji ni kijiji. Angalia mafuriko yaliyopo baadhi ya mitaa Dar es salaam. Angalia sqatas zilizopo Dar es salaam . Kwa level ya Tanzania Mbeya ni jiji
 
Kwa Tanzania jiji ni Dar es salaam pekee. Hakuna mkoa mwingine wenye hadhi ya jiji.
huko mvua kidogo ikipga mnaanza kutafutana..masikini wa kutupwa mnaokaa mabondeni nyie.

dsm kunanuka kila njia unayopita kunatoa harufu kali ya uvundo
 
Back
Top Bottom