Mbeya: Jiji au Kijiji kikubwa?

Mbeya: Jiji au Kijiji kikubwa?

samahani mkuu nilikosea tu ila Mbeya naifahamu sana hunidanganyi kitu kila sehemu nimefika.
Hahahaha,nmekusamehe mkuu😂😁😂,kama unanifaham mbeya Vzur,bas waelimishe watu kuhusu uzuri WA mkoa WA Mbeya na. Jiji,usiwe kama wale wanaosema eti mbeya ni Uyole!mtembeze mtu huyo maeneo mbalimbali ya jiji na kata zake,kimkoa mtembeze Wilaya zote za mbeya na wenyeji WA Wilaya hizo!!!
Rungwe-wanyakyusa,Wilaya ya Mbeya-wasafwa,Chunya-Wasafwa ,ileje -wandali,kyela-wanyakyusa,Mbalali-Wasangu,n
.k
 
unacompare mbeya to were? around Tanzania or outside of our country? maana kama ni outside ata dar haifai kua jiji, achliambali mji, kwa nchi yetu ni sahihi kua jiji kulinganisha na maeneo mengine ya nchi yetu.
 
Mbeya mlipendelewa sana kuitwa jiji. Yaani hivyo virestaurant sasa. Unachoka mwenyewe. Mbeya hamna hata sehemu ya kuangalia movie. Jiji halina supermarket!!!!!

Mbeya miyeyusho sana, hata watu hamna, unaenda hotelin unakuta mhudum na jamaa mmoja au wawili wanajichokonoa mdomon na stick , ma nzi yamejaa mezani msosi umepoa kinyama, unaagiza peps unaletewa kizibo kimeshika kutu....!! Kule hamna kitu aisee
 
Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaana
Jane Lowassa mrembo. Ulienda wapi? nilikuwa sikuoni humu.
Tanzania hakuna jiji hata moja sema tu kwa vile tuna hamu ya kupata majiji tunaamua kufanya hivyo.
Mbeya ni kijiji kilichoendelea siyo jiji.
 
Sisi tuliofanya kuvusha power na sukari miaka ile kupitia tunduma na kasumulo tunacomment wapi?
 
Kwa maana hii unataka kutuambia mleta mada yuko sahihi... si ndio?
[/QUOTE

Mbeya jiji,sio zur ukilinganisha na Dar na Mwanza hasa kimiundombinu😔😔😔,lakini viongoz ndio wanaoihujumu Jiji la mbeya!!!
 
Sisi tuliofanya kuvusha power na sukari miaka ile kupitia tunduma na kasumulo tunacomment wapi?
Umenikumbusha mbali sana.Enzi za kina Bob G.Land cruiser imefanya magendo imekimbizwa nusu saa baadae unaikuta iko juu ya mawe hahaaa.Boda to boda hiyo
 
kwani wewe unanyumba nzuri? Huko kwenu kaskazini minyumba ina mikaburi ndani mnalala na maiti
Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaana
 
Back
Top Bottom