Mbeya: Jiji au Kijiji kikubwa?

Mbeya: Jiji au Kijiji kikubwa?

Kama Bado mnaamini Jiji la Mbeya ni kijiji basi someni hapo chini 👇👇

Screenshot_20210621-050746.png


Screenshot_20210621-050908.png


Screenshot_20210621-051100.png
 
Nimefika Mbeya nimechoka mwenyewe. Nyumba nyingi siyo nzuri. Chakula kwenye migahawa usiseme. Yaani hamna kitu kwa kweli. Kazi ya ziada inahitajika. Bado saaana
Mbona Ile nyumba ya wageni uliolala na yule jamaa aliyekuvushia m
Mbeya hujaitaja ??! Hiyo ndiyo iliyokupa kichefuchefu !!
 
Mbeya ni kijiji kile kwa sababu ukitoka kilobita mbili tu toka pale mjini unakutana na poli kubwa ni tofauti na Dar au Mwanza.
 
Back
Top Bottom