kandukamo1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 1,059
- 694
Vipi Kuhusu Mandela University ambayo yadaiwa ilitakiwa ijengwe mbeya Au MUST kuendelezwa kama mchango wa mbeya ktk harakati ambazo Mandela kwa mara ya kwanza anaingia TZ aliingilia mbeya. Na kama hujui mpaka pass yake ya kusafiria ilikua na jina la kinyakyusa ili kumuepusha kuwindwa na boers.Hiyo haielezei manufaa ya uwanja na kwanini iliamuriwa ujengwe. Wanasiasa wetu ni wabinafsi sana. Uwanja wa Songwe umepigwa sana fitna na viongozi wengi akiwemo Sumaye aliyetaka ujengwe uwanja wa kisongo Arusha badala ya Songwe. Ni kutokana na umuhimu wa Songwe ndo maana pamoja na nguvu ya Waziri Mkuu Sumaye, mradi wa Songwe ulianza.