Mbeya imepotea na Mark Mwandosya?

Mbeya imepotea na Mark Mwandosya?

Mbeya naijua kuliko MTU yeyote yule, nimezaliwa Kyela - Mbeya nimesoma lyunga, badae lfunda na UDSM.
Acheni siasa Uchwara, tunapoitetea Mbeya ni yetu sisi.

Inauma sana kuna tuko nyuma Kisiasa, kijamii na Kiuchumi.
Sasa zenu hizo chafu hazitusaidii sisi.
CCM na makada wake wameivuruga Mbeya.

Mwakyembe aliaminika sana, Leo hii amelitelekeza jimbo la Kyela, Wilaya mzima inatimka vumbi, achilia mbali barabara inayoenda ltungi Port iliyojengwa na Nyerere.

Acheni siasa UCHWARA tunaumia

Eti anaijua Mbeya kuliko Watu wotee

Ina maana anajua mpaka Kiwango cha Wengine kuijua Mbeya!

Wanyakyusa wameanza kuwafunika Wahaya kwa kujisifu!
 
Songwe kujengwa ni kwa sababu ya strategic reasons, kufungua mikoa ya nyanda za juu kusini ili kupata fursa za SADC na wale tuliowasaidia wakat wa harakati za ukombozi. Ni makosa kuamin uwanja ulijengwa kwakuwa Mwandosya alikuwa uchukuzi na mawasiliano. Umewahi kusikia kuhusu Mtwara corridor? Ilikuwaje mwanataaluma asiye na mizizi kwenye chama kushika nafasi ya tatu mwaka 2005 nyuma ya Kikwete na Salimu? Hapo kuna jibu la kwann uwanja wa songwe.
Jiulize kwanini uwanja ulichukua zaidi ya miaka 12 kukamilika na hasa angalia kususua kwake baada ya awamu ya tatu kutoka madarakani?
 
Ile Nyumba Yake Ya lufilyo daah ni moja kati Ya wanasiasa wacheche sana waliojipanga na kustaafu huwezi fananisha ule mjengo na kibanda cha mzee wangu marehemu SITTA ( kibanda kwa maana Ya hadhi Yake ) Mcheza kwao utunzwa
 
Jiulize kwanini uwanja ulichukua zaidi ya miaka 12 kukamilika na hasa angalia kususua kwake baada ya awamu ya tatu kutoka madarakani?
Hiyo haielezei manufaa ya uwanja na kwanini iliamuriwa ujengwe. Wanasiasa wetu ni wabinafsi sana. Uwanja wa Songwe umepigwa sana fitna na viongozi wengi akiwemo Sumaye aliyetaka ujengwe uwanja wa kisongo Arusha badala ya Songwe. Ni kutokana na umuhimu wa Songwe ndo maana pamoja na nguvu ya Waziri Mkuu Sumaye, mradi wa Songwe ulianza.
 
Hujui siasa zilizokuwepo. Unaeleza kishule zaidi kuliko uhalisia uliokuwepo.
Siasa za Sumaye kutaka ujengwe uwanja wa Kisongo wakat KIA ipo? Hoja hujibiwa kwa hoja. Kwanini Songwe imejengwa pamoja na fitna zote ndo hoja ya msingi. Mengine hayo ni ya ziada.
 
Siasa za Sumaye kutaka ujengwe uwanja wa Kisongo wakat KIA ipo? Hoja hujibiwa kwa hoja. Kwanini Songwe imejengwa pamoja na fitna zote ndo hoja ya msingi. Mengine hayo ni ya ziada.
You are now back to what I meant. Shikamoo Sooth. Karibu Kasulu.
 
Mkuu matatizo ya Mark Mwandosya na Mkoa wa Mbeya yalianza na Mtandao wa Kikwete.
Kosa ilikuwa kuwa wa tatu katika kinyang'nyiro cha urais mwaka 2005.

Jamaa alipgwa vita na Lowasa , alipigwa vita na Mkuu wa Mkoa Mwakipesile, alipigwa vita na hata CCM yenyewe mpaka ikawa mbaya.
Watu wa Mbeya nawafahamu, vijana kuingia kushabikia CHADEMA ilikuwa a direct reaction kwa nguli wao kupigwa vita vya wazi wazi.
Nakumbuka Waziri Mkuu Lowasa wakati huo alipotembelea Mbeya, Mwandosya aliimbiwa "Raisi...raisi....raisi..." na vijana wa Mbeya mjini.
Kitendo hicho kilimuudhi sana Lowasa, lakini hiyo ilielezea jinsi Mwandosya alivokubalika sana mkoani Mbeya, tena na makabila yote mkoani.

The powers that be wakati huo waliamua kumdhibiti Mwandosya kisiasa.
Kugombea NEC mwaka 2007 walimwekea kijana mdogo anaitwa Thomas Mwang'onda, mtoto wa kigogo wa sekta ya intellijensia, Abson Mwang'onda.

Fedha nyingi sana zilitumika kumnadi Thomas, kiasi kufikia bilioni moja.
Lakini kijana Thomas aliangukia pua!
Mwandosya aliwahi kulalamika katika kitabu kimoja jinsi alivyokuwa akipigwa rafu, na serikali yake, na chama chake CCM!
Hatuwezi kuunganisha , lakini mara Mwandosya aliyekuwa akionekana fit na anafanya mazoezi kila alipopata wasaa mitaani, akaanza kuugua.
Wengine wanadai aliwekewa sumu kama ile ya Dr Harrison Mwakyembe, lakini hilo halijathibitishwa.

Kugombe tena mwaka 2015 ilikuwa just going through the motions, Mwandosya alisha umizwa vibaya.
Mwishoni alipoishiwa nguvu masikini Mwandosya akaamua kurudi kupumzika kijijini kwake Lufilyo, Zaidi ya kilometa 100 toka hata mjini tukuyu.

Kwa maoni yangu serikali ya CCM ndiyo iliyo utoa mkoa wa Mbeya kwenda CHADEMA, kwa kumdhibiti kipenzi cha wana Mbeya, Prof Mark mwandosya.
Mategemeo ni ingalau Mheshimiwa John Pombe Magufuli atupie jicho mkoa huu wenye potential kubwa sana,
muache mkuu,rais hata asipotupia jicho mkoa wetu tutaujenga sisi wenyew pamoja ni viongozi wetu na wasomi ambao wapo huku,kinachotakiwa ni sisi wenyew kuamua wala si mpaka serikali au rais aje kutufanyia au sijui NHC waje wajenge nyumba zao no.mkoa tu wenyew una potential kubwa pia kuliendesha na kuingizia mapato taifa so bado mkoa wa mbeya una nafasi kubwa kujiendeleza wenyew.
 
Mkuu ulichoandika ni kwel kabisa kwa upande wangu namfahamu Mwandosya mpaka kijijin kwake pale Lufilyo kwa hiyo asikuzingue mjinga yoyote.
Mkuu inatuuma sana kwa nguli wetu wa kisiasa kuchezewa rafu, mbaya zaidi CCM Makao Makuu haijawahi kuwa na programu maalum kufufua umaarufu wake wa asili mkoani Mbeya.
 
Acha ushamba mwandosya ndio kitu gan?huon mbeya inasonga mbele coz wanapenda mabadiliko? Malaria ya lumumba shida kweli!
 
Kustaafu kwa mwanasiasa mkongwe na nguli katika mkoa huo, kumepelekea mkoa mzima kupooza kabisa. Mwanasiasa huyo aliwaminisha watu wa Mbeya kwa kiasi kikubwa sana kuwa ana uwezo na ni kweli aliweza kuwatumikia wananchi wa mkoa huo kwa nguvu zake zote, aliaminika mnoo!
Amestaafu siasa mkoa mzima umepoa kabisa.

Nasikitika kuona wapinzani hasa CHADEMA kuota mizizi mkoani humo. Wapo viongozi wakongwe mkoani humo ila hawafani kazi Kama Mark Mwandosya, tunakoelekea Mbeya itakua ngome ya upinzani.

Viongozi wa kitaifa ni kama hawaujui vizuri mkoa huo, ukiwasikiliza zaidi wananchi wa huko wanasema eti wameachwa, au wametelekezwa.

Wanadai mikoa ya Kaskazini imependelewa zaidi. Waliotoa malalamiko yao wanatoa mfano kua hata miradi ya nyumba za NHC jijini humo hakuna ili kuufanya mkoa huo kua na mandhali nzuri.

Mbeya na Mark Mwandosya ni Kama wote wanapotea!!
Ni kazi ipi aliyoifanya Mwandosya mkoani Mbeya hadi tushangilie,najua utasema Uwanja wa Ndege wa Songwe,lakini yeye ni mmaliziaji tu waliocheza pasi za mwisho na kuukimbiza mpira ni wengine,hakuna jambo lolote jipya alilolifanya Mwandosya hadi akumbukwe,tutawakumbuka akina Nsekela,Mwaikambo,Mwangoka hawa ndio walikuwa kila kitu kwa mkoa wa Mbeya na Mungu awape pumziko la amani.
 
1011273_10204474974252892_1059767986913548766_n.jpg

Mkuu matatizo ya Mark Mwandosya na Mkoa wa Mbeya yalianza na Mtandao wa Kikwete.
Kosa ilikuwa kuwa wa tatu katika kinyang'nyiro cha urais mwaka 2005.

Jamaa alipgwa vita na Lowasa , alipigwa vita na Mkuu wa Mkoa Mwakipesile, alipigwa vita na hata CCM yenyewe mpaka ikawa mbaya.
Watu wa Mbeya nawafahamu, vijana kuingia kushabikia CHADEMA ilikuwa a direct reaction kwa nguli wao kupigwa vita vya wazi wazi.
Nakumbuka Waziri Mkuu Lowasa wakati huo alipotembelea Mbeya, Mwandosya aliimbiwa "Raisi...raisi....raisi..." na vijana wa Mbeya mjini.
Kitendo hicho kilimuudhi sana Lowasa, lakini hiyo ilielezea jinsi Mwandosya alivokubalika sana mkoani Mbeya, tena na makabila yote mkoani.

The powers that be wakati huo waliamua kumdhibiti Mwandosya kisiasa.
Kugombea NEC mwaka 2007 walimwekea kijana mdogo anaitwa Thomas Mwang'onda, mtoto wa kigogo wa sekta ya intellijensia, Abson Mwang'onda.

Fedha nyingi sana zilitumika kumnadi Thomas, kiasi kufikia bilioni moja.
Lakini kijana Thomas aliangukia pua!
Mwandosya aliwahi kulalamika katika kitabu kimoja jinsi alivyokuwa akipigwa rafu, na serikali yake, na chama chake CCM!
Hatuwezi kuunganisha , lakini mara Mwandosya aliyekuwa akionekana fit na anafanya mazoezi kila alipopata wasaa mitaani, akaanza kuugua.
Wengine wanadai aliwekewa sumu kama ile ya Dr Harrison Mwakyembe, lakini hilo halijathibitishwa.

Kugombe tena mwaka 2015 ilikuwa just going through the motions, Mwandosya alisha umizwa vibaya.
Mwishoni alipoishiwa nguvu masikini Mwandosya akaamua kurudi kupumzika kijijini kwake Lufilyo, Zaidi ya kilometa 100 toka hata mjini tukuyu.

Kwa maoni yangu serikali ya CCM ndiyo iliyo utoa mkoa wa Mbeya kwenda CHADEMA, kwa kumdhibiti kipenzi cha wana Mbeya, Prof Mark mwandosya.
Mategemeo ni ingalau Mheshimiwa John Pombe Magufuli atupie jicho mkoa huu wenye potential kubwa sana,
Mbeya CCM haipendwi full stop.

usimsingizie prof bure. Mbona Sugu 2010 alichaguliwa kuwa mbunge huku prof akiwa bado very powerful pale Mbeya.

mimi nawajua ndugu zangu "Wasokile". hawapendagi ujinga wale!
 
Ni kazi ipi aliyoifanya Mwandosya mkoani Mbeya hadi tushangilie,najua utasema Uwanja wa Ndege wa Songwe,lakini yeye ni mmaliziaji tu waliocheza pasi za mwisho na kuukimbiza mpira ni wengine,hakuna jambo lolote jipya alilolifanya Mwandosya hadi akumbukwe,tutawakumbuka akina Nsekela,Mwaikambo,Mwangoka hawa ndio walikuwa kila kitu kwa mkoa wa Mbeya na Mungu awape pumziko la amani.
Huyo Nsekela,Mwaikamba na Mwangoka waliifanyia nini Mbeya....?.....mchango wa Mwandosya huujui?....ama kibri....huo uwanja wa ndege songwe bila jitihada zake akiwa waziri wa mawasiliano..waziri mkuu Sumaye wakati ule...alishautosa...na fungu la ujenzi alikuwa anahamishia pengine
 
Uko sahihi sana mkuu make hata chuo walinyang'anywa sahivi kimepelekwa kask
 
Mbeya naijua kuliko MTU yeyote yule, nimezaliwa Kyela - Mbeya nimesoma lyunga, badae lfunda na UDSM.
Acheni siasa Uchwara, tunapoitetea Mbeya ni yetu sisi.

Inauma sana kuna tuko nyuma Kisiasa, kijamii na Kiuchumi.
Sasa zenu hizo chafu hazitusaidii sisi.
CCM na makada wake wameivuruga Mbeya.

Mwakyembe aliaminika sana, Leo hii amelitelekeza jimbo la Kyela, Wilaya mzima inatimka vumbi, achilia mbali barabara inayoenda ltungi Port iliyojengwa na Nyerere.

Acheni siasa UCHWARA tunaumia
Ndaga fijo kikolo
 
Mkuu ulichoandika ni kwel kabisa kwa upande wangu namfahamu Mwandosya mpaka kijijin kwake pale Lufilyo kwa hiyo asikuzingue mjinga yoyote.
Mkuu yule ni jembe letu wana Mbeya, tumpe moyo ili asaidie kupigania maendeleo ya Mbeya yote.
Katika muda wote huu, mimi sijaona mtu waa kuvaa viatu vyake.
 
Lugombo Nsesi ?
Lugombo huku Mwaya,Nsesi kule Katumba Songwe!Sehemu mbili tofuti kabisa ehehhe!
Prof Mwandosya hapatani na serikali hii sababu aliwananga kuwa Rais JK alikuja na jina la JPM mfukoni
Sidhani kama tutapewa mradi wowote wa maana kwa miaka hii mitano
Tuvumilie
 
Back
Top Bottom