Napenda kutoa tahadhari kwa mtu yoyote anayetaka kulala katika hii hotel iliyopo mbeya aogope sana kwani inashirikiana na wezi. Unaibiwa katika mazingira ya kutatanisha kwani hawana air condition na wana madirisha ya aluminium; ukiacha dirisha wazi tu ili upate hewa tu umekwisha unaibiwa bila kujijua...sasa nadhani wafanyakazi wanaita mwizi aje au wao wenyewe wanakuibia. Na uongozi ndio kabisa hauna ushirikiano nafikili na wao wanashirikiana na hao wezi. USIJARIBU KABISA KULALA KATIKA HII HOTELI MIMI YAMENIKUTA NA WAHUSIKA WA HOTELI HAWANA KABISA MSAADA