OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Wote ni wasafiri watarajiwa hapa
Warning
Hotelini si nyumbani kwako...kaa kwa tahadhari hata kama ni nyota 100
Kuna njia nyingi za kutumia chumba cha hoteli kwa usalama........na ukaweka vitu vyako kwa usalama na kuvikuta..........ceiling fan, flashing cistern, shower strainer, mguu wa wsah basin na kadhalika ni jinsi tu ya kujua makaratee ya hivyo vitu na jinsi ya kuvitumia kama chimbo........
Ukiwa na pesa nyingi always take a plastic bag, gazeti na cello/ sol tape with you.......
Pesa ni pesa na hasara haina share bana kama vipi uharibifu kidogo (kukosa ustaarabu) ni more rational kuliko kuibiwa ukiwa mstaarabu
Warning
Hotelini si nyumbani kwako...kaa kwa tahadhari hata kama ni nyota 100
Kuna njia nyingi za kutumia chumba cha hoteli kwa usalama........na ukaweka vitu vyako kwa usalama na kuvikuta..........ceiling fan, flashing cistern, shower strainer, mguu wa wsah basin na kadhalika ni jinsi tu ya kujua makaratee ya hivyo vitu na jinsi ya kuvitumia kama chimbo........
Ukiwa na pesa nyingi always take a plastic bag, gazeti na cello/ sol tape with you.......
Pesa ni pesa na hasara haina share bana kama vipi uharibifu kidogo (kukosa ustaarabu) ni more rational kuliko kuibiwa ukiwa mstaarabu