Na simba iliyobamizwa na Mazembe ni Ngonya? watu wengine bana?MBEYA UNITY...... ukabila kwenye maofisi MBEYA (BIMA-NIC) NA NDIO WALIOUA SHIRIKA LA BIMA.....NA NGONYA WA SIMBA AKAMUWEKA MOSES MKANDAWILE GOLINI TUKAISHIA KUBAMIZWA MIBAO TU
TUTAWAJUA MMOJA BAADA YA MWINGINE....imetajwa MAZEMBE HAPA KAKA.....? MBEYA HAMNA TOFAUTI NA WAHAYA....!Na simba iliyobamizwa na Mazembe ni Ngonya? watu wengine bana?
Ukija kwenye RAP na BONGO FLEVA:Kweli Mbeya kuna upako Mwakasege katokea mbeya,Lusekelo mbeya,Bukuku mbeya,Ambwene mbeya,mwaitege mbeya,mwakyembe hukohuko,babu Ambilikile nae mbeya.Sasa sijui na Yesu nae atakaporudi atafikia Mbeya.
TAFAKARI!!! Representing to the fullest.
Ukija kwenye RAP na BONGO FLEVA:
2.MR SUGU,
...........
...........
.........
Wanawake wenye Maumbo - Mbeya
Imetokea tu maana yake nini?umechemka kwa huyu jamaa imetokea tu kuwa mbunge wa mbeya
MBEYA UNITY...... ukabila kwenye maofisi MBEYA (BIMA-NIC) NA NDIO WALIOUA SHIRIKA LA BIMA.....NA NGONYA WA SIMBA AKAMUWEKA MOSES MKANDAWILE GOLINI TUKAISHIA KUBAMIZWA MIBAO TU