It is Sur_Plus
Senior Member
- Sep 28, 2010
- 167
- 7
Kuna mchungaj mwingine maarufu now maeneo ya sae tanesco ukiwa unaelekea pipeline anaitwa Mch.MPANJI
Na ww nenda itokee!umechemka kwa huyu jamaa imetokea tu kuwa mbunge wa mbeya
Ukija kwenye RAP na BONGO FLEVA:
1.Ambwene Yesaya aka AY,...MBEYa
2.MR SUGU,
3.King Crazy-Gwamaka Kaihura
...........
...........
.........
Kweli Mbeya kuna upako Mwakasege katokea mbeya,Lusekelo mbeya,Bukuku mbeya,Ambwene mbeya,mwaitege mbeya,mwakyembe hukohuko,babu Ambilikile nae mbeya.Sasa sijui na Yesu nae atakaporudi atafikia Mbeya.
TAFAKARI!!! Representing to the fullest.
Mshiki hapo kwenye RED umetumia vigezo gani?Mkoa wa Mbeya ni Lango la Injili Tanzania.
Kama ulifatilia somo la Malango alililofundisha Mwakasege mwaka juzi kama sijakosea,
utakuwa unajua maana ya Malango, aina ya malango, na kwa nini malango.
Kwa sababu hiyo basi, Mbeya ni Lango la Injili Tanzania, ndio maana hata wokovu umeenea sana huko. Ingawa penye Neema ya Mungu na shetani naye anajenga kambi kwa sana.
Ukija kwenye RAP na BONGO FLEVA:
1.Ambwene Yesaya aka AY,...MBEYa
2.MR SUGU,
3.King Crazy-Gwamaka Kaihura
...........
...........
.........
Mbona Whaya mabaya yote yanapitia kwao? Idd Amin, Ukimwi,Ebola na mambo kibao, mpakani kuna mambo mengi ndiyo maana hata miti iliyo karibu na barabara ndiyo yenye makovu ya kukatwa mapanga! IlaUkija kwenye RAP na BONGO FLEVA:
1.Ambwene Yesaya aka AY,...MBEYa
2.MR SUGU,
3.King Crazy-Gwamaka Kaihura
...........
...........
.........
Na majina karibia yote yanaanzia na MWA!--- na kuendelea
wanaloga wanaume zao.
Mshiki hapo kwenye RED umetumia vigezo gani?
Tukianza kujaji matukio kwa ukabila, tutaishia pabaya. This is not a good post from you! Aliyeanzisha thread hakuwa na mtizamo wako. Inaelekea unaukabila sana na inawezekana unawachukia hao watokao MBEYA!
Mkoa wa Mbeya ni Lango la Injili Tanzania.
Kama ulifatilia somo la Malango alililofundisha Mwakasege mwaka juzi kama sijakosea,
utakuwa unajua maana ya Malango, aina ya malango, na kwa nini malango.
Kwa sababu hiyo basi, Mbeya ni Lango la Injili Tanzania, ndio maana hata wokovu umeenea sana huko. Ingawa penye Neema ya Mungu na shetani naye anajenga kambi kwa sana.
Sugu mngoni wa Songea aliyezaliwa Mbeya na kukua mbeya si mnyakyusa wa Mbeya.
King Crazy G K si mnyakyusa ni mhaya mwenye mama wa kinyakyusa
Ambwene Yesaya mnyakyusa asiyejua mila na desturi za Mbeya baba yake alikuwa mnyakyusa lakini yeye kakulia Dodoma
Hapo kwenye uanzishwaji wa makanisa na wokovu bado sijapata connection, maana mi najua mtu anaeanzisha kanisa ni kwamba kule alipokua anasali ameona kuna walakini katika wokovu, hebu nipe ufafanuzi kwenye hili ulilosema!Siwezi kusema nina vigezo kivileeeeeeeee kaka, kwa sababu wokovu ni uhusiano wa mtu binafsi na Mungu wake.
Ila ukiangalia kwa haraka haraka kiwango cha kuhubiriwa wokovu ni mkubwa Mbeya kuliko hata kule kwetu naniliu.
Na nahisi ndio chanzo cha kuanzishwa makinasa mengi. Ila kaka tusisahau pia wokovu nao umeshaharibiwa,
sasa. Imebakia siri ya mtu na Mungu wake tu. Sio kama kipindi kile mlokole akipita mahali watu wanashtuka, MLOKOLE HUYO.
Ukija kwenye RAP na BONGO FLEVA:
1.Ambwene Yesaya aka AY,...MBEYa
2.MR SUGU,
3.King Crazy-Gwamaka Kaihura
...........
...........
.........