Na ushirikina uko juu mara kuua watoto wadogo wakike (under 5), kuchunana ngozi.
mwingine aongezeukija kwenye rap na bongo fleva:
1.ambwene yesaya aka ay,...mbeya
2.mr sugu,
3.king crazy-gwamaka kaihura
...........4. Ezzy biznes
...........5. Mick mwakatundu a.k.a mnyalu
.........
..........
.........
Hivi na Mwingira naye Mbeya ama?
...Isaya Mwakilasa a.k.a Wakuvwanga(original comedy)Ukija kwenye RAP na BONGO FLEVA:
1.Ambwene Yesaya aka AY,...MBEYa
2.MR SUGU,
3.King Crazy-Gwamaka Kaihura
...........
...........
.........
Hongera wana Mbeya kwa kuwa na wahubiri wengi. Ila mbona imani za kichawi nazo zimeenea sana huko, inatia wasi wasi kama hawa wahibiri nao sio ndo wale wale. Na huyu Mzee wa upako, kama msanii vile!
Wewe ndio uliza uambiwe historia yake. Unachokijua naamini sicho kumhusu huyu bwana!Imetokea tu maana yake nini?
unamfahamu?
Unajua historia yake?....Uliza uambiwe broda!
kweli kuna mambo mengi mazuri kwenye mkoa wa mbeya ila umesahaulika,hamna utalii wa maana..............
Ukija maswala ya vivutio vya utalii kuna jiwe la ajabu lililodondoka toka mbinguni lipo mbeya wilayani mbozi eneo la ndolezi.
Na majina karibia yote yanaanzia na MWA!--- na kuendelea