Mbatia anawazaje kuiuza NCCR Mageuzi?

Mbatia anawazaje kuiuza NCCR Mageuzi?

Tanzania Kuna chama tawala na jumuia zake, yaani NCCR ...., CUF, ACT, na chama Cha upinzani kimoja, CHADEMA!
Wanajiita wapinzani halafu wanaishambulia chadema, baadae wanasema sisi ndio tunafaa kuongoza nchi hii lkn mabaya ya ccm kwa miaka 50 hawayaoni.
 
Kwa taarifa yako hakuinunua cdm bali alinunua nafasi ya kugombea urais. Mbowe na genge lake wakachukua pesa kwa ule mtindo wa Kubet lakini wakaishia kuliwa. Angeinunua cdm asingekaa aondoke, kwani hakuwa na mahitaji yoyote ya chama zaidi ya nafasi ya urais, na hata kama angeupata urais bado angejaza wanaccm wenzake kwani ndio ana asili nao. Jitahidi kutenganisha chama na cheo fulani ndani ya chama. Kuna popote cdm kama chama wanahoji mwenendo wowote wa Mbatia zaidi ya manazi huku mitandaoni? Nasisitiza jitahidi kutenganisha chama na watu binafsi.
Nimefurahishwa na ulivyotenganisha hivyo vitu 2.Big up!!
 
Hiyo ni tip ya ice burg na kujinyea si hoja ya kichama kama hoja za usaliti, kupokea rushwa kununuliwa. Kujinyea ni matusi ambayo CCM huyatumia sana majukwaani si kwa Lowasssa tu watu kama msukuma na wengine kampeni zao zimejaa matusi tena ya nguoni


We unaleta ubishani wa kusaka ushindi lakini kimsingi umeishiwa na hoja. Na ni rahisi kwa mtu anayefuatilia mtiririko wa hoja zako kujua huna jipya. Umesema kuchafuana hakutolewi rasmi na chama, nimekutajia jambo la jukwaani lilifanywa na ccm tena na mbunge wa sasa kumchafua mtu hadharani, huku mgombea wa ccm ambaye ni mwenyekiti na rais wa sasa akiwa katika jukwaa hilo hilo na akionyesha fika kufurahia. Magufuli mwenyewe alitamka jukwaani kwa kusema mafisadi wamekimbilia cdm akimaanisha Lowassa.

Hiyo hoja ya usaliti haijasemwa na cdm kama chama labda uweke ushahidi, zaidi hizi kelele za manazi huku jukwaani. Na hayo mambo ya Lowassa kuitwa fisadi kulifanyika jukwaani na hakuna popote iko kwenye katiba au ilani ya cdm. Nakushauri tu boss, huu mjadala ni bora ukaupotezea maana unaonekana huna lolote ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu, kwa maneno ya kuokoteza.
 
Hizi false equivalencies unazotoa inaonesha human wisdom kwako ni msamiati

Yaani kwavile Juma kafanya kosa basi ni haki Ally kufanya kosa hilo hilo?

Hivi hii ni akili au matope?

Jamii yetu bwana,akinya John barabarani basi Abdallah anaruhusiwa kunya pia?
Point ya hapa ni tabia ya kuita watu wasaliti,mi sijali kwamba chadema wamenunuliwa wala Nccr kununuliwa.
Yani watakao hama chadema tu ndio wasaliti,mtu akipingana na chadema msaliti wao wamenunuliwa haikuwa usaliti ila wenzao kunuliwa ndio usaliti.

Ndio maana nauliza aliyesalitiwa ni nani hapa?
 
We unaleta ubishani wa kusaka ushindi lakini kimsingi umeishiwa na hoja. Na ni rahisi kwa mtu anayefuatilia mtiririko wa hoja zako kujua huna jipya. Umesema kuchafuana hakutolewi rasmi na chama, nimekutajia jambo la jukwaani lilifanywa na ccm tena na mbunge wa sasa kumchafua mtu hadharani, huku mgombea wa ccm ambaye ni mwenyekiti na rais wa sasa akiwa katika jukwaa hilo hilo na akionyesha fika kufurahia. Magufuli mwenyewe alitamka jukwaani kwa kusema mafisadi wamekimbilia cdm akimaanisha Lowassa.

Hiyo hoja ya usaliti haijasemwa na cdm kama chama labda uweke ushahidi, zaidi hizi kelele za manazi huku jukwaani. Na hayo mambo ya Lowassa kuitwa fisadi kulifanyika jukwaani na hakuna popote iko kwenye katiba au ilani ya cdm. Nakushauri tu boss, huu mjadala ni bora ukaupotezea maana unaonekana huna lolote ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu, kwa maneno ya kuokoteza.
Unaweza kuquote kuonyesha kufurahia wakaati nimekwambia ni tabia ya wabunge wa CCM kuchafuana jukwaani.
Kumwita mtu kajinyea hayo ni matusi tena matusi ya nguoni na ni tofauti kusema mtu kapokea hongo, kasaliti, kashirikiana na wapinzani kukimaliza chama tofautisha hayo. Ndicho nimejaribu kukuelewesha ule tu ni ujinga wa kusema sijui nani kajinyea sijui nani ana tumbo kubwa hayo ni matusi na sidhani kama mtu mwenye akili aatayachukulia seeriously yabadiri upigaji wake kura.
Lakini ukiniambia fulani msaliti kanunuliwa sasa hapo kuna tatizo na mara nyingi hizi za usaliti, sijui kanunuliwa uwa zinaanzia mtandaoni na kwenye magazeti hazinaga direct source ya msemaji wa chama
 
Kama lowasa alinunua chadema, Yuko wapi? Ameifanyia nini? Tuseme ameinunua akashindwa kanunu na masherti take! Sasa he ameiuza au ameikimbia?? Chadema si CCM, haiuzwi kwani hakuna anayeweza kufika bei, na wala hainunui mayai viza. Kilichoiza kikijiingiza kitatoka chenyewe na kuiacha chadema ikiwa imara. Dr. Slaa aliingia chadema kutoka CCM gatimaye pamoja na ugumu wake muda ulioifika alinunuliwa na bosi wake wa awali akatuachia chadema yetu ikiwa imara. Zito na machachari yake akafika bei na wenzake, wakatoka wakatuachia chadema yetu ikiwa imara.
Unahitaji uzalendo wa kweli ndo udumu chadema, siyo uzalendo masilahi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mbowe anaweza kuondoka akaiacha chadema imara.
 
Kwakua wew kazi yako ni kushangalia mithili ya zombie bila shaka hatuwez kuelewana.Keep in touch as long you attend toilet services
Natamani nikutukane ili nioneshe msisitizo wa kwamba sina ujinga wa kushabikia siasa kabisa.
 
CCM imechoka wala haitotufikisha kokote na CHADEMA haiaminiki yani kwasasa sijaona chama cha upinzani ambacho kina afadhari ni kwamba tu vinazidiana ma fans base. Ila wote ni wachumia tumbo tu afadhari ya Maarehemu Mtikila RIP

Sikutarajia uwe na hitimisho tofauti na hili. Na nimeona uwezo wako uko chini na ni mrahisi kubebwa na siasa za matukio na propaganda mfu. Ni kweli cdm imekufa kwa kujibu wa ccm, ila cdm imekufa au itakufa kwa mazingira gani yote iko ndani ya chuki binafsi na nongwa za Magufuli kupitia madaraka yake ya urais. Lakini cdm haiwezi kufa kwa ushindani wa kisiasa kwa maana halisi ya siasa za ushindani na kukosa kura za wananchi. Ukitaka kujua kama cdm imekufa kisiasa, angalia ile press conference ya katibu mkuu wa ccm, ni chama gani alikuwa anakitamka kama reference kwenye vyama 19. Haya ninayokuambia sikuambii kwa bahati mbaya bali ninajua ninachokisema. Itazame vizuri hii I'd, iko vyema kwenye upande huu wa siasa hasa za nchi hii. Jitahidi kutokushabikia siasa chafu na kuwa kipofu wa siasa za kipuuzi kwa sababu unazolishwa.
 
Asante kama nilivyosema matusi ndyo hoja yenu, ila ukweli ni kwamba mliwasaliti watanzania kwa kukiuza chama kwa Lowassa ambaye nyie wenyewe ndiye mlliyetwambia ni fisadi hata unitukane matusi mara ngapi lakini huo ndiyo ukweli na wewe unaujua na huna jinsi ya kujenga hoja zaidi ya kutukana
Kwa sasa huo uchafu uko wapi?? jibu ni ccm, kwahiyo mmelidhika kukaa nao ? au mnapango wa kuufukuza ili uhamie kwingine
 
Hata mbowe anaweza kuondoka akaiacha chadema imara.

Tena akitaka kuamini, Mbowe aende sasa hivi ccm aone kama ataenda na shabiki yoyote wa cdm. Hiyo cdm imeshakuwa kama imani fulani hivi. Ni sawa na sasa hivi shehe mkuu ahamie ukristo au kinyume chake atemee waumini aliokuwa anawaongoza ataondoka nao.
 
Sikutarajia uwe na hitimisho tofauti na hili. Na nimeona uwezo wako uko chini na ni mrahisi kubebwa na siasa za matukio na propaganda mfu. Ni kweli cdm imekufa kwa kujibu wa ccm, ila cdm imekufa au itakufa kwa mazingira gani yote iko ndani ya chuki binafsi na nongwa za Magufuli kupitia madaraka yake ya urais. Lakini cdm haiwezi kufa kwa ushindani wa kisiasa kwa maana halisi ya siasa za ushindani na kukosa kura za wananchi. Ukitaka kujua kama cdm imekufa kisiasa, angalia ile press conference ya katibu mkuu wa ccm, ni chama gani alikuwa anakitamka kama reference kwenye vyama 19. Haya ninayokuambia sikuambii kwa bahati mbaya bali ninajua ninachokisema. Itazame vizuri hii I'd, iko vyema kwenye upande huu wa siasa hasa za nchi hii. Jitahidi kutokushabikia siasa chafu na kuwa kipofu wa siasa za kipuuzi kwa sababu unazolishwa.
Siyo propaganda ni uhalisia watu walinunuliwa na wataendelea kununuliwa. Ndiyo maana nimekwambia vyama vya upinzani vyote sawa vinazidiana ma fan base tu Chadema wana fan base kubwa hasa kwenye miji na ma fan base ni ndiyo mzee ndiyo maana CCM inaiongelea zaidi Chadema kwasababu ina fan base kubwa.
Mimi siyo ndiyo mzee ndiyo maana ninahoji baadhi ya vitu na hilo linanifanya nionekane kama naipenda CCM ila kama kweli tunataka mabadiriko yaliyo ya kweli siyo mabadiriko ya eti leo kulikuwa na CCM kesho kuna CHADEMA lakini mambo ni yale yale, nina mashaka sana kama hayo mabadiriko yataletwa na CHADEMA chini ya uongozi uliopo
 
Kwa sasa huo uchafu uko wapi?? jibu ni ccm, kwahiyo mmelidhika kukaa nao ? au mnapango wa kuufukuza ili uhamie kwingine
Alikuja mwenyewe akakinunua akaondoka mwenyewe bora angefukuzwa. Sasa kama alipokelewa na akapewa kijiti cha kugombea uraisi ipo siku mtapokea kapi lingine.
 
Unaweza kuquote kuonyesha kufurahia wakaati nimekwambia ni tabia ya wabunge wa CCM kuchafuana jukwaani.
Kumwita mtu kajinyea hayo ni matusi tena matusi ya nguoni na ni tofauti kusema mtu kapokea hongo, kasaliti, kashirikiana na wapinzani kukimaliza chama tofautisha hayo. Ndicho nimejaribu kukuelewesha ule tu ni ujinga wa kusema sijui nani kajinyea sijui nani ana tumbo kubwa hayo ni matusi na sidhani kama mtu mwenye akili aatayachukulia seeriously yabadiri upigaji wake kura.
Lakini ukiniambia fulani msaliti kanunuliwa sasa hapo kuna tatizo na mara nyingi hizi za usaliti, sijui kanunuliwa uwa zinaanzia mtandaoni na kwenye magazeti hazinaga direct source ya msemaji wa chama

Ngoja kwanza nikuulize isije ikawa hatuna uelewa wa pamoja katika neno kuchafuana, tukaishia kubishana wakati nakuona dhahiri umeshachoka kwenye hoja. Kuchafuana ni kitendo cha kutweza haiba, heshima ama wajihi wa mtu. Kila mtu anaweza kusimama kwa angle yake kuona ni matusi, dhihaka, kejeli ama dharau, lakini lengo zima la kuchafuana ni ili kumshusha mtu hadhi yake. Kama unataka tuamini kuwa musukuma kusema Lowassa kajinyea ni matusi na sio kuchafuana, tungeona akichukuliwa hatua. Lengo la kusema siku ile kuwa Lowassa kajinyea, ilikuwa ni kuonyesha kuwa afya yake ni mbovu na hafai kuwa rais, ndio maana Magufuli alipiga pushup kuonyesha kuwa afya yake ni njema hivyo anafaa kuwa rais. Nakushauri acha kutetea siasa chafu kisha unakuja hapa jukwaani kuzijengea hoja. Hiyo unayoambiwa kuwa cdm inakufa sio kwasababu ya mapungufu yake kama taasisi, bali ni kwa sababu ya siasa chafu unazozifumbia macho.

Jitahidi kutoka kwenye hilo box uliloingia au kuingizwa ili ujue cdm imekufa au itakufa kwa sababu gani. 90% ya kinachofanyika hivi sasa dhidi ya cdm ni nongwa na chuki binafsi za Magufuli dhidi ya cdm, ila kwakuwa yuko juu ya katiba, anaweza kutumia madaraka yake kufanya lolote na kusiwepo wa kumfanya lolote kutokana na kinga yake kwenye katiba. Nyinyi wengine wote mmejikuta mnashabikia jambo la hatari kwa kujua au kutokujua, hasa kwa huu udhibiti wa vyama vingine kufanya siasa, na vyombo vya habari kudhibitiwa, hivyo mnalishwa taarifa za upande mmoja hatimaye mnaishia kujichanganya tu huku kwenye mijadala huru. Ndio maana unaona huku mitandaoni kuna mijadala tofauti kabisa na wananchi wanacholishwa na watawala, maana humu ndani kuna mawazo huru na kinachoongelewa huku ni uhalisia, au upande wa pili ambacho watawala hawataki watu wasikie.
 
Ngoja kwanza nikuulize isije ikawa hatuna uelewa wa pamoja katika neno kuchafuana, tukaishia kubishana wakati nakuona dhahiri umeshachoka kwenye hoja. Kuchafuana ni kitendo cha kutweza haiba, heshima ama wajihi wa mtu. Kila mtu anaweza kusimama kwa angle yake kuona ni matusi, dhihaka, kejeli ama dharau, lakini lengo zima la kuchafuana ni ili kumshusha mtu hadhi yake. Kama unataka tuamini kuwa musukuma kusema Lowassa kajinyea ni matusi na sio kuchafuana, tungeona akichukuliwa hatua. Lengo la kusema siku ile kuwa Lowassa kajinyea, ilikuwa ni kuonyesha kuwa afya yake ni mbovu na hafai kuwa rais, ndio maana Magufuli alipiga pushup kuonyesha kuwa afya yake ni njema hivyo anafaa kuwa rais. Nakushauri acha kutetea siasa chafu kisha unakuja hapa jukwaani kuzijengea hoja. Hiyo unayoambiwa kuwa cdm inakufa sio kwasababu ya mapungufu yake kama taasisi, bali ni kwa sababu ya siasa chafu unazozifumbia macho.

Jitahidi kutoka kwenye hilo box uliloingia au kuingizwa ili ujue cdm imekufa au itakufa kwa sababu gani. 90% ya kinachofanyika hivi sasa dhidi ya cdm ni nongwa na chuki binafsi za Magufuli dhidi ya cdm, ila kwakuwa yuko juu ya katiba, anaweza kutumia madaraka yake kufanya lolote na kusiwepo wa kumfanya lolote kutokana na kinga yake kwenye katiba. Nyinyi wengine wote mmejikuta mnashabikia jambo la hatari kwa kujua au kutokujua, hasa kwa huu udhibiti wa vyama vingine kufanya siasa, na vyombo vya habari kudhibitiwa, hivyo mnalishwa taarifa za upande mmoja hatimaye mnaishia kujichanganya tu huku kwenye mijadala huru. Ndio maana unaona huku mitandaoni kuna mijadala tofauti kabisa na wananchi wanacholishwa na watawala, maana humu ndani kuna mawazo huru na kinachoongelewa huku ni uhalisia, au upande wa pili ambacho watawala hawataki watu wasikie.
Mkuu hayo masuala sijui nani kajinyea sijui nani ana tumbo kama kiroba ni hoja zisizo na mashiko.. Yes ni kumchafua na kumdharirisha mtu lakini sidhani kama mwanasiasa anayejielewa anaweza hata fanya press conference kujitetea sijajinyea.
Ila sasa kusema flani ni msaliti, flani kanunuliwa unammaliza mhusika kisiasa lazima alisemee
 
Back
Top Bottom