Mbatia anawazaje kuiuza NCCR Mageuzi?

Mbatia anawazaje kuiuza NCCR Mageuzi?

Sikuwahifikiria kama Mbatia ni mpumbavu kiasi hichi,anatishia kutoa siri wakat watu kibao waliokua wanapanga mipango wapo ccm?Ni siri gani aliyokua nayo mbatia zaid ya waliyokua nayo akina Slaa?Aisee sikujua jamaa km ni senseless kiasi hicho
Kama vijana wa CHADEMA mliweza kumtusi matusi mabaya Slaa wakati alikuwa mstari wa mbele kukipigania chama na alichowaasa kuwa kitatokea ndicho kimetokea aliyekodi chama karudi nyumbani sidhani kama Mbatia mtamuacha salama maana ...
 
Mbatia ametahadharisha waliokuwa ukawa. anaweza kutaga muda wowote mkiendelea kumdhihaki, hopeless and immaturity behaviour
Pumbafu lingine hili.Hv MBATIA anaweza kua na siri nzito kuzidi walizokua nazo akina SLAA?Na lipumba je alienda CCM kabla ya kurudi sasa huyu Mbatata anasiri gani kuwazidi wenzake,nafikiri amestukiwa amechanganyikiwa amegeuka kuwa kituko kwa wapenda mageuzi.
 
Sikuwahifikiria kama Mbatia ni mpumbavu kiasi hichi,anatishia kutoa siri wakat watu kibao waliokua wanapanga mipango wapo ccm?Ni siri gani aliyokua nayo mbatia zaid ya waliyokua nayo akina Slaa?Aisee sikujua jamaa km ni senseless kiasi hicho
Tusijifanye tunaelewa sana haya mambo ya wanasiasa,ukizingatia hilo suala la Lowassa wakati sie hatuna hata mawazo ya kwamba chadema wanaweza kufikiri kumchukua Lowassa kumbe wenyewe wanashawishiana huko.
 
Kama vijana wa CHADEMA mliweza kumtusi matusi mabaya Slaa wakati alikuwa mstari wa mbele kukipigania chama na alichowaasa kuwa kitatokea ndicho kimetokea aliyekodi chama karudi nyumbani sidhani kama Mbatia mtamuacha salama maana ...
We ni mpumbavu unarukaruka tu sioni hoja ni ujinga mtupu.Just get lost!
 
Huna chama una nini? unayemtetea anakulipa ngapi? Unamtumikia huyo mdhalimu halafu hata hujitambui. Kazi ni kushinda JF kuandika vitu usivyovielewa kama zuzu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna hoja Mzee wa zidumu fikra za mwenyekiti yani hata hureason kabisa. Na mbaya zaidi kila anayehoji kinachoendelea mnamwita msaliti mnasema kanunuliwa na CCM, ilitokea kwa Zitto, ikatokea kwa Slaa na hata humu mtandaoni mtu akihoji chochote basi eti analipwa buku saba.
Pole sana kwa fikra mgando turudi kwenye hoja.
Lowassa hakuinunua CCM hiyo video umeiona lakini Lema akisema ni baraka kwa Mungu kumzomea Lowassa sasa vipi ilikkuaje akawa mtu safi?
 
We ni mpumbavu unarukaruka tu sioni hoja ni ujinga mtupu.Just get lost!
Asante kama nilivyosema matusi ndyo hoja yenu, ila ukweli ni kwamba mliwasaliti watanzania kwa kukiuza chama kwa Lowassa ambaye nyie wenyewe ndiye mlliyetwambia ni fisadi hata unitukane matusi mara ngapi lakini huo ndiyo ukweli na wewe unaujua na huna jinsi ya kujenga hoja zaidi ya kutukana
 
Tusijifanye tunaelewa sana haya mambo ya wanasiasa,ukizingatia hilo suala la Lowassa wakati sie hatuna hata mawazo ya kwamba chadema wanaweza kufikiri kumchukua Lowassa kumbe wenyewe wanashawishiana huko.
I cant get your point...sijui umeandika nn sipati connection na hoja iliyopo ya mbatia kutishia kutoa siri za ukawa.Hoja yangu ni kwamba yy sio wa kwanza kutoka ukawa,yaani ccm walikua wanamsubiri Mbatia awape siri wakati walishawanyakua wapanga mikakati akina Slaa?
 
Asante kama nilivyosema matusi ndyo hoja yenu, ila ukweli ni kwamba mliwasaliti watanzania kwa kukiuza chama kwa Lowassa ambaye nyie wenyewe ndiye mlliyetwambia ni fisadi hata unitukane matusi mara ngapi lakini huo ndiyo ukweli na wewe unaujua na huna jinsi ya kujenga hoja zaidi ya kutukana
Unadeserve kutukanwa kwa sababu wew ni static umekarir wimbo wa Lowassa ambao umeexpire.Kwan CCM haikusema Lowassa fisadi kuanzia enzi za kujivua magamba mbona amerudi na amepokelewa kwa mbwembwe na mwenyekiti anayejinasibu kupambana na ufisadi?Kwanza nimegundua nabishana na kivulana ambacho hakijui historia
 
Alichosaliti ni nini sasa? Maana hata Chadema ilinunuliwa na Lowassa lakini hakuna aliyesema akina Mbowe walikuwa wasaliti,ndiyo maana nauliza alichosaliti Mbatia ni kipi?

Hizi false equivalencies unazotoa inaonesha human wisdom kwako ni msamiati

Yaani kwavile Juma kafanya kosa basi ni haki Ally kufanya kosa hilo hilo?

Hivi hii ni akili au matope?

Jamii yetu bwana,akinya John barabarani basi Abdallah anaruhusiwa kunya pia?
 
Unadeserve kutukanwa kwa sababu wew ni static umekarir wimbo wa Lowassa ambao umeexpire.Kwan CCM haikusema Lowassa fisadi kuanzia enzi za kujivua magamba mbona amerudi na amepokelewa kwa mbwembwe na mwenyekiti anayejinasibu kupambana na ufisadi?Kwanza nimegundua nabishana na kivulana ambacho hakijui historia
Ndiyo na najua ni kitu kinachowauma sana kiliondoa moralauthority ya kuaminika kwanini muaminiwe sasa kama mliweza kukana mlichosema.
Kutukana ni fani yenu endelea kutukana maana huna uwezo wa kubishana kwa hoja.
Siyo kwamba umegundua ni kivulana ila umegundua huna la kusema zaidi ya kutukana. Nimekupa bonus tukana tena
 
Ilinunuliwa na haina moral authority ya kuwasema wengine...
Kuinunua CHADEMA kumeifanya CHADEMA iwe siyo chama cha kuaminika. Kama kilitumia zaidi ya miaka minne kutuaminisha Lowassa ni fisadi halafu kikamsimamisha kama mgombea uraisi na kusema mwenye ushahidi aupeleke mahakamani wakati wakina Mnyika walikuwa wakisema wana ushahhidi, sasa ni kitu gani kinakufanya uwaamini kwa hhaya wayasemayo?
Wanaweza wakabadirika muda wowote wakasema kama una ushahidi ulete kama wallivyofanya kwa Lowassa.
CHADEMA kinachowaponza ni kuwaacha watu waliopigania chama akiwemo Slaa na wengine mkakumbatia makapi ya CCM kisa yanaleta ela mkayapa vyeo na vijiti vya kugombea.
Haina moral authority kivipi?? Haiminiwi na nani?? Nani ulitegemea aiamini? Ninyi CCM??? Hatukutegemea kuaminiwa na CCM na wala hatuhitaji hilo. What you call moral authority is according to whose standards, ccm's standards? No way, do you claim to have morality?? We don't need CCM like people approval of our standards. You of all people you should not talk of morality.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zote maneno ya kuchafuana uwa mara nyingi hayatolewi matamko rasmi na chama uwa yanaibuka mtandaoni na kwenye vyombo vya habari lakini wahusika wanakuwa wanajua source ya maneno hayo.
Inauma eh?
Zitto amechafuliwa mara ngapi na CHADEMA mara ooh ACT ni ya Lowassa lakini baadae ikawa proved wrong.
Na hapa ilikuwa ishaanza semekana Membe ataenda ACT mpaka pale mwenyekiti aliposema Membe akienda CHADEMA atapokelewa ndipo hizo habari zikapotea


Uko sahihi kwa kiasi kuwa maneno ya kuchafuana hayatolewi matamko rasmi na chama. Sasa iweje Mbatia yeye ajibu rasmi na kuitaja cdm bila ushahidi. Na yeye angetumia njia hiyo hiyo isiyo rasmi, sana sana hapo kajionyesha kuwa anatumwa na Magufuli. Ila hilo la kusema kuwa maneno ya kuchafuana hayatolewi matamko rasmi na chama sidhani kama ni kweli, maana Magufuli alisema mafisadi yamekimbilia cdm kwakuwa yeye amekuwa mwenyekiti na rais kupitia ccm. Na alikuwa anamlenga Lowassa.

Wakati wa kampeni huko Geita Magufuli akiwa kwenye kampeni jukwaani, Mheshimiwa Musukuma sasa mbunge alisema na kuuliza umati uliokuwepo kwa kusema "Lowassa kajinyea" kisha akawa anarudia kuwauliza wananchi kuwa Lowassa Kafanyaje, wananchi wakawa wanaitikia kwa kusema "kajinyea" Sasa unaposema kuwa kuchafuana haikutolewi matamko rasmi huoni kuwa unajicontradict? Ni vyema ukakaa kimya kwani unalazimsha kutoa hoja za utetezi katika mazingira yasiyo rafiki.
 
Haina moral authority kivipi?? Haiminiwi na nani?? Nani ulitegemea aiamini? Ninyi CCM??? Hatukutegemea kuaminiwa na CCM na wala hatuhitaji hilo. What you call moral authority is according to whose standards, ccm's standards? No way, do you claim to have morality?? We don't need CCM like people approval of our standards. You of all people you should not talk of morality.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siyo CCM ni mwananchi wa kawaida na ndiyo maana mara nyingi napingana na utendaji kazi wa Magufuli. Kwa watu wenye kuhoji ni viigumu kuiamini CHADEMA kwa maana muda wowote wanaweza kubadirisha gear angani. Watu wanaoielewa CHADEMA ni wale wa YES mwenyekiti ambao hawahoji na ndiyo hao wanaopendwa sana na CHADEMA na CCM pia. Die hard fans
Kwa watu wanaotaka mabadiriko haswa lazima wahoji
 
Uko sahihi kwa kiasi kuwa maneno ya kuchafuana hayatolewi matamko rasmi na chama. Sasa iweje Mbatia yeye ajibu rasmi na kuitaja cdm bila ushahidi. Na yeye angetumia njia hiyo hiyo isiyo rasmi, sana sana hapo kajionyesha kuwa anatumwa na Magufuli. Ila hilo la kusema kuwa maneno ya kuchafuana hayatolewi matamko rasmi na chama sidhani kama ni kweli, maana Magufuli alisema mafisadi yamekimbilia cdm kwakuwa yeye amekuwa mwenyekiti na rais kupitia ccm. Na alikuwa anamlenga Lowassa.

Wakati wa kampeni huko Geita Magufuli akiwa kwenye kampeni jukwaani, Mheshimiwa Musukuma sasa mbunge alisema na kuuliza umati uliokuwepo kwa kusema "Lowassa kajinyea" kisha akawa anarudia kuwauliza wananchi kuwa Lowassa Kafanyaje, wananchi wakawa wanaitikia kwa kusema "kajinyea" Sasa unaposema kuwa kuchafuana haikutolewi matamko rasmi huoni kuwa unajicontradict? Ni vyema ukakaa kimya kwani unalazimsha kutoa hoja za utetezi katika mazingira yasiyo rafiki.
Hiyo ni tip ya ice burg na kujinyea si hoja ya kichama kama hoja za usaliti, kupokea rushwa kununuliwa. Kujinyea ni matusi ambayo CCM huyatumia sana majukwaani si kwa Lowasssa tu watu kama msukuma na wengine kampeni zao zimejaa matusi tena ya nguoni
 
I cant get your point...sijui umeandika nn sipati connection na hoja iliyopo ya mbatia kutishia kutoa siri za ukawa.Hoja yangu ni kwamba yy sio wa kwanza kutoka ukawa,yaani ccm walikua wanamsubiri Mbatia awape siri wakati walishawanyakua wapanga mikakati akina Slaa?
Alichokisema Mbatia umekielewa lakini? Maana naona wewe ndiyo unajiandikia ujinga hapa.
 
Alichokisema Mbatia umekielewa lakini? Maana naona wewe ndiyo unajiandikia ujinga hapa.
Kwakua wew kazi yako ni kushangalia mithili ya zombie bila shaka hatuwez kuelewana.Keep in touch as long you attend toilet services
 
Ndiyo na najua ni kitu kinachowauma sana kiliondoa moralauthority ya kuaminika kwanini muaminiwe sasa kama mliweza kukana mlichosema.
Kutukana ni fani yenu endelea kutukana maana huna uwezo wa kubishana kwa hoja.
Siyo kwamba umegundua ni kivulana ila umegundua huna la kusema zaidi ya kutukana. Nimekupa bonus tukana tena

Naona kama pumzi imekata. Hebu tuache huku kwenye siasa nyepesi, twende kwenye siasa za hoja nzito. Katiba yetu na ccm wanaamini kuwa nchi yetu ni ya ujamaa na kujitegemea, je ni kweli nchi yetu kwa sasa inafuata siasa hiyo? Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete pamoja na chama chake walikuwa wanatuimbisha wimbo wa uchumi wa gasi kama wendawazimu, huku Magufuli akiwa kimya kabisa tena waziri. Leo hii kaingia madarakani anasema gas sio yetu, na yeye kaingia kwenye mkopo wa ujenzi wa umeme wa maji! Je inakuwaje ccm waendelee kuaminiwa huku kauli zao zikipishana kuhusu eneo la nishati na sera ya ujamaa kutokutekelezwa, lakini utake kutuaminisha cdm hawawezi kuaminiwa kwa kusema Lowassa ni fisadi kisha kumpokea? Mwanzoni nilikuwa nakuona kama we ni mjengaji mzuri wa hoja, lakini kwa hizi hoja za siasa nyepesi nimegundua kuwa we aidha una nongwa na cdm, au ni bendera fuata upepo, ama vyote kwa pamoja. Nilikuoverate bure kumbe ni bogus fulani.
 
Ndiyo na najua ni kitu kinachowauma sana kiliondoa moralauthority ya kuaminika kwanini muaminiwe sasa kama mliweza kukana mlichosema.
Kutukana ni fani yenu endelea kutukana maana huna uwezo wa kubishana kwa hoja.
Siyo kwamba umegundua ni kivulana ila umegundua huna la kusema zaidi ya kutukana. Nimekupa bonus tukana tena
Huna hoja wew ni mpumbavu.Sina muda kuanzia ss kubishana na mtu kama wew ambaye unatumia masikio kufikiri badala ya kushirikisha ubongo.
 
Huna hoja wew ni mpumbavu.Sina muda kuanzia ss kubishana na mtu kama wew ambaye unatumia masikio kufikiri badala ya kushirikisha ubongo.
Pale mjinga anapotukana na kuhisi yeye ndiye ana akili... Mzee wa zidumu fikra za mwenyekiti.. Katazame kale kavideo tena. Nimekuongeza bonus tukana tena.
Mkuu kwa hiyo siasa nyepesi ni kurejea historia ya kilichotokea? Tunajifunza kwa historia ujue
 
Naona kama pumzi imekata. Hebu tuache huku kwenye siasa nyepesi, twende kwenye siasa za hoja nzito. Katiba yetu na ccm wanaamini kuwa nchi yetu ni ya ujamaa na kujitegemea, je ni kweli nchi yetu kwa sasa inafuata siasa hiyo? Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete pamoja na chama chake walikuwa wanatuimbisha wimbo wa uchumi wa gasi kama wendawazimu, huku Magufuli akiwa kimya kabisa tena waziri. Leo hii kaingia madarakani anasema gas sio yetu, na yeye kaingia kwenye mkopo wa ujenzi wa umeme wa maji! Je inakuwaje ccm waendelee kuaminiwa huku kauli zao zikipishana kuhusu eneo la nishati na sera ya ujamaa kutokutekelezwa, lakini utake kutuaminisha cdm hawawezi kuaminiwa kwa kusema Lowassa ni fisadi kisha kumpokea? Mwanzoni nilikuwa nakuona kama we ni mjengaji mzuri wa hoja, lakini kwa hizi hoja za siasa nyepesi nimegundua kuwa we aidha una nongwa na cdm, au ni bendera fuata upepo, ama vyote kwa pamoja. Nilikuoverate bure kumbe ni bogus fulani.
CCM imechoka wala haitotufikisha kokote na CHADEMA haiaminiki yani kwasasa sijaona chama cha upinzani ambacho kina afadhari ni kwamba tu vinazidiana ma fans base. Ila wote ni wachumia tumbo tu afadhari ya Maarehemu Mtikila RIP
 
Back
Top Bottom