Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,995
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa kwamba kinachoitwa Mkutano Mkuu wa dharura wa NCCR MAGEUZI, ulioongozwa na Joseph Selasini umemvua uanachama na kumfukuza James Mbatia na Makamu wake .
Hayakutolewa maelezo zaidi .
Chanzo : Mwananchi
===============
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Nccr Mageuzi wamepitisha azimio la kumvua Uwenyekiti aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho James Mbatia na kumfukuza uanachama wa chama hicho, Mkutano huo umefikia maamuzi hayo katika kikao chake kilichofanyika mapema leo asubuhi Jijini Dodoma.
Aidha, wamemvua umakamu uenyekiti Bara Angelina Rutaigwa
Hayakutolewa maelezo zaidi .
Chanzo : Mwananchi
===============
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Nccr Mageuzi wamepitisha azimio la kumvua Uwenyekiti aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho James Mbatia na kumfukuza uanachama wa chama hicho, Mkutano huo umefikia maamuzi hayo katika kikao chake kilichofanyika mapema leo asubuhi Jijini Dodoma.
Aidha, wamemvua umakamu uenyekiti Bara Angelina Rutaigwa