Mbatia anawazaje kuiuza NCCR Mageuzi?

Mbatia anawazaje kuiuza NCCR Mageuzi?

Mimi nazungumzia hii mijadala iliyokuwepo kwenye hili jukwaa,si kweli kwamba mijadala ya siasa kote ndio huwa hivi,humu ushabiki ndio uliyochukua nafasi. Mimi nachokieleza humu ni maoni yangu hivyo we yaheshimu usiniambie niende wapi wala wapi.

Taja kwingine kwenye mijadala ya siasa isiyo ya namna hii, na ni kipi kimekuondoa huko kwenye ustaarabu ukaja kulilia huku. Huko bungeni kwenyewe tunaona mwenendo ukiwa huu huu wa kama huku ndani, ww unatuambia sio kila mahali?
 
Tanzania Kuna chama tawala na jumuia zake, yaani NCCR ...., CUF, ACT, na chama Cha upinzani kimoja, CHADEMA!

Labda kwa hao wengine. ACT itakuwa si kuwatendea haki.

Ngoja wavute na lile jembe la kusini.

Wakipokuwa chama kikuu cha upinzani tusije anza tafutana kutabiri lini nani atakufa.

2020 twende na Membe muziki wake itakuwa balaa.
 
Humu kuna ushabiki na umbeya wa kisiasa ndio sehemu kubwa ya mijadala ya humu humu,ndio maana mara nyingi watu humu huwa tunaishia kusoma tu habari ili uhabarike basi mijadala tunawaachia wenyewe wazee wa kuitana manyumbu.
Uelewe jambo siasa sio proffessional field ni ya watu wote,hata waliosomea km mim hawaitwi politician wanaitwa political analyst.Hakuna namna unaweza kujitenga na siasa ipo kila mahali
 
hata kile kinachojiita chama kikuu cha upinzani mwaka 2015 watu walifika bei kikanunuliwa. Muulize Erythrocyte atakusimulia walivyodeki barabara
 
Aitwe msaliti kamsaliti nani? Mbona hatuelewani hapa? Nimekupa mfano wa chadema mbona hukuuliza tuwaite nani kwa walichokifanya? Walikula dili lao na Lowassa fresh hakuna cha kuitana wasaliti wala nini mambo yakaisha,sasa kama kawaida wanasiasa walivyo na Mbatia nae kapewa dili mnakuja kumwita msaliti!!!

Hakuna aliyesalitiwa na Mbatia hivyo mngemuacha tu kuna haja gani ya kuanza kutafuta majina ya kumwita?mkaushe tu kama chadema walivyokula dili la Lowassa hatukutafuta jina la kuwapa.

Tuache kujifanya tunawajua sana wanasiasa wanapokuwa wanafanya siasa zao kuna mambo mengi hatujui kuhusu hawa jamaa sasa huu ushabiki wenu wanawaona wajinga tu.

Mkuu

Unaongea kiajabu sana

Wewe unadhani mwenye haki ya kujisikia kasalitiwa whether ni sahihi au sio sahihi wewe unampangia kama nani?

Wapinzani ambao ndio wananchi wa hivi vyama wameona Mbatia kawasaliti,whether wewe binafsi unaona hajawasaliti ni wewe kwa macho yako kwa upande wako binafsi!

Mbatia kapokea masharti ya kutumiwa kutoka kwa mwenyekiti wa CcM achafue na kuvuruga upinzani,sisi ambao ni wapinzani kwa macho yetu which are not yours yameona katusaliti,ndio maana umeona reaction yetu mwenye social media

We do not care what you think of us,na wala hatujali unajua maana ya “usaliti” kiasi gani,keep those for yourself!

Sasa,tufupishe tu,sisi tunaona Mbatia katusaliti kwa kwenda kuanza kumtetea Magufuli,wewe unaona hajatusaliti,good for you not for us!

Sisi wapinzani tulioko huku tuliona Mbowe hajatusaliti kwa kumpokea Lowassa,wewe umeona katusaliti,ni wewe na your observations,which unfortunately do not matter to us,only matters to you!Keep it for yourself!

Again,wewe huwezi kutuelekeza sisi wapinzani ni nini usaliti kwetu na nini sio usaliti,sababu ni kwamba you dont know how it feels like to be an opposition,keep those sentiments to your dear self!

Fvck ccm,fvck Mbatia,fvck Mapumba,fvck Maalim,fvck Zitto....and if you are down wit’em fvck you too!

Nenda kashitaki!
 
Taja kwingine kwenye mijadala ya siasa isiyo ya namna hii, na ni kipi kimekuondoa huko kwenye ustaarabu ukaja kulilia huku. Huko bungeni kwenyewe tunaona mwenendo ukiwa huu huu wa kama huku ndani, ww unatuambia sio kila mahali?
Basi sawa kama ndio hivyo.
 
Uelewe jambo siasa sio proffessional field ni ya watu wote,hata waliosomea km mim hawaitwi politician wanaitwa political analyst.Hakuna namna unaweza kujitenga na siasa ipo kila mahali
Ushabiki na umbeya wa kisiasa haupo kila mahali mkuu hivyo ni kitu ambacho kinakwepeka kabisa.
 
Mkuu

Unaongea kiajabu sana

Wewe unadhani mwenye haki ya kujisikia kasalitiwa whether ni sahihi au sio sahihi wewe unampangia kama nani?

Wapinzani ambao ndio wananchi wa hivi vyama wameona Mbatia kawasaliti,whether wewe binafsi unaona hajawasaliti ni wewe kwa macho yako kwa upande wako binafsi!

Mbatia kapokea masharti ya kutumiwa kutoka kwa mwenyekiti wa CcM achafue na kuvuruga upinzani,sisi ambao ni wapinzani kwa macho yetu which are not yours yameona katusaliti,ndio maana umeona reaction yetu mwenye social media

We do not care what you think of us,na wala hatujali unajua maana ya “usaliti” kiasi gani,keep those for yourself!

Sasa,tufupishe tu,sisi tunaona Mbatia katusaliti kwa kwenda kuanza kumtetea Magufuli,wewe unaona hajatusaliti,good for you not for us!

Sisi wapinzani tulioko huku tuliona Mbowe hajatusaliti kwa kumpokea Lowassa,wewe umeona katusaliti,ni wewe na your observations,which unfortunately do not matter to us,only matters to you!Keep it for yourself!

Again,wewe huwezi kutuelekeza sisi wapinzani ni nini usaliti kwetu na nini sio usaliti,sababu ni kwamba you dont know how it feels like to be an opposition,keep those sentiments to your dear self!

Fvck ccm,fvck Mbatia,fvck Mapumba,fvck Maalim,fvck Zitto....and if you are down wit’em fvck you too!

Nenda kashitaki!
Safi kabisa sasa nimekuelewa,aisee! Kwa hali hiyo najivunia kutokuwa mshabiki wa vyama vya siasa.

Nimejifunza kitu kuwa kuna watu wanachuki na ccm tu na si kwamba huchukizwa na yale wanayoyafanya ccm.
 
Mzee hana hoja ya kujenga chama chake...kaja na hoja ya CDM Niguse niseme mfwazili wa UKAWA... ha ha ha

Wazee wetu hawa aisee....
 
Narudia tena kusema hakuna mtu mwenye akili timamu atakubali kushirikiana na upinzani au chama kikuu cha upinzani chini ya Mbowe. Hayupo na hatakuwepo atakayebaki .
Ni bora mtu aungane na dikteta aliyeshika dola kuliko kuungana na dikteta asiye na kitu chochote zaidi ya SACCO'S.
Mbowe alikosea sana kuandaa vijana wavuta bangi kuandamana ili achukue tena uenyekiti na yeye asivyo na maarifa ya siasa za Karne hii akaingia mkenge akang'ang'ania uongozi.
Ameua upinzani chini ya Ukawa mana wote walikua wanategemea kubebwa na Harakati za Chama Cha Damokrasia na Maendeleo. Watu walitegemea kujifunza Demokrasia kupitia Chadema.

Leo hii utamshawishi nani apiganie Demokrasia kupitia Chadema.
Nani yupo tayari kutoka yeye na Mke wake na kuvunjwa miguu kama enzi za Dr.Slaa?
Nani yupo tayari kupigania Demokrasia inayoongozwa na Mbowe Tajiri mpenda madaraka asiyejali maslahi ya wanyonge zaidi ya Uenyekiti wake?

Watanzania wanataka Mabadiliko ,Watanzania wanataka Demokrasia ! Wasipoipata ndani ya Chadema wataipata nje ya Chadema.

Nenda Mbatia Jembe letu la taifa.
Tunahitaji maendeleo ya mama Tanzania sio Maeneleo ya mfuko na uenyekiti wa Mbowe na genge lake wanaotukana watu mitandaoni. Tuliona walivyokua wanamzomea Mzee wa Busara John Shibuda siku ya uchaguzi wa Chama chao. Mbowe ameshindwa kujenga siasa za kistarabu na kidemokrasia ndani ya Chadema kwa miaka 16 lakini wanataka Mh. Magufuli ajenge Demokrasia ndani ya miaka mitano.
Chadema wametanguliza Mkokoteni wakamweka Farasi Nyuma.
Angalieni mikakati ya Zito Kabwe ya kujenga Chama chake ; alistahili sana kuiongoza Chadema kwa mika sita iliyopita leo hii nguvu ya Chadema isingodhoofika kama ilivyo sasa. Waliopo ACT ndio waliokua wapinzani wa kweli. Waliokua wameandaliawa na Zito kabwe wakati akiwa Chadema . Walioandaliwa na kupewa madaraka na Mbowe wote wamekimbilia CCM kwa kununuliwa . Mbowe ameua upinzani nchini kwa kusababisha Watanzania wasiamini tena siasa za kupinga serikali kuhusu Demokrasia.
Mbowe analinda maslahi yake ndani ya Chadema kwa hiyo tumuache Mbatia aangalie kesho yake.

Ni vyema tukapata madiwani na Wabunge wa upinzani lakini Rais abaki Mh. Magufuli. Hilo halina Ubishi hakuna chama kilichojiandaa kushika dola lenye misingi ya Demokrasia. Bora CCM mana kimejipambanua kwa muda mrefu kuwa ni Chama cha Kijamaa na kinatumia dola kuendesha siasa zake. Hao wengine wajiandae kwanza na watuletee serikali iliyoiva kidemokrasia kuanzania ndani ya vyama vyao. Ni bora ACT wanaonyesha kujiandaa na wakiongeza ujuzi watachukua Dola kule Zanzibar.

Hatutaki Chama kitakachokuja kuitawala nchi hii kwa Misingi hii hii na mbinu hizi hizi za CCM.
Hatutaki chama chenye Wenyeviti miungu watu tena kiingie madarakani na kushika dola. Chadema ikiingia madarakani chini ya uenyekiti wa Mbowe nchi haitatawalika.
Tunataka Demokrasia ijengwe kuanzia chini ili tuwe na Taifa la watu wastarabu.

Mtu kuhama chama haiwezi kuwa ni uadui . Kama amenunuliwa kwa nini nyie msiwanunue kama ndio siasa za Watanzania wapenda madaraka na wabinafsi?

Bado Selesini naye namshauri tuu kiroho safi kabisa bunge likiivunjwa mwezi wa sita asipoteze muda ndani ya Chadema ya mpalestima mmoja Mbowe. Kukijenga Chadema kwa kujitolea maisha ni kumpa Mbowe umiliki halali wa Chadema.
Chadema ni chama cha mtu mmoja tuu. Anaamua anachotaka yeye na ukoo wake.
Wengine wote ni wasindikizaji tuu.October mwaka huu ndio utakua mwisho wa Siasa za Chadema na Mbowe kama mmiliki na hakuna mwenye jeuri ya kumtoa pale wala kumwajibisha kwa uzembe na ujinga alioufanya kwa kushindwa kujua kuwa watu wa ndani kabisa kwenye chama chake hawamtaki kabisa na hawapo tayari kuongozwa naye kwa sasa ndio maana wanaamua kusepa zao.

Kaka yangu Komu naye ajitafakari kama kweli alikua na ndoto ya kulikomboa Taifa hili kwa kutumia Elimu na kipaji alicho nacho basi hana Budi kutafuta chama kingine na kuachana na Dikteta asiye na Dola ,ikiwezekana ajiunge na CCM awaongoze wananchi kutafuta maendeleo ya nchi.

Hata Kileo yule aliyejaribu kule jimbo la Mwanga aachane kabisa na siasa za Mbowe na Chadema aangalie maisha yake mana Mbowe naye anaangalia maisha yake ndio maana hataki kuwa nje ya Uenyekiti wa kamapuni yake ya Chadema. Kileo asipoteze muda wake kupigania chama cha ukoo wa Mbowe kule Hai.

Watanzania wanataka Demokrasia wasipoipata ndani ya Chadema wataipata nje ya Chadema.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili uwin majority kwenye politics lazima uwe mmbeya.Huwez kutenganisha umbeya na siasa
Kwa siasa za ushabiki wa vyama kila kitu kinawezakana,ongezea na unafki. Ndiyo maana sie wengine tulijiweka mbali na siasa za ushabiki wa vyama
 
Watu wenye njaa siku zote hukosa heshima.
Narudia tena kusema hakuna mtu mwenye akili timamu atakubali kushirikiana na upinzani au chama kikuu cha upinzani chini ya Mbowe. Hayupo na hatakuwepo atakayebaki .
Ni bora mtu aungane na dikteta aliyeshika dola kuliko kuungana na dikteta asiye na kitu chochote zaidi ya SACCO'S.
Mbowe alikosea sana kuandaa vijana wavuta bangi kuandamana ili achukue tena uenyekiti na yeye asivyo na maarifa ya siasa za Karne hii akaingia mkenge akang'ang'ania uongozi.
Ameua upinzani chini ya Ukawa mana wote walikua wanategemea kubebwa na Harakati za Chama Cha Damokrasia na Maendeleo. Watu walitegemea kujifunza Demokrasia kupitia Chadema.

Leo hii utamshawishi nani apiganie Demokrasia kupitia Chadema.
Nani yupo tayari kutoka yeye na Mke wake na kuvunjwa miguu kama enzi za Dr.Slaa?
Nani yupo tayari kupigania Demokrasia inayoongozwa na Mbowe Tajiri mpenda madaraka asiyejali maslahi ya wanyonge zaidi ya Uenyekiti wake?

Watanzania wanataka Mabadiliko ,Watanzania wanataka Demokrasia ! Wasipoipata ndani ya Chadema wataipata nje ya Chadema.

Nenda Mbatia Jembe letu la taifa.
Tunahitaji maendeleo ya mama Tanzania sio Maeneleo ya mfuko na uenyekiti wa Mbowe na genge lake wanaotukana watu mitandaoni. Tuliona walivyokua wanamzomea Mzee wa Busara John Shibuda siku ya uchaguzi wa Chama chao. Mbowe ameshindwa kujenga siasa za kistarabu na kidemokrasia ndani ya Chadema kwa miaka 16 lakini wanataka Mh. Magufuli ajenge Demokrasia ndani ya miaka mitano.
Chadema wametanguliza Mkokoteni wakamweka Farasi Nyuma.
Angalieni mikakati ya Zito Kabwe ya kujenga Chama chake ; alistahili sana kuiongoza Chadema kwa mika sita iliyopita leo hii nguvu ya Chadema isingodhoofika kama ilivyo sasa. Waliopo ACT ndio waliokua wapinzani wa kweli. Waliokua wameandaliawa na Zito kabwe wakati akiwa Chadema . Walioandaliwa na kupewa madaraka na Mbowe wote wamekimbilia CCM kwa kununuliwa . Mbowe ameua upinzani nchini kwa kusababisha Watanzania wasiamini tena siasa za kupinga serikali kuhusu Demokrasia.
Mbowe analinda maslahi yake ndani ya Chadema kwa hiyo tumuache Mbatia aangalie kesho yake.

Ni vyema tukapata madiwani na Wabunge wa upinzani lakini Rais abaki Mh. Magufuli. Hilo halina Ubishi hakuna chama kilichojiandaa kushika dola lenye misingi ya Demokrasia. Bora CCM mana kimejipambanua kwa muda mrefu kuwa ni Chama cha Kijamaa na kinatumia dola kuendesha siasa zake. Hao wengine wajiandae kwanza na watuletee serikali iliyoiva kidemokrasia kuanzania ndani ya vyama vyao. Ni bora ACT wanaonyesha kujiandaa na wakiongeza ujuzi watachukua Dola kule Zanzibar.

Hatutaki Chama kitakachokuja kuitawala nchi hii kwa Misingi hii hii na mbinu hizi hizi za CCM.
Hatutaki chama chenye Wenyeviti miungu watu tena kiingie madarakani na kushika dola. Chadema ikiingia madarakani chini ya uenyekiti wa Mbowe nchi haitatawalika.
Tunataka Demokrasia ijengwe kuanzia chini ili tuwe na Taifa la watu wastarabu.

Mtu kuhama chama haiwezi kuwa ni uadui . Kama amenunuliwa kwa nini nyie msiwanunue kama ndio siasa za Watanzania wapenda madaraka na wabinafsi?

Bado Selesini naye namshauri tuu kiroho safi kabisa bunge likiivunjwa mwezi wa sita asipoteze muda ndani ya Chadema ya mpalestima mmoja Mbowe. Kukijenga Chadema kwa kujitolea maisha ni kumpa Mbowe umiliki halali wa Chadema.
Chadema ni chama cha mtu mmoja tuu. Anaamua anachotaka yeye na ukoo wake.
Wengine wote ni wasindikizaji tuu.October mwaka huu ndio utakua mwisho wa Siasa za Chadema na Mbowe kama mmiliki na hakuna mwenye jeuri ya kumtoa pale wala kumwajibisha kwa uzembe na ujinga alioufanya kwa kushindwa kujua kuwa watu wa ndani kabisa kwenye chama chake hawamtaki kabisa na hawapo tayari kuongozwa naye kwa sasa ndio maana wanaamua kusepa zao.

Kaka yangu Komu naye ajitafakari kama kweli alikua na ndoto ya kulikomboa Taifa hili kwa kutumia Elimu na kipaji alicho nacho basi hana Budi kutafuta chama kingine na kuachana na Dikteta asiye na Dola ,ikiwezekana ajiunge na CCM awaongoze wananchi kutafuta maendeleo ya nchi.

Hata Kileo yule aliyejaribu kule jimbo la Mwanga aachane kabisa na siasa za Mbowe na Chadema aangalie maisha yake mana Mbowe naye anaangalia maisha yake ndio maana hataki kuwa nje ya Uenyekiti wa kamapuni yake ya Chadema. Kileo asipoteze muda wake kupigania chama cha ukoo wa Mbowe kule Hai.

Watanzania wanataka Demokrasia wasipoipata ndani ya Chadema wataipata nje ya Chadema.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom