Mbatia anawazaje kuiuza NCCR Mageuzi?

Mbatia anawazaje kuiuza NCCR Mageuzi?

Siyo propaganda ni uhalisia watu walinunuliwa na wataendelea kununuliwa. Ndiyo maana nimekwambia vyama vya upinzani vyote sawa vinazidiana ma fan base tu Chadema wana fan base kubwa hasa kwenye miji na ma fan base ni ndiyo mzee ndiyo maana CCM inaiongelea zaidi Chadema kwasababu ina fan base kubwa.
Mimi siyo ndiyo mzee ndiyo maana ninahoji baadhi ya vitu na hilo linanifanya nionekane kama naipenda CCM ila kama kweli tunataka mabadiriko yaliyo ya kweli siyo mabadiriko ya eti leo kulikuwa na CCM kesho kuna CHADEMA lakini mambo ni yale yale, nina mashaka sana kama hayo mabadiriko yataletwa na CHADEMA chini ya uongozi uliopo

Kwa taarifa yako mimi ni mshabiki wa cdm tena kindakindaki, pitia post zangu toka 2011 nilipojiunga hapa jukwaani kama nimebadilika kwenye hilo. Nilipinga ujio wa Lowassa ndani ya cdm, na ninakubaliana wazi wazi kuwa kwa Lowassa cdm walichemka, na hata hivi majuzi nimepinga na ninaendelea kupinga Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm, kwani muda wake umeisha na hana jipya. Haya maoni yangu yako wazi peupe hapa jukwaani, na hata hao cdm damu damu wanajua msimamo wangu huu. Mbona mimi sionekani ni ccm? Au mimi na ww tunatolea maoni sehemu tofauti kisha tunakutana hapa jukwaani? Ninajua ninachozungumza na ninachotetea, nimegundua kama nilivyosema, ww una nongwa na cdm, bendera fuata upepo au vyote kwa pamoja, ndio maana unaishia kujichanganya tu humu kwenye mjadala.
 
If that so,then what are you doing in political forum? This is an egoistic statement
Unaona sasa? Kwahiyo ina maana hili ni jukwaa la kushabikia siasa? Na ndio tatizo lenu mnafikiri siasa ni huu ushabiki wenu kama wa simba na yanga. Yani wenyewe mkipiga domo humu kuitana manyumbu sijui nani kalipwa buku saba ..ndio mnaona mmejadili siasa kabisa na ndio lengo la hili jukwaa?

Mmefanya mpaka watu washindwe kuja kutoa hoja zao za maana kisa watu kama nyie ambao mkiona mada tu kwanza mnaangalia mada ikoje ili mjue ni ccm au upinzani,hamjui kabisa kuwa wengine hatuna vyama wala hatuna ushabiki wenu huo tuko huru kueleza chochote hatujajipa upinzani wala uccm.
 
Kwa taarifa yako mimi ni mshabiki wa cdm tena kindakindaki, pitia post zangu toka 2011 nilipojiunga hapa jukwaani kama nimebadilika kwenye hilo. Nilipinga ujio wa Lowassa ndani ya cdm, na ninakubaliana wazi wazi kuwa kwa Lowassa cdm walichemka, na hata hivi majuzi nimepinga na ninaendelea kupinga Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm, kwani muda wake umeisha na hana jipya. Haya maoni yangu yako wazi peupe hapa jukwaani, na hata hao cdm damu damu wanajua msimamo wangu huu. Mbona mimi sionekani ni ccm? Au mimi na ww tunatolea maoni sehemu tofauti kisha tunakutana hapa jukwaani? Ninajua ninachozungumza na ninachotetea, nimegundua kama nilivyosema, ww una nongwa na cdm, bendera fuata upepo au vyote kwa pamoja, ndio maana unaishia kujichanganya tu humu kwenye mjadala.
Mimi nilikuwa mfuasi wa CHADEMA toka niko A level mpaka chuo mpaka nimemaliza ila nilishtuka nilipoona kuwa kumbe chama kinaweza kuingia mkataba na shetani ili mradi tu kipate uongozi.
Toka siku hiyo niliamua kuwa sina chama mimi nasema kote kote ungeweza kupitia mijadara inayohusu CCM nikicomment mara nyingi napinga mwenendo wa serikali hii
 
Mkuu hayo masuala sijui nani kajinyea sijui nani ana tumbo kama kiroba ni hoja zisizo na mashiko.. Yes ni kumchafua na kumdharirisha mtu lakini sidhani kama mwanasiasa anayejielewa anaweza hata fanya press conference kujitetea sijajinyea.
Ila sasa kusema flani ni msaliti, flani kanunuliwa unammaliza mhusika kisiasa lazima alisemee

Hivi ww dogo hoja yako ni nini hapa, unazungumzia kuchafuana au uwezo wa kujitetea baada ya kuchafuliwa? Ili sasa nijue naongea na ww nini, maana nimekupa mifano mingi kuonyesha hoja zako ni za kurukia na huna lolote ujualo zaidi ya kutetea siasa mfu. Nimekuambia Mbatia hajachafuliwa na cdm kama chama, bali manazi wa mitandaoni. Huku mitandaoni sio ofisi za chama chochote cha siasa, labda kuwa na verified I'd ya chama. Sasa Mbatia kuchafuliwa mitandaoni kisha kuwatuhumu cdm kama chama sio sahihi. Nadhani ungebaki hapa ungekuwa salama, na sio mara kujitetea mara sijui kuchafuana ni huku ama huku.

Napenda nikiri una uwezo mzuri wa kujenga hoja, ila kwa sababu ya nongwa dhidi ya cdm unajipinguzia marks. Toka nje ya siasa chafu unazolishwa uwe huru. Lakini eti cdm inakufa, sijui wanamchafua Mbatia hayakutoi, maana unageuka kituko.
 
Hivi ww dogo hoja yako ni nini hapa, unazungumzia kuchafuana au uwezo wa kujitetea baada ya kuchafuliwa? Ili sasa nijue naongea na ww nini, maana nimekupa mifano mingi kuonyesha hoja zako ni za kurukia na huna lolote ujualo zaidi ya kutetea siasa mfu. Nimekuambia Mbatia hajachafuliwa na cdm kama chama, bali manazi wa mitandaoni. Huku mitandaoni sio ofisi za chama chochote cha siasa, labda kuwa na verified I'd ya chama. Sasa Mbatia kuchafuliwa mitandaoni kisha kuwatuhumu cdm kama chama sio sahihi. Nadhani ungebaki hapa ungekuwa salama, na sio mara kujitetea mara sijui kuchafuana ni huku ama huku.

Napenda nikiri una uwezo mzuri wa kujenga hoja, ila kwa sababu ya nongwa dhidi ya cdm unajipinguzia marks. Toka nje ya siasa chafu unazolishwa uwe huru. Lakini eti cdm inakufa, sijui wanamchafua Mbatia hayakutoi, maana unageuka kituko.
Kumbe mimi ni dogo?
Aisee ...!!!
Mbatia anawatuhumu kwakuwa anajua chanzo cha habari hizi si walikuwa wote UKAWA wanajuana kuliko wewe unavyowajua
Sina nongwa na CHADEMA ila ndiyo ukweli halisi just call a spade a spade. Lissu alliwahi sema kama mtu ni mwizi fisadi hakuna jina lingine la kutumia zaidi ya kusema ni mwizi na fisadi. Japo naye alikengeuka baadae ila point yake ilikuwa poa.
The point is wamwache mbatia ale mema ya nchi waache kupiga kelele wasubiri nao wataitwa ikulu
 
Point ya hapa ni tabia ya kuita watu wasaliti,mi sijali kwamba chadema wamenunuliwa wala Nccr kununuliwa.
Yani watakao hama chadema tu ndio wasaliti,mtu akipingana na chadema msaliti wao wamenunuliwa haikuwa usaliti ila wenzao kunuliwa ndio usaliti.

Ndio maana nauliza aliyesalitiwa ni nani hapa?

Kwahiyo?

Asiitwe msaliti?Aitwe nani kwa mfano?

Aitwe shujaa?

Niggas,yall are lunatics!
 
Inavyo onekana mbatia na chama chake wamesha fika bei kuwa sehemu ya chama cha kijani.


Sijui kama mrema na mbatia wana uhusiano wowote, tusishangae mbati kuhamia ccm mazima mazima na pengine kuchaguliwa kuwa waziri pamoja na kwamba atatoka nccr kama ilivyo kua kwa mrema.


Tatizo la mambo haya ni kwamba mwisho wake huwa u akua aibu.


Huwezi weka rekodi kwa kujiuza. Kuna watu kama kina kambona walikataa kujipendekeza, wakashikilia misimamo yenye maslahi lakini hadi leo wanakumbukwa.


Matatizo tunayo yapata leo, ni yale yale ambayo tiliyapata wakati wa kutafuta uhuru.

Kuna watu walinunuliwa na wakoloni ili wawasemee kwamba wamejenga reli, soko la kariakoo, barabara hivyo wanahaki ya kuendelea kutawala.

Pamoja na hao kulikua na kundi la werevu ambao bila kujali vitisho walisimamia wanacho kiamini na leo tunafurahia matunda ya uhuru ambao wasio itakia mema nchi hii wanataka kuturudisha kwenye ukoloni.

Mbatia unaonekana hata kwa sura umenunuliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Historia haifi,
Kama Mrema aliiuza NCCR ikafa, yeye akaenda kusnzisha TLP, sasa historia haifi Mbatia nae anaiuza kwa Ccm kutokana na njaa zao.
Lakini pia kumbuka NCCR hakija wahi kuwa chama cha upinzani wa kweli. Bali wapo kulinda maslahi mapana ya Ccm. Ona ayafanyayo Mbatia kwa sasa.
Jmbo lenyewe analo tambia kuwa mbunge pekee wa chama chake aliachiwa na Mrema wa CHADEMA. Na kupigiwa kampeni na CHADEMA,
Mbona CHADEMA waliokuwa wanaongoza halmashauri hawaja lalamika jimbo kuongozwa na NCCR? Mbatia aache manrno ya kidemu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaona sasa? Kwahiyo ina maana hili ni jukwaa la kushabikia siasa? Na ndio tatizo lenu mnafikiri siasa ni huu ushabiki wenu kama wa simba na yanga. Yani wenyewe mkipiga domo humu kuitana manyumbu sijui nani kalipwa buku saba ..ndio mnaona mmejadili siasa kabisa na ndio lengo la hili jukwaa?

Mmefanya mpaka watu washindwe kuja kutoa hoja zao za maana kisa watu kama nyie ambao mkiona mada tu kwanza mnaangalia mada ikoje ili mjue ni ccm au upinzani,hamjui kabisa kuwa wengine hatuna vyama wala hatuna ushabiki wenu huo tuko huru kueleza chochote hatujajipa upinzani wala uccm.
Kwa hyo hoja yako hapa ninin,kwamba wew sio mshabiki wa siasa kwa hyo ninani?Unaandika siasa kwakukosoa wengine ila wew hutakiwi kukosolewa kwakua sio mshabiki wa siasa huku unashiriki mijadala ya kisiasa?Anyway,let me name you as non partisan but you should knw smething that you dont know..."By nature humanbeing is a political anmal"
 
Muungano wowote wa vyama vya upinzani ktk Tanzania hauwezi kuwa na tija kwani nchi imejaa vyama pandikizi kibau.
Huyu Mbatia hajaanza leo, aliishawasaliti wenzake huko nyuma kwenye chaguzi ndogo huko Zanzibar.

Yeye yuko kimaslahi tu kwani hana cha kupoteza. Ni serikali hii hii ndio iliyompatia uwenyekiti huo aliyonao kwa kumfadhili ili kumwangusha Marando.

Chadema wapigane kivyao, wasitegemee hivi vyama pandikizi vya ccm na kwa hili wasitegemee hata ACT kwani wanaelewa vyema historia na hulka ya Zitto.

Kwa kweli hivi vyama vya upinzani vimeshanunuliwa na ccm kwa "Wholesale" na kwenye uchaguzi ujao tutarajie kuona wagombea wa hivi vyama vya upinzani wakitumiwa na ccm kuwawekea pingamizi wagombea wa Chadema ili kuwazuia wagombea wa Chadema wasigombee ubunge na udiwani, huo ndio mkakati utakaotumiwa na ccm na akina Mbatia ndio watakaokuwa vinara wa kuufanikisha huo mkakati. Mbatia = A Big Serpent.
 
Unaona sasa? Kwahiyo ina maana hili ni jukwaa la kushabikia siasa? Na ndio tatizo lenu mnafikiri siasa ni huu ushabiki wenu kama wa simba na yanga. Yani wenyewe mkipiga domo humu kuitana manyumbu sijui nani kalipwa buku saba ..ndio mnaona mmejadili siasa kabisa na ndio lengo la hili jukwaa?

Mmefanya mpaka watu washindwe kuja kutoa hoja zao za maana kisa watu kama nyie ambao mkiona mada tu kwanza mnaangalia mada ikoje ili mjue ni ccm au upinzani,hamjui kabisa kuwa wengine hatuna vyama wala hatuna ushabiki wenu huo tuko huru kueleza chochote hatujajipa upinzani wala uccm.

Mkuu kwanza pole sana, inaonyesha umeingia kwenye hili jukwaa bila kujua linahusika na nani. Kwanza hili ni jukwaa la siasa na kinachojadiliwa humu ndani ni mambo ya siasa,je ulitaka watu wakajadili siasa kwenye jukwaa lipi? Kwenye kuna hoja, kuzomea vijembe, misemo na kejeli maana ndio mchezo wenyewe wa siasa.

Hao unaosema wanaoogopa kuja kutoa hoja za maana kisa watakejeliwa sio kweli, kila siku tuko humu ndani na tunaona mijadala ikoje. Hakuna anayeleta hoja yake yenye mashiko akatukanwa, na hata kama atatukanwa kuna sheria za jukwaa ambapo unamrepoti anakutana na adhabu kulingana na sheria na kanuni za jukwaa. Huenda nyie manaolia humu jukwaani ni wale mnategemea siasa mbeleko, hivyo mnapokutana na hoja sehemu zisizo na mbeleko mnaishia kuchemsha.
 
Kwahiyo?

Asiitwe msaliti?Aitwe nani kwa mfano?

Aitwe shujaa?

Niggas,yall are lunatics!
Aitwe msaliti kamsaliti nani? Mbona hatuelewani hapa? Nimekupa mfano wa chadema mbona hukuuliza tuwaite nani kwa walichokifanya? Walikula dili lao na Lowassa fresh hakuna cha kuitana wasaliti wala nini mambo yakaisha,sasa kama kawaida wanasiasa walivyo na Mbatia nae kapewa dili mnakuja kumwita msaliti!!!

Hakuna aliyesalitiwa na Mbatia hivyo mngemuacha tu kuna haja gani ya kuanza kutafuta majina ya kumwita?mkaushe tu kama chadema walivyokula dili la Lowassa hatukutafuta jina la kuwapa.

Tuache kujifanya tunawajua sana wanasiasa wanapokuwa wanafanya siasa zao kuna mambo mengi hatujui kuhusu hawa jamaa sasa huu ushabiki wenu wanawaona wajinga tu.
 
Kumbe mimi ni dogo?
Aisee ...!!!
Mbatia anawatuhumu kwakuwa anajua chanzo cha habari hizi si walikuwa wote UKAWA wanajuana kuliko wewe unavyowajua
Sina nongwa na CHADEMA ila ndiyo ukweli halisi just call a spade a spade. Lissu alliwahi sema kama mtu ni mwizi fisadi hakuna jina lingine la kutumia zaidi ya kusema ni mwizi na fisadi. Japo naye alikengeuka baadae ila point yake ilikuwa poa.
The point is wamwache mbatia ale mema ya nchi waache kupiga kelele wasubiri nao wataitwa ikulu

Kama anajua chanzo cha hizo habari angeenda huko huko kwenye hicho chanzo ili wakajibizane huko huko. Huku mitandaoni tunaona michango kibao ikimshutumu Mbatia, sasa kwakuwa anajua chanzo angetaja hicho chanzo na sio cdm kama chama.

Narudia tena, hakuna anayezuia Mbatia kula hayo mema ya nchi, ila hao wanaompa mlo wasimtumie kuichafua cdm, kwani atakutana na lugha zitakazomuacha na msongo wa mawazo.
 
Kama anajua chanzo cha hizo habari angeenda huko huko kwenye hicho chanzo ili wakajibizane huko huko. Huku mitandaoni tunaona michango kibao ikimshutumu Mbatia, sasa kwakuwa anajua chanzo angetaja hicho chanzo na sio cdm kama chama.

Narudia tena, hakuna anayezuia Mbatia kula hayo mema ya nchi, ila hao wanaompa mlo wasimtumie kuichafua cdm, kwani atakutana na lugha zitakazomuacha na msongo wa mawazo.
Time will tell
 
Mkuu kwanza pole sana, inaonyesha umeingia kwenye hili jukwaa bila kujua linahusika na nani. Kwanza hili ni jukwaa la siasa na kinachojadiliwa humu ndani ni mambo ya siasa,je ulitaka watu wakajadili siasa kwenye jukwaa lipi? Kwenye kuna hoja, kuzomea vijembe, misemo na kejeli maana ndio mchezo wenyewe wa siasa.

Hao unaosema wanaoogopa kuja kutoa hoja za maana kisa watakejeliwa sio kweli, kila siku tuko humu ndani na tunaona mijadala ikoje. Hakuna anayeleta hoja yake yenye mashiko akatukanwa, na hata kama atatukanwa kuna sheria za jukwaa ambapo unamrepoti anakutana na adhabu kulingana na sheria na kanuni za jukwaa. Huenda nyie manaolia humu jukwaani ni wale mnategemea siasa mbeleko, hivyo mnapokutana na hoja sehemu zisizo na mbeleko mnaishia kuchemsha.
Great thinkers kule kuna mada za siasa na watu wanachangia kwa ustaarabu kabisa hakuna ushabiki wa simba na yanga kama uliyokuwepo humu. Yani anaweza kuja mtu na mada yake nzuri kabisa yenye kufikirisha ila akaishia kushambuliwa kuwa analipwa buku saba mara kuitwa nyumbu basi mwisho wa siku kuna jaa majibizano na mabishano kati ya ccm na chadema.

Hata kama huna chama basi lazima utabatizwa chama kama sio ccm basi chadema.
 
Kwa hyo hoja yako hapa ninin,kwamba wew sio mshabiki wa siasa kwa hyo ninani?Unaandika siasa kwakukosoa wengine ila wew hutakiwi kukosolewa kwakua sio mshabiki wa siasa huku unashiriki mijadala ya kisiasa?Anyway,let me name you as non partisan but you should knw smething that you dont know..."By nature humanbeing is a political anmal"
Humu kuna ushabiki na umbeya wa kisiasa ndio sehemu kubwa ya mijadala ya humu humu,ndio maana mara nyingi watu humu huwa tunaishia kusoma tu habari ili uhabarike basi mijadala tunawaachia wenyewe wazee wa kuitana manyumbu.
 
Great thinkers kule kuna mada za siasa na watu wanachangia kwa ustaarabu kabisa hakuna ushabiki wa simba na yanga kama uliyokuwepo humu. Yani anaweza kuja mtu na mada yake nzuri kabisa yenye kufikirisha ila akaishia kushambuliwa kuwa analipwa buku saba mara kuitwa nyumbu basi mwisho wa siku kuna jaa majibizano na mabishano kati ya ccm na chadema.

Hata kama huna chama basi lazima utabatizwa chama kama sio ccm basi chadema.

Mkuu nadhani umeona mahali kwenye uzi wangu nimetaja mambo yaliyo katika siasa. Huko kwenye siasa rasmi kwenyewe kuna watu wazuri na weledi mkubwa, lakini hawataki kuingia kwa kuhofia kuchafuliwa, katika kile kiitwacho siasa ni mchezo mchafu, Sembuse ww unayelia humu uchochoroni. Humu ndani kuna majukwaa kibao, ni vyema uende kwenye jukwaa unalofit kama huko great thinkers. We unaingia kwenye club ya pombe za kienyeji unataka ukutane na masofa ili ukalie? If you go to Rome, do as Romans do.
 
Humu kuna ushabiki na umbeya wa kisiasa ndio sehemu kubwa ya mijadala ya humu humu,ndio maana mara nyingi watu humu huwa tunaishia kusoma tu habari ili uhabarike basi mijadala tunawaachia wenyewe wazee wa kuitana manyumbu.

Sawa kabisa, ukiona hadhi yako ni tofauti na uko kwenye daraja lisilo la hadhi yako nenda kwenye daraja lako. Na kama vipi sio vibaya ukachukua majina ya wale unaoona mnaweza kuendana kwa michango, mkaanzisha jukwaa lenu la wastaarabu. Tena ili hawa viwavi jeshi wa humu wasiwaingilie huko mtumie majina yenu halisi. Au kama unaona ni vyema hilo jukwaa lenu wastaarabu kubaki humu humu ndani, washauri uongozi wa jf kuanzishia jukwaa la wachangiaji wa siasa wastaarabu, kwa sharti la kila mchangiaji huko awe verified user kwa kuweka e-mail na namba yake ya simu. Hii itawasaidia nyie wastaarabu mnaotaka kubaki wanajf, msihisi kutokutendewa haki. Ni kama kwenye ndege tu, mnapakia ndege moja lakini kuna madaraja. Kinyume na hapo watu hawataweza kuchangia kwa pace utakayo ww.
 
Mkuu nadhani umeona mahali kwenye uzi wangu nimetaja mambo yaliyo katika siasa. Huko kwenye siasa rasmi kwenyewe kuna watu wazuri na weledi mkubwa, lakini hawataki kuingia kwa kuhofia kuchafuliwa, katika kile kiitwacho siasa ni mchezo mchafu, Sembuse ww unayelia humu uchochoroni. Humu ndani kuna majukwaa kibao, ni vyema uende kwenye jukwaa unalofit kama huko great thinkers. We unaingia kwenye club ya pombe za kienyeji unataka ukutane na masofa ili ukalie? If you go to Rome, do as Romans do.
Mimi nazungumzia hii mijadala iliyokuwepo kwenye hili jukwaa,si kweli kwamba mijadala ya siasa kote ndio huwa hivi,humu ushabiki ndio uliyochukua nafasi. Mimi nachokieleza humu ni maoni yangu hivyo we yaheshimu usiniambie niende wapi wala wapi.
 
Sawa kabisa, ukiona hadhi yako ni tofauti na uko kwenye daraja lisilo la hadhi yako nenda kwenye daraja lako. Na kama vipi sio vibaya ukachukua majina ya wale unaoona mnaweza kuendana kwa michango, mkaanzisha jukwaa lenu la wastaarabu. Tena ili hawa viwavi jeshi wa humu wasiwaingilie huko mtumie majina yenu halisi. Au kama unaona ni vyema hilo jukwaa lenu wastaarabu kubaki humu humu ndani, washauri uongozi wa jf kuanzishia jukwaa la wachangiaji wa siasa wastaarabu, kwa sharti la kila mchangiaji huko awe verified user kwa kuweka e-mail na namba yake ya simu. Hii itawasaidia nyie wastaarabu mnaotaka kubaki wanajf, msihisi kutokutendewa haki. Ni kama kwenye ndege tu, mnapakia ndege moja lakini kuna madaraja. Kinyume na hapo watu hawataweza kuchangia kwa pace utakayo ww.
Mimi natoa maoni yangu kama ni ukweli ukubali na sio kuniambia niende wapi wala wapi.
 
Back
Top Bottom