Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,107
- 18,323
Inavyo onekana mbatia na chama chake wamesha fika bei kuwa sehemu ya chama cha kijani.
Sijui kama mrema na mbatia wana uhusiano wowote, tusishangae mbati kuhamia ccm mazima mazima na pengine kuchaguliwa kuwa waziri pamoja na kwamba atatoka nccr kama ilivyo kua kwa mrema.
Tatizo la mambo haya ni kwamba mwisho wake huwa u akua aibu.
Huwezi weka rekodi kwa kujiuza. Kuna watu kama kina kambona walikataa kujipendekeza, wakashikilia misimamo yenye maslahi lakini hadi leo wanakumbukwa.
Matatizo tunayo yapata leo, ni yale yale ambayo tiliyapata wakati wa kutafuta uhuru.
Kuna watu walinunuliwa na wakoloni ili wawasemee kwamba wamejenga reli, soko la kariakoo, barabara hivyo wanahaki ya kuendelea kutawala.
Pamoja na hao kulikua na kundi la werevu ambao bila kujali vitisho walisimamia wanacho kiamini na leo tunafurahia matunda ya uhuru ambao wasio itakia mema nchi hii wanataka kuturudisha kwenye ukoloni.
Mbatia unaonekana hata kwa sura umenunuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kama mrema na mbatia wana uhusiano wowote, tusishangae mbati kuhamia ccm mazima mazima na pengine kuchaguliwa kuwa waziri pamoja na kwamba atatoka nccr kama ilivyo kua kwa mrema.
Tatizo la mambo haya ni kwamba mwisho wake huwa u akua aibu.
Huwezi weka rekodi kwa kujiuza. Kuna watu kama kina kambona walikataa kujipendekeza, wakashikilia misimamo yenye maslahi lakini hadi leo wanakumbukwa.
Matatizo tunayo yapata leo, ni yale yale ambayo tiliyapata wakati wa kutafuta uhuru.
Kuna watu walinunuliwa na wakoloni ili wawasemee kwamba wamejenga reli, soko la kariakoo, barabara hivyo wanahaki ya kuendelea kutawala.
Pamoja na hao kulikua na kundi la werevu ambao bila kujali vitisho walisimamia wanacho kiamini na leo tunafurahia matunda ya uhuru ambao wasio itakia mema nchi hii wanataka kuturudisha kwenye ukoloni.
Mbatia unaonekana hata kwa sura umenunuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app