Mbatia anawazaje kuiuza NCCR Mageuzi?

Mbatia anawazaje kuiuza NCCR Mageuzi?

Ni wapi mtu anatoka imani au chama fulani akasifiwa na watu wote? Wakati Lowassa katoka ccm kwenda cdm alikuwa anasifiwa na wanaccm wote, au waliheshimu huo uamuzi wake? Kuna kosa gani watu kuonyesha hisia zao kwa mtu asiye na msimamo?
Kumwita mtu msaliti kwa kubadili mtazamo wake ni tabia ya kutokuheshimu uamuzi wake na ni ishara ya kutokukubali kutofautiana mawazo. Lowassa alipohamia chadema hakuitwa msaliti,ila mtu anapotofautiana mawazo na chadema tu ndipo hapo utaanza kusikia akiitwa msaliti hii si sawa.

Chadema waliacha msimamo wao waliyokuwa nao juu ya Lowassa na kumpa fisadi(Lowassa) nafasi ya kugombea urais ila hatukusikia kuitwa wasaliti kwa kuwa ni wao ndio waliyofanya ila wenzao tu ndio huwa wasaliti.
 
Mbatia naye wacha ale maisha bwana anajua uraisi hawezi kupata ni bora afanye mkataba na shetani abaki na ubunge

Msingi wa hizi kelele zote ni hayo maamuzi ya Mbatia kuamua kwenda kwenye mlo kwakuwa amejua hawezi kupata maslahi binafsi, kisha kuanza kuichafua cdm kama chama. Hakuna popote cdm kama chama wamehoji uamuzi wake wa kwenda kwenye mlo, iweje aanze kuichafua cdm kama chama kwa maneno ya manazi wa mitandaoni?
 
Its all about money.. kwahio kuwa chama kikubwa cha upinzani / kupata wabunge zaidi means more ruzuku..., that's all its all about maslahi binafsi
 
Mimi sina chama ila nitaanzisha niwe nakodisha kama CHADEMA

Si mpaka hicho chama chako kiwe na mvuto kama hiyo cdm? Kwani wakati Lowassa anakwenda kuikodosha cdm hakuona vyama kama TLP, UPDP nk? Mtu akitaka kula nguruwe anachagua aliyenona.
 
Msingi wa hizi kelele zote ni hayo maamuzi ya Mbatia kuamua kwenda kwenye mlo kwakuwa amejua hawezi kupata maslahi binafsi, kisha kuanza kuichafua cdm kama chama. Hakuna popote cdm kama chama wamehoji uamuzi wake wa kwenda kwenye mlo, iweje aanze kuichafua cdm kama chama kwa maneno ya manazi wa mitandaoni?
Siku zote maneno ya kuchafuana uwa mara nyingi hayatolewi matamko rasmi na chama uwa yanaibuka mtandaoni na kwenye vyombo vya habari lakini wahusika wanakuwa wanajua source ya maneno hayo.
Inauma eh?
Zitto amechafuliwa mara ngapi na CHADEMA mara ooh ACT ni ya Lowassa lakini baadae ikawa proved wrong.
Na hapa ilikuwa ishaanza semekana Membe ataenda ACT mpaka pale mwenyekiti aliposema Membe akienda CHADEMA atapokelewa ndipo hizo habari zikapotea
 
Rahisi mbona, Kwani CHADEMA ilinunuliwaje na Lowassa? Kila kitu kina bei yake tu mbona ukifika bei unanunua
Kama lowasa alinunua chadema, Yuko wapi? Ameifanyia nini? Tuseme ameinunua akashindwa kanunu na masherti take! Sasa he ameiuza au ameikimbia?? Chadema si CCM, haiuzwi kwani hakuna anayeweza kufika bei, na wala hainunui mayai viza. Kilichoiza kikijiingiza kitatoka chenyewe na kuiacha chadema ikiwa imara. Dr. Slaa aliingia chadema kutoka CCM gatimaye pamoja na ugumu wake muda ulioifika alinunuliwa na bosi wake wa awali akatuachia chadema yetu ikiwa imara. Zito na machachari yake akafika bei na wenzake, wakatoka wakatuachia chadema yetu ikiwa imara.
Unahitaji uzalendo wa kweli ndo udumu chadema, siyo uzalendo masilahi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inavyo onekana mbatia na chama chake wamesha fika bei kuwa sehemu ya chama cha kijani.


Sijui kama mrema na mbatia wana uhusiano wowote, tusishangae mbati kuhamia ccm mazima mazima na pengine kuchaguliwa kuwa waziri pamoja na kwamba atatoka nccr kama ilivyo kua kwa mrema.


Tatizo la mambo haya ni kwamba mwisho wake huwa u akua aibu.


Huwezi weka rekodi kwa kujiuza. Kuna watu kama kina kambona walikataa kujipendekeza, wakashikilia misimamo yenye maslahi lakini hadi leo wanakumbukwa.


Matatizo tunayo yapata leo, ni yale yale ambayo tiliyapata wakati wa kutafuta uhuru.

Kuna watu walinunuliwa na wakoloni ili wawasemee kwamba wamejenga reli, soko la kariakoo, barabara hivyo wanahaki ya kuendelea kutawala.

Pamoja na hao kulikua na kundi la werevu ambao bila kujali vitisho walisimamia wanacho kiamini na leo tunafurahia matunda ya uhuru ambao wasio itakia mema nchi hii wanataka kuturudisha kwenye ukoloni.

Mbatia unaonekana hata kwa sura umenunuliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app


Na huyu kafika bei kaka mbona mnapenda kuendelea kusema uongo iv kama viongozi wanaziwia wananch kutoa ushirikiano katika serekal sababu tu ni serekal ya ccm iv unafikir ccm itawapenda Hao viongozi Yan siasa za upinzani sasaiv ni kuakikisha serekal inafail katika kila kitu mmeamua msifanye siasa muingie vitani mkipigwa mkizidiwa mnakuja kutafuta huruma kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu niambie wewe kununuliwa kwa Mbatia inakuwa umesalitiwa nini?

Amesaliti anaowaongoza kwneye chama chake ambacho ni cha upinzani!

Yaani unaleta unafiki wa eti hujui Mbatia alivyonunuliwa na mawe kasaliti nani???

Punguza dishonesty aisee!
 
Kama lowasa alinunua chadema, Yuko wapi? Ameifanyia nini? Tuseme ameinunua akashindwa kanunu na masherti take! Sasa he ameiuza au ameikimbia?? Chadema si CCM, haiuzwi kwani hakuna anayeweza kufika bei, na wala hainunui mayai viza. Kilichoiza kikijiingiza kitatoka chenyewe na kuiacha chadema ikiwa imara. Dr. Slaa aliingia chadema kutoka CCM gatimaye pamoja na ugumu wake muda ulioifika alinunuliwa na bosi wake wa awali akatuachia chadema yetu ikiwa imara. Zito na machachari yake akafika bei na wenzake, wakatoka wakatuachia chadema yetu ikiwa imara.
Unahitaji uzalendo wa kweli ndo udumu chadema, siyo uzalendo masilahi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilinunuliwa na haina moral authority ya kuwasema wengine...
Kuinunua CHADEMA kumeifanya CHADEMA iwe siyo chama cha kuaminika. Kama kilitumia zaidi ya miaka minne kutuaminisha Lowassa ni fisadi halafu kikamsimamisha kama mgombea uraisi na kusema mwenye ushahidi aupeleke mahakamani wakati wakina Mnyika walikuwa wakisema wana ushahhidi, sasa ni kitu gani kinakufanya uwaamini kwa hhaya wayasemayo?
Wanaweza wakabadirika muda wowote wakasema kama una ushahidi ulete kama wallivyofanya kwa Lowassa.
CHADEMA kinachowaponza ni kuwaacha watu waliopigania chama akiwemo Slaa na wengine mkakumbatia makapi ya CCM kisa yanaleta ela mkayapa vyeo na vijiti vya kugombea.
 
Kumwita mtu msaliti nayo ni maoni? Mtu akihama chama au akinunulia we mwananchi mwenzangu umesalitiwa nini hapo?
Amewasaliti waliomchagya kama kiongozi na mwenyekiti wao. Walitegemea atetetee chama dhidi ya vyama vingine na hasa serikali na sikujiunga na serikali. Utamtoaje adui ukishajiunga naye? Huu ni usaliti hakuna maelezo mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbatia mhuni tu,anatishia jamb lisilo kuwapo,yy ni shushu Kama kuna baya lolote lililofanywa na ukawa Kwanini alisubiri juisi ndiyo aseme tena Kwa kitisho waache kumsema la sivyo atatoboa mtumbwi.utoto na aibu kwa mtu mzima.
Sikuwahifikiria kama Mbatia ni mpumbavu kiasi hichi,anatishia kutoa siri wakat watu kibao waliokua wanapanga mipango wapo ccm?Ni siri gani aliyokua nayo mbatia zaid ya waliyokua nayo akina Slaa?Aisee sikujua jamaa km ni senseless kiasi hicho
 
Chasema ni mwenyekiti anachoamua ndicho hicho nidyo maana kila anayepingana naye lazima aitwe msaliti akiwemo Slaa aliyejaribu kuwaonyesha kuwa wanakosea mkamnanga kuwa msaliti sijui padri mla mihogo mkasahau alivyojitoa kwa ajili ya chama.
CCM anayeamua Mambo ni nani, siyo mwenyekiti? Kuna mnachoweza kujadili ikiwa mwenyekiti kashaamua??? Acheni ulimbukeni. Jichunguzeni kwanza ndo muigeukie chadema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amesaliti anaowaongoza kwneye chama chake ambacho ni cha upinzani!

Yaani unaleta unafiki wa eti hujui Mbatia alivyonunuliwa na mawe kasaliti nani???

Punguza dishonesty aisee!
Alichosaliti ni nini sasa? Maana hata Chadema ilinunuliwa na Lowassa lakini hakuna aliyesema akina Mbowe walikuwa wasaliti,ndiyo maana nauliza alichosaliti Mbatia ni kipi?
 
CCM anayeamua Mambo ni nani, siyo mwenyekiti? Kuna mnachoweza kujadili ikiwa mwenyekiti kashaamua??? Acheni ulimbukeni. Jichunguzeni kwanza ndo muigeukie chadema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hata siyo CCM, sasa kama mnajipama kwa kufuata CCM mna tofauti gani na CCM? Mimi nillitegema CHADEMA iwe toofauti kumbe unaitetea kisa CCM inakosea na CHADEMA ni sawa kukosea? Sasa kama ni hivyo kuna haja gani ya CCM kuondoka madarakani kama unajustify makosa ya CHADEMA kwa kuiringanisha na CCM
 
Back
Top Bottom