Mbatia ameonyesha mfano wa kuigwa...

Mbowe anapewa vyote hivyo lakini kaishia kwenye ukurasa wa facebook...

Tatizo lako unafikiria kisiasa za kampeni zaidi wakati hapa tujadili jinsi viongozi wa siasa walivyorespond to janga la kitaifa...

Mmoja kaenda kwenye eneo la tukio, mwingine kaingia facebook...

Kwanza majukumu ya Mbowe ni makubwa sana kuliko hata Kiwete and by the way swala la uokoaji lina wahusu trained professionals zaidi.

Lakini Mheshimiwa Mbowe kwenye ujumbe wake ametuma ujumbe ambao unaashiria uzembe mkubwa wa wahusika.

Hili janga na mengine mengi ni matokea ya uongozi mbovu wa ccm!!

Mbona alitembelea waathirika wa mafuriko, which is a natural disaster rather than uzembe wa majitu ya ccm
 
Usipoteze muda wako hapa, mchango Mbowe katika siasa za nchi ni mkubwa sana by far kuliko Mwinyi, Mkapa na Kikwete combined. Kwa taharifa yako watoto wako watakuja kumwita Mbowe a hero!

Kwanza majukumu ya Mbowe ni makubwa sana kuliko hata Kikwete and by the way swala la uokoaji lina wahusu trained professionals zaidi.

Fanatism has so many faces...
 
Fanatism has so many faces...

Dat is the truth, call it whatever u lk.

Kuwa na mamlaka makubwa hakumfanyi awe na majukumu makubwa, kazi yake kuzungukazunguka tu.

Juzi kawauzia B/moyo wachina, wale ndugu zake wasio soma kule B/moyo sijue watakwenda wapi? Siku moja watahamka na kuichagua cdm

Mi yangu macho!
 
Kujitolea mbele ya kamera ni propaganda pia. Angeenda kuwaosha wenye ukoma kimya kimya tumuone mzalendo
 
I think we are missing the big picture here. Mwenye jukumu la kushughulikia maafa nchini ni serikali. Yalipotokea mafuriko ya Katrina New Orleans ni serikali ya Bush ndiyo ilikuwa na dhamana ya kushughulikia maafa hayo, na ililaumiwa ipasavyo kwa kushindwa kuokoa maisha ya watu katika muda muafaka. Mafuriko yaliyotokea New York na New Jersey wiki mbili kabla ya uchaguzi wa mwaka jana Obama aliwajibika ipasavyo. Akishirikiana na gavana wa New Jersey alitoa ahadi kuwa serikali itahakikisha kuwa wahanga wanapewa msaada haraka. Hivyo ndivyo wenzetu wanavyofanya. Wanayo system in place na si kutegemea msaada wa mtu mmoja mmoja kama Mbatia na kumwona shujaa wakati system yetu ni a total failure. Hii si mara ya kwanza kwa jengo kuporomoka Dar-es- Salaam na ninaamini haitakuwa ya mwisho. Tumejifunza nini kutokana na jengo lililoanguka Chang'ombe? Nothing. Tumeweka in place utaratibu gani wa kushughulikia maafa kama hayo? Nothing. Kwa hiyo hii ya kumsifia Mbatia ni kutaka kupotosha lengo kuwa hatuna utaratibu wowote wa kushughulikia au kuzuia maafa kama haya nchini mwetu.

Hivi kile kitengo cha maafa kilicho chini ya ofisi ya mtoto wa mkulima bado kipo?? Hata sijui kazi yake huwa ni nini!!
 
Serena wamejitolea chakula kwa waokoaji...

serena.jpg

serena1.jpg
 
Kipo aisee. Wanadai kazi yao ni kumtaarifu rais kama kuna janga kweli ama la. Baaasi! Hawana maandalizi yoyote kwa ajili ya kuzuia ama kuokoa na post trauma handling. Ulishafikiria ushauri nasaha kwa walionusurika na ama ndugu wa wafiwa? Kama walikuwa na majukumu ingekuwa kuweka temporary trauma center kwa ajili ya victims na ndugu zao!
Hivi kile kitengo cha maafa kilicho chini ya ofisi ya mtoto wa mkulima bado kipo?? Hata sijui kazi yake huwa ni nini!!
 
Kweli Mbatia kafanya vizuri kusaidia na JK kuuufika eneo la tukio. Hata hivyo si hhaki kuwalaumu watu kuwaluamu wasiofika kwani inategemmea walikuwa wapi na wanafanya nini.Si lazima wanasiasa kufika eneo la kila tukio ambalo linahitaji kazi zaidi.Tuwaachhe Mbowe, Cheyo, Mrema, Lipumba na wengine ... wafanye kazi zao na tuutapata misaada yao pale hali zikiruhusu.Tuwe fair kwa wote.
 
kuna tatizo kubwa la menejimenti ya majanga nchini. 1. Hatuna wataalamu waliobobea 2. 'coordination' ni dhaifu 3. 'resources' km pesa na vifaa vya uokozi ni duni 4. Mapungufu ya kiuongozi wa kitaifa na ule wa kuratibu janga - mfano nani aliruhusu idadi kubwa ya watu wasogee kwenye tukio? Je si hatari - iwapo kuanguka kwa jengo kumeleta udhaifu kwenye majengo ya jirani? si salama? - iwapo baadhi ya watu ni wezi na vibaka, magaidi nk
 
Kweli Mbatia kafanya vizuri kusaidia na JK kuuufika eneo la tukio. Hata hivyo si hhaki kuwalaumu watu kuwaluamu wasiofika kwani inategemmea walikuwa wapi na wanafanya nini.Si lazima wanasiasa kufika eneo la kila tukio ambalo linahitaji kazi zaidi.Tuwaachhe Mbowe, Cheyo, Mrema, Lipumba na wengine ... wafanye kazi zao na tuutapata misaada yao pale hali zikiruhusu.Tuwe fair kwa wote.

Mwana wa Nuru,

Uko sahihi. Nakubaliana na wewe.

Tatizo la Mbowe ni kauli ya kejeli ya kisiasa aliyotoa wakati shughuli ya uokoaji inaendelea...
 
Tusubiri tamko,
Maandamano nchi nzima

Kwanini usijibu hoja za mdau wa post #102 ? Umeng'ang'ania tu "tamko na maandamano".

Ndio yale yale badala ya kupitisha Sheria ya kulinda waandishi wa habari, mnasubiri wang'ofolewe macho, kucha na meno halafu mkawape pole. Huko si kujali, ni kujionyesha.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kwa kuwa ZeMarcopolo anajaribu kufanya ulinganisho wa kichuguu na mlima, kati ya pande mbili alizokusudia mwenyewe, iwe watu au taasisi, ngoja tumsaidie kidogo tu, ili siku nyingine awe anafikiria kabla ya kutenda au kusema. Au akisema, basi ajifunze kubakiza akiba ya maneno... Tutampatia baadhi tu ya mifano au mfano, ajue kuwa CHADEMA ni taasisi imara na viongozi ni viongozi makini. Wanatambua wajibu wa kutumikia na kufanya kazi na watu.


CHADEMA watembelea waathirika wa mafuriko Dar, watoa misaada



http://1.bp.blogspot.com/-p0GUM5lm99I/TvSZMq2T1wI/AAAAAAAAB8I/Z9UJOxXqOPw/s1600/6.JPG



http://1.bp.blogspot.com/-AnmmQexUcM0/TvSZD2luAEI/AAAAAAAAB74/oMxCskqckRU/s1600/4.JPG
 
uzembe na upuuzi mfanye ninyi ccm na serikari lawama mwape chadema,hata waliofika sehem ya tukio hatukuona wakitoa msaada wowote zaidi ya kutoa matamko tu! Kama si rushwa, undugu wa kuwekana maofisini, ufinyu wa elimu,wivu na tamaa yote haya yasinge kuwepo.
 
Soma uelewe. Usikimbilie kuchangia ili tu uonekane kuwa na wewe upo!

Hakuna anayekataa kuwajibishana.

Swala ni je, ni sahihi kuchochea malumbano ya kisiasa wakati ndugu zetu wako chini kwenye kifusi wanangoja kusaidiwa? na je, ni sahihi kuwaambia wafiwa kuwa salam za rambirambi hazina umuhimu?

Acha unafiki, viongozi wa CCM walikuwepo? Waliokuwepo walifanya nini zaidi ya kutumbua mimacho tu? Mkuu wa nchi alikuwepo kwenye tukio, alisaidia nini?
Tatizo ulikuja kuposti ukiwa unamuwaza Mbowe, ukasahau kuja na common sense.
Usiruhusu chuki itawale fikra.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom