ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,690
- Thread starter
- #141
Salamu za rambi rambi zina umuhimu wakati tukio limetokea kwa bahati mbaya. Ni kama pole au samahani unapomkosea mtu, inakuwa na maana kama tukio ni la bahati mbaya. Sasa hapa kuna case: Ghorofa jingine lilishaanguka, ikaundwa tume, ikatoa mapendekezo, hayakufanyiwa kazi, akatokea mshenzi mwingine, akapewa kibali cha kujenga ghorofa 10 kwa sementi na nondo, akapuuza, akaamua kufanya ziwe ghorofa 12 za tope na waya, huku watawala wanamchekea, ghorofa likadondoka na kufukia watu wasio na hatia, unataka kuwapoza eti na salamu mshenzi za rambirambi wakati ni uzembe wako umewaua. Ebo, huu sasa ni wazimu! Ni bora kingeshuka kitofali wakati unajifanya kukagua kikupasue kichwa ndio ungejua kama salamu za rambirambi zinasaidia.
Kwahiyo mtu asiye na leseni akiendesha gari na kugonga wapita njia wakapoteza maisha hakuna umuhimu wa kuzipa salam za rambirambi familia za marehemu?
Huu ndio ustaarabu wa chadema?