Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,550
- 217,832
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Mkutano ulioandaliwa na James Mbatia , kiongozi aliyedaiwa kutimuliwa NCCR MAGEUZI , Umezuiwa.
Mbatia alipanga kukutana na Waandishi katika Hotel ya Regency Park Mjini Dar es Salaam leo saa 7 mchana .
Taarifa zaidi zinadai kwamba Mkutano huo umezuiliwa kwa Maelekezo kutoka Juu .
Mbatia alipanga kukutana na Waandishi katika Hotel ya Regency Park Mjini Dar es Salaam leo saa 7 mchana .
Taarifa zaidi zinadai kwamba Mkutano huo umezuiliwa kwa Maelekezo kutoka Juu .