Ndugu wana JF na watanzania nimefuatilia misiba mikubwa km kuzama kwa meli. Pia sijona chama cha CHADEMA; Kipindi cha uokozi ; ushauri wangu CHADEMA tuma mwakilishi katika jengo lilioanguka posta ili imani ya wapenzi wa chama iongezeke;
Mbowe na slaa onyesha mfano kama Mbatia kipindi cha uokoz
Mbatia amekomaa kisiasa na ndio maana kama kiongozi wa chama alifika kwenye tukio kuungana na wananchi .
Wengine wamekaa nyumbani wanasubiri kesho watoe TAMKO na kuitisha maandamano nchi nzima.
Wao ni kama kufa kufaana, yaani wengine wakipatwa na majanga wanatumia kama mtaji wa kujipatia umaarufu wa kisiasa
Viongozi wa kweli ni wale waliofika kwenye eneo la tukio, sio kurusha comments kwenye face book
When you are good , You are good! No wonder why Mheshimiwa Rais alimteua mbunge wa viti maalum, ni kwa sababu aliona kipaji cha huyu bwana
Upinzani sio kupinga kila kitu kinachofanywa na serikali, upinzani ni kuwaonyesha wananchi kuwa utawafanyia zaidi ya yanayofanywa na serikali ya sasa au kuyaboresha.
You have a point dude!!!!!I think we are missing the big picture here. Mwenye jukumu la kushughulikia maafa nchini ni serikali. Yalipotokea mafuriko ya Katrina New Orleans ni serikali ya Bush ndiyo ilikuwa na dhamana ya kushughulikia maafa hayo, na ililaumiwa ipasavyo kwa kushindwa kuokoa maisha ya watu katika muda muafaka. Mafuriko yaliyotokea New York na New Jersey wiki mbili kabla ya uchaguzi wa mwaka jana Obama aliwajibika ipasavyo. Akishirikiana na gavana wa New Jersey alitoa ahadi kuwa serikali itahakikisha kuwa wahanga wanapewa msaada haraka. Hivyo ndivyo wenzetu wanavyofanya. Wanayo system in place na si kutegemea msaada wa mtu mmoja mmoja kama Mbatia na kumwona shujaa wakati system yetu ni a total failure. Hii si mara ya kwanza kwa jengo kuporomoka Dar-es- Salaam na ninaamini haitakuwa ya mwisho. Tumejifunza nini kutokana na jengo lililoanguka Chang'ombe? Nothing. Tumeweka in place utaratibu gani wa kushughulikia maafa kama hayo? Nothing. Kwa hiyo hii ya kumsifia Mbatia ni kutaka kupotosha lengo kuwa hatuna utaratibu wowote wa kushughulikia au kuzuia maafa kama haya nchini mwetu.
Mbatia amekomaa kisiasa na ndio maana kama kiongozi wa chama alifika kwenye tukio kuungana na wananchi .
Wengine wamekaa nyumbani wanasubiri kesho watoe TAMKO na kuitisha maandamano nchi nzima.
Wao ni kama kufa kufaana, yaani wengine wakipatwa na majanga wanatumia kama mtaji wa kujipatia umaarufu wa kisiasa
Viongozi wa kweli ni wale waliofika kwenye eneo la tukio, sio kurusha comments kwenye face book
When you are good , You are good! No wonder why Mheshimiwa Rais alimteua mbunge wa viti maalum, ni kwa sababu aliona kipaji cha huyu bwana
Upinzani sio kupinga kila kitu kinachofanywa na serikali, upinzani ni kuwaonyesha wananchi kuwa utawafanyia zaidi ya yanayofanywa na serikali ya sasa au kuyaboresha.
Wewe ubongo wako naona umeoza kwa sababu ya kupewa vya bure!! Kweli unataka kutuaminisha kwa nguvu kuwa hao vibaraka wenzako kama Mbatia na Kikwete wanaosubiri ajali zitokee tena kwa sababu ya uzembe wa hali ya juu ni bora kuliko wale wanaopiga kelele kuzizuia!? Huendauna ugonjwa mbaya sana unakusumbua....
Nadhani unachotakiwa kufanya kwanza ni kujifunza maana ya KUZUIA. Janga likishatokea hapo kipaumbele sio kuzuia ila kwanza ni kuokoa waathirika na kuwapa msaada wanaostahili.
Ni kituko kuona mtu anayetaka kuwa kiongozi wa kitaifa anaona janga limetokea, hata waathirika hawajatolewa kwenye kifusi yeye "ANAPIGA KELELE ZA KUZUIA". Sasa hapo anataka kuzuia nini wakati chini wa kifusi kuna watu wako hai wanangoja waokoaji wafanye bidii itakayoamua kama watatoka wakiwa wazima au wafu!
Tatizo lenu chadema IMEWALAGHAI kiasi kwamba hamna tena uwezo wa kufikiri zaidi ya kufuata upepo unaopulizwa na Mbowe na Dr. Slaa (chini ya amri ya Mzee Edwin Mtei). Ndio maana mnaona mtu aliyesema kuwapa pole wafiwa hakuna umuhimu amefanya la maana kuliko yule aliyekimbia kwenye tukio kusaidia waathirika...
Hayo ni mawazo ya ki-mbulula kwa ma-mbulula kama wewe. Huwezi kuwasha moto nyumba halafu inapowake eti unakimbilia kuokoa!
I think we are missing the big picture here. Mwenye jukumu la kushughulikia maafa nchini ni serikali. Yalipotokea mafuriko ya Katrina New Orleans ni serikali ya Bush ndiyo ilikuwa na dhamana ya kushughulikia maafa hayo, na ililaumiwa ipasavyo kwa kushindwa kuokoa maisha ya watu katika muda muafaka. Mafuriko yaliyotokea New York na New Jersey wiki mbili kabla ya uchaguzi wa mwaka jana Obama aliwajibika ipasavyo. Akishirikiana na gavana wa New Jersey alitoa ahadi kuwa serikali itahakikisha kuwa wahanga wanapewa msaada haraka. Hivyo ndivyo wenzetu wanavyofanya. Wanayo system in place na si kutegemea msaada wa mtu mmoja mmoja kama Mbatia na kumwona shujaa wakati system yetu ni a total failure. Hii si mara ya kwanza kwa jengo kuporomoka Dar-es- Salaam na ninaamini haitakuwa ya mwisho. Tumejifunza nini kutokana na jengo lililoanguka Chang'ombe? Nothing. Tumeweka in place utaratibu gani wa kushughulikia maafa kama hayo? Nothing. Kwa hiyo hii ya kumsifia Mbatia ni kutaka kupotosha lengo kuwa hatuna utaratibu wowote wa kushughulikia au kuzuia maafa kama haya nchini mwetu.
Uwezo wako wa kufikiria ndio umeishia hapo. Sio kosa lako mlaghaiwa...
Wewe ni mwandishi kidampa na mchumia tumbo tu. Huna lolote na mawazo yako yanaongozwa na tumbo lako
Vijana wengi wa chadema wakikosa hoja huwa wanaishia hapahapa ulipoishia wewe. tumeshawazoea walaghaiwa...
Mbatia amekomaa kisiasa na ndio maana kama kiongozi wa chama alifika kwenye tukio kuungana na wananchi .
Wengine wamekaa nyumbani wanasubiri kesho watoe TAMKO na kuitisha maandamano nchi nzima.
Wao ni kama kufa kufaana, yaani wengine wakipatwa na majanga wanatumia kama mtaji wa kujipatia umaarufu wa kisiasa
Viongozi wa kweli ni wale waliofika kwenye eneo la tukio, sio kurusha comments kwenye face book
When you are good , You are good! No wonder why Mheshimiwa Rais alimteua mbunge wa viti maalum, ni kwa sababu aliona kipaji cha huyu bwana
Upinzani sio kupinga kila kitu kinachofanywa na serikali, upinzani ni kuwaonyesha wananchi kuwa utawafanyia zaidi ya yanayofanywa na serikali ya sasa au kuyaboresha.
Kichwa chako hakina hoja wewe. Tumbo lako ndio lina hoja!!!!
Nilipoona heading na attacment za picha, nilidhani mbatia alikuwa busy akibeba waathirika, kumbe mfano wenyewe wa kuigwa ni wa kusalimiana na watu?Nadhani unachotakiwa kufanya kwanza ni kujifunza maana ya KUZUIA. Janga likishatokea hapo kipaumbele sio kuzuia ila kwanza ni kuokoa waathirika na kuwapa msaada wanaostahili.
Ni kituko kuona mtu anayetaka kuwa kiongozi wa kitaifa anaona janga limetokea, hata waathirika hawajatolewa kwenye kifusi yeye "ANAPIGA KELELE ZA KUZUIA". Sasa hapo anataka kuzuia nini wakati chini wa kifusi kuna watu wako hai wanangoja waokoaji wafanye bidii itakayoamua kama watatoka wakiwa wazima au wafu!
Tatizo lenu chadema IMEWALAGHAI kiasi kwamba hamna tena uwezo wa kufikiri zaidi ya kufuata upepo unaopulizwa na Mbowe na Dr. Slaa (chini ya amri ya Mzee Edwin Mtei). Ndio maana mnaona mtu aliyesema kuwapa pole wafiwa hakuna umuhimu amefanya la maana kuliko yule aliyekimbia kwenye tukio kusaidia waathirika...