Bytes (B) au Kilobytes (KB) au Megabytes (MB), au Gigabytes (GB) au Terabytes (TB), n.k ,....... ni memory capacity ya computer au storage device unayotumia kuhifadhi digital data zako, ambazo kawaida huwa zinahifadhiwa zikiwa kwenye form ya zeros na ones
Data hizi zinaweza kuhifadhiwa hata kwenye computer ambayo haiko kwenye intenet, yaani unaweza kuzihifadhi hata kwenye computer yako mwenyewe ambayo haijaunganishwa kwenye internet
Kwa hiyo ieleweke kuwa MB na internet ni vitu viwili tofauti, isispokuwa ukihitaji kutumia internet ndiyo unapimiwa NAFASI YA KUHIFADHIA DATA ZAKO kwa kutumia MB
Nafasi hiyo unayopimiwa ikishajaa, maana yake ni kwamba MB zako zinakuwa zimekwisha
Kwa hiyo inapotokea kuwa umeunganishwa kwenye internet, ina maana kuwa aliyekuunganisha kwenye internet amekupa storage space au memory space kulingana na mahitaji yako
Kwa hiyo kwa maana nyingine ni kwamba MB zinaweza kupatikana kwenye storage devices yoyote hata kama haina internet, na hivyo MB zimekuwepo hata kabla ya internet kuanza
Rasmi intenet ilianza mwaka 1992 lakini MB zilikuwepo hata kabla ya hapo
Wewe unayeandika kitu ndiye unayezitengeneza MB, ihuku computer yenyewe nayo ikiwa imtengenezwa kuzihesabu kwa kutumia utaratbu maalum
Hii text niliyoandika hapa kukujibu swali lako, tayari mimi mwenyewe nimeshatengeneza MB moja au mbili hivi