MB au data zinatengenezwa wapi?

MB au data zinatengenezwa wapi?

majibu wanayotoa wadau yamekaa kI HKL
🤣🤣🤣 Umenikumbusha kuna vita kali ilitoka humu kuna injinia mmoja alikua anatambwe sana na vyeti vya kutisha sana aliweka hapa ni 1.7 na 1.3 mpk GPA 4.8 Lakini alishikishwa adabu na Msanii mmoja jiniaz anaitwa Humble Africa. HKL walikua wanachekea ndani ya shuka,🤣🤣🤣 na kumchangia Likes tu mkuu Humble.
 
🤣🤣🤣 Umenikumbusha kuna vita kali ilitoka humu kuna injinia mmoja alikua anatambwe sana na vyeti vya kutisha sana ni 1.7 na 1.3 mpk GPA 4.8 Lakini alishikishwa adabu na Msanii mmoja jiniaz anaitwa Humble Africa. HKL walikua wanachekea ndani ya shuka,🤣🤣🤣 na kumchangia Likes tu mkuu Humble.
Huyo injinia naye kanjanja tu HKL anakushikishaje adabu?
 
TUNATAKAAA VILE VYA DILI JAMAN NAONAA JAMAA AJAENDA STRAIGHT TUWASILIANE
 
Huyo injinia naye kanjanja tu HKL anakushikishaje adabu?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yule injinia akili za darasani alibarikiwa sana nakwambia sana . lkn yule msanii alithibitisha elimu yetu sio kitu kabisa ule uzi injinia matusi yakaanza kumtoka 🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yule injinia akili za darasani alibarikiwa sana nakwambia sana . lkn yule msanii alithibitisha elimu yetu sio kitu kabisa ule uzi injinia matusi yakaanza kumtoka 🤣🤣🤣
Injinia kishoka anachafua fani 😂😂😂😂
 
Injinia kishoka anachafua fani 😂😂😂😂
🤣🤣🤣 japo sikujui ila kwa majibu yako na sifa zako za mwanzo hujamfikia yule injinia hata robo kwa mavyeti yake🤣🤣🤣 mnakuaga na sifa hivi hiv🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣 japo sikujui ila kwa majibu yako na sifa zako za mwanzo hujamfikia yule injinia hata robo kwa mavyeti yake🤣🤣🤣 mnakuaga na sifa hivi hiv🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 mimi nimeiva level za kimataifa usinifananishe na kishoka 😂😂😂
 
Hakuna mtu aliyeweza kutuambia Mb na data zinatengeneza na Nini.
Ili tuweze kushirikiana naye kuchangia mawazo namna ya kuzipata au kutengeneza Mb.

Huyu kamanda anawaza mbali sana sana
 
Naona swali halijajibiwa.
Internet inatengenezwa na nani na wapi ?
MB, au GB ni kipimo tu cha internet kama unavyoweza kupima wingi wa nyama ukapata nusu kilo, kilo moja, mbili nk.

Nani anatengeneza Interneti, na anatengenezea wapi, na anatumia malighafi gani ?
 
MB ni taarifa au data za kielectronic(hapa tunajumuisha vifaa kama simu,kompyuta,ipad na kadhalika)itategemea unataka kuitumia kama nini
1)MB kama kipimo cha data utatumia MB/Sec
2)MB kama ujazo (storage) hapa huwa kubwa mpaka GB,TB nk na hua ndogo mpaka KB na Byte 1
3)MB kama kifurushi(bundle) hiki ni kiwango maalumu cha data utakachotumia kuperuzi katika mtandao(internet) kwa kadiri ya utakavyokua umelipiia.mfano MBs 240 kwa Tsh mia 500...sasa ili upate hizo MBs unatakiwa upitie kwa huyo wa kukupa MB ndo unakutana na ISP(hapa ndio kina voda,airtel,tigo,ttcl,halotel).

kwa kesi ya kuiba(Kupata MB kimagendo kwa ajili ya internet) MB ni ngumu ILA INAWEZEKANA ni kama tu kuiba LUKU,TOKEN ZA DAWASCO....Hapa inategemea na udhaifu wa aina ya mfumo wanaotumia kukulimit wewe utumiaji wako wa data.
HITIMISHO, hilo ni somo la networking kweny IT COURSES ni pana sana na linahitaji muda kulielewa vizuri
natumai nilipopunguza au kukosea wataalamu watajazia.
 
Naona swali halijajibiwa.
Internet inatengenezwa na nani na wapi ?
MB, au GB ni kipimo tu cha internet kama unavyoweza kupima wungi wa nyama ukapata nusu kilo, kilo moja, mbili nk.

Nani anatengeneza Interneti, na anatengenezea wapi, na anatumia malighafi gani ?
mtoa mada hakuuliza internet inatoka wapi au inamilikiwa na nani,yeye ametaka kujua MB Zinatengenzwa wapi au chanzo chake nini na pia kataka kujua kama kuna uwezekano wa kupata MB bila kulipia(nimereplace neno kutengeneza MB kimagendo)
 
Unaweza tengeneza ISP company kanunue capacity seacom......anza kuuza bundle zako
Mkuu naomba elezea kwa lugha rahisi wengi tuelewe ISP ni aina gani kampuni gani na capacity seacon ni nini na gharama zake ni shikingi ngapi
 
Data ni series ya on and off (zeros and ones) kila kitu cha kidigitally ni zero au moja ndio maana ikaitwa digital..., (Kwahio picha video sentensi zote ni zero au moja)

Wingi wake ndio unafanya ukubwa wa data; Bit, (the smallest unit) Byte; Kilobyte, MegaByte n.k. Sasa watu wenye miundo mbinu yao (tuseme ni kama barabara za hizo bits kupita (walishaweka mitandao yao iwe nyaya, satellite n.k.) kwahio wanaamua waauze kiasi gani kwa wewe kuweza kupitasha hizo bits zako..., na hapo kuna wauzaji wakubwa wa jumla, wauzaji wadogo kidogo wa jumla n.k. wewe ukinunua barabara fulani ili wateja wako wapite kwa elfu kumi na kila mteja unamchaji tshs tano unaweza hata kwenye barabara yako ya capacity ya watu elfu kumi ukauzia watu elfu ishirini sababu sio wote wanapita kwa wakati mmoja (ila wakipita kwa wakati mmoja ndio hapo unashaangaa mitandao ipo slow (over capacity)

Na ndio maana zamani kabla serikali haijaingilia na kuharibu mitandao ilikuwa inaweza kutoa promo kwenye offpeak times sababu hakuna gharama yoyote kama barabara zipo tayari ni bora upate watu kwa bei ndogo kuliko kuwakosa (hio sio kama kitu physical ukitumia kinakwisha; its just a bandwidth; kwa mfano wangu ukubwa wa barabara)

Mfano rahisi ukinunua wifi kwa kina voda et al na kuwafungia watu ishirini na kila mwezi wanakulia elfu kumi utapata 200k wakati voda unawalipa 150k (Its just the same thing at a larger scale)
 
Back
Top Bottom