Risk manager
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,807
- 17,358
Yeye ndiye kilaza Ila hajijuiMbona kama ww ndio kilaza mkuu
Yeye ndiye kilaza Ila hajijuiMbona kama ww ndio kilaza mkuu
Kwahiyo ukiwa na miundombinu mfano ka mnara na vifaa vingine(intaneti). Je unaweza kutengeneza Mb? Kuwa na ule uwezo wa kampuni kama airtel na Tigo?
Je wao kampuni za simu wana miundombinu tu au wanalangua uwezo wa kuchakata mb kupitia hiyo mikongo ya baharini inayozunguka dunia nzima?
Asante sana.nimekuelewa vyema.MB ni Si unit ya Data tu, popote pale kwenye kifaa kinachopitisha data kuna MB.
Mfano una Deki na TV na waya HDMI, Deki na TV umeziunganisha na HDMI na unaangalia movie kila sekunde ikipita kuna mb kadhaa zinapita Toka kwenye deki kwenda kwenye tv.
Kina voda na Tigo nao ni hivyo hivyo wana waya zao kama HDMI zinazopitisha data, zinaitwa Fiber, kikawaida ulitakiwa tu ukilipia utumie internet bila bugudha ya kupimiwa utumie mb ngapi, ila sababu tupo wengi na minara haina uwezo wa kutuhudumia wote kwa pamoja ndio wanaweka hio limit ya MB.
Thank you!Naelezea kwa namna nyengine
Internet inafanya kazi kwa mechanism mbili downloading na uploading.
Kuna policies wameziconfigure kwenye vifaa vya mtandao mfano IN (intelligent node) labda mtu akilipa 2000 apewe ruhusa ya kutumia infrastructure kwa siku 7 kwa MB 1000, hii inamaana utaruhusiwa kudownload na kuupload MB1000 ndani ya siku 7
Hivyo MB za kwenye internet ni ruhusa tu ya wewe kutumia infrastructure au miundombinu ya mtandao muda wako ukiisha wanakudisconect
Sometimes kujilipua nako ni ujasiri.Kuuliza tu hili swali ni lazima uwe na akili nyingi
Alifundishwa vyeti vyake na A zake nyingi ni important but not an issueAlifanywa nini huyo injinia?
Mkuu shukrani, sina uelewa mzuri wa hii sekta, ila jibu lako limeniridhisha kabisa.... DATA inamuwezesha mtumiaji simu, kompyuta au kishikwambi kuwasiliana na kompyuta, simu na vishikwambi vingine kupitia mtandao mkuu wenye KOMPYUTA KUU, AMBAZO ZIKO NCHI ZA MAGHARIBI, na kuongeza content, kutoka KOMPYTA KUU kwa msaada wa wawezeshaji kama kampuni za simu au internet na kadhalika!
... kuungwa huko kuna gharama zake zinazopimwa kwa MB na GB anozotumia MDAU!
SIO KITU RAHISI!
Kaswali kangu kadogo tu nisaidie mimi wa kLNaelezea kwa namna nyengine
Internet inafanya kazi kwa mechanism mbili downloading na uploading.
Kuna policies wameziconfigure kwenye vifaa vya mtandao mfano IN (intelligent node) labda mtu akilipa 2000 apewe ruhusa ya kutumia infrastructure kwa siku 7 kwa MB 1000, hii inamaana utaruhusiwa kudownload na kuupload MB1000 ndani ya siku 7
Hivyo MB za kwenye internet ni ruhusa tu ya wewe kutumia infrastructure au miundombinu ya mtandao muda wako ukiisha wanakudisconect.
Au mfano mwengine
Barabarani nimeweka barrier
Nakuruhusu kupitisha magari matano badala ya hapo nafunga barrier
Barabara ni miundombinu ya internet
MB ni magari matano uliyoyavusha kwenye barrier
Internet ni ile ruhusa ya kupita akifunga barrier hakuna internet
Umenikumbusha kuna vita kali ilitoka humu kuna injinia mmoja alikua anatambwe sana na vyeti vya kutisha sana aliweka hapa ni 1.7 na 1.3 mpk GPA 4.8 Lakini alishikishwa adabu na Msanii mmoja jiniaz anaitwa Humble Africa. HKL walikua wanachekea ndani ya shuka,
na kumchangia Likes tu mkuu Humble.



huyo jamaaa anajiiita @CCNP Enginee hii battle ilikuwa atariMmmmmm una mtaji kiasi gani ? Zatakiwa labda kea uchache 100m TZS...kuanzia....labda ungefikiria kitu kimgine.....ĺeseñi tCRA kuuza bundle kwa sim card based solution ni Bil 4 kwa miaka 5 ya leseni yako kama sijakosea....unapata leseni ya Telco kuuza sim card ......bundle zako pia uwe minara yako kusambana network yako......la sivyo pia unaweza kuuza bundle majumbani kwa fiber au wireless....devices gharama kubwa .....Mkuu naomba elezea kwa lugha rahisi wengi tuelewe ISP ni aina gani kampuni gani na capacity seacon ni nini na gharama zake ni shikingi ngapi
Hahaha nitakucheck unipe hiyo Hela ya maji mkuu!Huyu mwamba ana akili kubwa mno. Naomba namba yako japo nikununulie maji unywe.
Huyu anaumiza kichwa namna ya kutatua tatizo na sio Hawa wanaowaza namna ya kula mbususu kimasihara.
Nishawahi fuatilia namna ya kutoa hela benki ama kwa ATM.
Yaani ningesoma hacking ningekuwa na hack mbaya Kuna saivi wakenya wanavyowaibia watanzania eti mchongo wa UNICEF unaambiwa tuma hela ili utumiwe hela na watu wanatuma