Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,596
- Thread starter
- #81
Halaf unanidanganyaga wewe siku zile ukasema eti nilikuchekesha mpaka ukagalagala kwenye matope uongo sio mzuri ujueYaan nimecheka mpaka nika kaa chini
Lakini wanawake wa Congo wanapenda sana wanaume wa kitanzania. Yaan ukimwambia mtakuja kuishi naye bongo hakuachi.
Wanawake wacongo wananuka kama nguruwe naomba ubaki nyumbani ntakupa mdogo wangu mzuri ila ndoa kwanza mechi baadae