Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,596
- Thread starter
- #221
We make up zile kwanza kibogoyo ndio maana hachekiHahaha
Yule sista mzuri wewe
We make up zile kwanza kibogoyo ndio maana hachekiHahaha
Yule sista mzuri wewe
Bak unaoa tz sawa
Ndio mnachotaka
Kazi hakunaFanyeni kazi shwaini kabisa
Safi hureeeeeeeNaoa huku Ruvuma nikishapata jiko la uhakika.
Soma post za iceman anataka kuoa rwanda au burundi






Yaan unaoa watu tulio na ugomvi nao wanang'ang'ania ziwa Nyasa la kwao hivi una akili kweli








Mzungu wa wapi asije kuwa wa raia wa zimbambwe hatutaki




hii mada leo kiboko. Hurumia mbavu zangu mama sabrinaWe niombee napigana vita kubwa na marekani hata nyuklia sina ninatumia silaha ya papuchi tu
HahahaWe make up zile kwanza kibogoyo ndio maana hacheki
Nje ni nje tu Ney
Nacheka tuu kwasababu anataja mataifa ya hovyo hovyo tuu maana yake hawezi kuniacha na kwenda kuoa huko.
Embu tuungane wanawake kutokomeza hili janga la hatari nchini kwetu Tanzania.

We niombee napigana vita kubwa na marekani hata nyuklia sina ninatumia silaha ya papuchi tu







Yaan natumia hicho sijui nitafanikiwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hakuna kingine hapo cha zaidi
Hahaahahahahahah ice man anataka kuoa burundi kama si kutuongezea umaskini tuhii mada leo kiboko. Hurumia mbavu zangu mama sabrina
Sina ice man niongeze nini![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hakuna kingine hapo cha zaidi
Ana akili kweli
Tuende tukatoe tamko kwa makonda au kwa raisi
Nacheka tuu kwasababu anataja mataifa ya hovyo hovyo tuu maana yake hawezi kuniacha na kwenda kuoa huko.
Embu tuungane wanawake kutokomeza hili janga la hatari nchini kwetu Tanzania.
Ni kweli mkuu!They are cute bhana wacha sifa wapewe